Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi Me ni wabishi tu kuamini huu ukweli.[emoji13] Women wote tuko kwa sales..!! That’s why hata wife wako ulimtolea mahari baba mkwe hajakupa bure..!!
[emoji1732][emoji4]Umesikia hilo Leejay49 wee ni alshabab [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Raraa Reree ndiye Mkwepu Jr nini? Si kwa kuweka likes huku kila ujumbe kama robotic machines....[emoji119][emoji1]ayayayayayayayayayaaaaaa maamaee walah
ndiomana mkikamatwa mlango wanyuma unazibuliwaga kirohombaya tu
Unapatikana wapi mkuu nimlete kaka angu huko, maana wa huku naona wanamkazia Sana😬😂😂Nilifanyaga upuuzi huo enzi za balehe zikinisumbua sumbua, nilipogonga 30yrs tu huwa nakula Ke kimasihara bila mitongozo sirias, wala chapaa...[emoji2]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Nataka nikupeleke huko, au unaonaje??🙁🙁🙁🙁🙁
Shauri yako, utakufa na utamu wako we haya...mpeleke bwaashemeji tuu mimi hapana wewe unanitosha
Mkongo ni kujitakia kifo cha mapema tu, Ke ni an elastic materials ingawa huwa zipo zinazobana na zinazofinyia kwa ndani, lakini kwanini me ujitakie magonjwa ya zinaa, UKIMWI, kwa starehe za muda mfupi tu?Hahaha, kuna wale waliobahatisha ela, hawajatumia akili nyingi wala nguvu na wanaujua mkongo.
Nakupeaje na wewe ni ndugu wa damu😃mh kwamba utaninyima 😢😢😢😢
"Me tuishi na Ke kwa akili".Hahahaa, Halafu wanawake ni wajinga mno akili ikishahama. Hawaonagi shida kutema bigG hata yenye utamu kwa karanga za kuonja, akishazimaliza ndo majuto.
Muamala ndio tiba pekee,Leo nimeamua niwape TiP wale amateurs kwenye dating & hooking up games kuwa ukiona unapokea majibu ya aina hii usipoteze muda hata kidogo. Endelea na shughuli zingine za kujenga taifa tu.
1. Labda ntakuja...(Hii ni kwamba haji kabisa)
2.Nitakujulisha....(Hana mpango wowote na wewe)
3. Sina hakika sana.... (Huyo ana uhakika kabisa haji)
4.Nitajitahidi nije...( Hatajitahidi kwa lolote)
5.Nitakufikiria usijali...(Hana ambacho atakifikiria hata kidogo)
Check with the next girl huyu wacha apumue zake, ana mtu wa kumkeep busy.
Hiyo laana naikataa in Jesus name.. We endelea tu kutafuta utampatahapana my mimi nawewe hatuna undugu zaidi yaujirani tuu.i love you 😢😢😢
Watu hawaamini kama mbunye zinalika bila ndalamaNilifanyaga upuuzi huo enzi za balehe zikinisumbua sumbua, nilipogonga 30yrs tu huwa nakula Ke kimasihara bila mitongozo sirias, wala chapaa...[emoji2]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ondoa neno "Lazima" na weka "inapendeza"Makubwa ss km hakuna Cha maana zaidi si Bora ubaki Kwa mkeo tu?
Baki Kwa mkeo,hiyo pesa muongezee mkeo !
Haijalishi mwanamke sio mkeo,wote sijui mnafurahia tendo mwanamke lzm umtunze Aisee,😅
Btw km unaona wa nn hasthili sbb sio mke,basi huna tofauti na wanaonunua , hiyo fresh
Ila km ni wapenzi acha tu watutunze
Slay queens sio chafu zangu kabisa huwaga nawadiss tu.Ila Extrovert huna nyota na wale maslay queens,jaribu kuwa na wakawaida tu itapendeza zaidi best
7-usiwaze kuwa na amaniLeo nimeamua niwape TiP wale amateurs kwenye dating & hooking up games kuwa ukiona unapokea majibu ya aina hii usipoteze muda hata kidogo. Endelea na shughuli zingine za kujenga taifa tu.
1. Labda ntakuja...(Hii ni kwamba haji kabisa)
2.Nitakujulisha....(Hana mpango wowote na wewe)
3. Sina hakika sana.... (Huyo ana uhakika kabisa haji)
4.Nitajitahidi nije...( Hatajitahidi kwa lolote)
5.Nitakufikiria usijali...(Hana ambacho atakifikiria hata kidogo)
Check with the next girl huyu wacha apumue zake, ana mtu wa kumkeep busy.