Kuwa makini na aina hii ya majibu toka kwa mwanamke

Kuwa makini na aina hii ya majibu toka kwa mwanamke

[emoji13] Women wote tuko kwa sales..!! That’s why hata wife wako ulimtolea mahari baba mkwe hajakupa bure..!!
Sisi Me ni wabishi tu kuamini huu ukweli.

Ke wafanyao simple businesses kwa Me ni wale tu walioolewa sababu hawana namna tayari wako ktk taasisi rasmi kimahusiano.

Michepuko, Mademu, ni wadangaji waliojificha ktk mapenzi ya dhati bandia wakituhadaa Me kuboresha mapungufu waliyonayo Ke zetu tu, tofauti yao na Ke wanaojiuza ni kutokuwa na sehemu maalum ya kuuzia visusio (mbususu) kama wale wa Ohio Posta, Kariakoo, Big Bone Sinza, Sokota Temeke, Buguruni, Zakhem Mbagala n.k. kwa Dar.

Michepuko, Mademu wote hutupenda Me sababu tuko vizuri kiuchumi kwa uhakika wa kula, kulala, kuvaa, gari, nyumba, outing, pocket money n.k. Ndiyomaana Ke wako radhi kimahusiano au kuolewa hata na sisi sura gome, Wazee/Mababu ilimradi sabuni ya roho iwepo "pesa".

Starehe ni gharama, maisha lazima yaendelee na ndivyo dunia ilivyo.



Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Hahaha, kuna wale waliobahatisha ela, hawajatumia akili nyingi wala nguvu na wanaujua mkongo.
Mkongo ni kujitakia kifo cha mapema tu, Ke ni an elastic materials ingawa huwa zipo zinazobana na zinazofinyia kwa ndani, lakini kwanini me ujitakie magonjwa ya zinaa, UKIMWI, kwa starehe za muda mfupi tu?

Me tuliojaliwa urijali kiuumbwaji tusibabaike kabisa na mkongo, tule vipochi manyoya kwa kiasi maana hata Mfalme Suleiman alikuwa na Ke 300 na Michepuko 700 = 1, 000/= lakini bado hakuvimaliza.

Suluhisho ni;

Mazoezi ya kutosha.

Kupumzisha mwili eg. Kulala.

Kutokuwa na mawazo sana.

Kula vyakula vya asili.

Kunywa maji mengi.

Kutafuta na kuwa na pesa.

Kujipenda zaidi mwenyewe (matunzo).

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Leo nimeamua niwape TiP wale amateurs kwenye dating & hooking up games kuwa ukiona unapokea majibu ya aina hii usipoteze muda hata kidogo. Endelea na shughuli zingine za kujenga taifa tu.

1. Labda ntakuja...(Hii ni kwamba haji kabisa)

2.Nitakujulisha....(Hana mpango wowote na wewe)

3. Sina hakika sana.... (Huyo ana uhakika kabisa haji)

4.Nitajitahidi nije...( Hatajitahidi kwa lolote)

5.Nitakufikiria usijali...(Hana ambacho atakifikiria hata kidogo)

Check with the next girl huyu wacha apumue zake, ana mtu wa kumkeep busy.
Muamala ndio tiba pekee,
 
Makubwa ss km hakuna Cha maana zaidi si Bora ubaki Kwa mkeo tu?
Baki Kwa mkeo,hiyo pesa muongezee mkeo !

Haijalishi mwanamke sio mkeo,wote sijui mnafurahia tendo mwanamke lzm umtunze Aisee,😅
Btw km unaona wa nn hasthili sbb sio mke,basi huna tofauti na wanaonunua , hiyo fresh
Ila km ni wapenzi acha tu watutunze
Ondoa neno "Lazima" na weka "inapendeza"
 
Ila Extrovert huna nyota na wale maslay queens,jaribu kuwa na wakawaida tu itapendeza zaidi best
Slay queens sio chafu zangu kabisa huwaga nawadiss tu.

But pretty humble and independent women thats on my daily Plate. Napenda wanawake wenye upendo halisi na wanaojitosheleza na si wadangaji. I like it when we get to fuxin basi iwe pure romance na sio zile za nilipe nisepe. Mtu anasubiria umwage nae aanze kubwaga matatizo yake...Hell no!!!
 
Leo nimeamua niwape TiP wale amateurs kwenye dating & hooking up games kuwa ukiona unapokea majibu ya aina hii usipoteze muda hata kidogo. Endelea na shughuli zingine za kujenga taifa tu.

1. Labda ntakuja...(Hii ni kwamba haji kabisa)

2.Nitakujulisha....(Hana mpango wowote na wewe)

3. Sina hakika sana.... (Huyo ana uhakika kabisa haji)

4.Nitajitahidi nije...( Hatajitahidi kwa lolote)

5.Nitakufikiria usijali...(Hana ambacho atakifikiria hata kidogo)

Check with the next girl huyu wacha apumue zake, ana mtu wa kumkeep busy.
7-usiwaze kuwa na amani
 
Back
Top Bottom