Kuwa makini na aina hii ya majibu toka kwa mwanamke

Kuwa makini na aina hii ya majibu toka kwa mwanamke

Leo nimeamua niwape TiP wale amateurs kwenye dating & hooking up games kuwa ukiona unapokea majibu ya aina hii usipoteze muda hata kidogo. Endelea na shughuli zingine za kujenga taifa tu.

1. Labda ntakuja...(Hii ni kwamba haji kabisa)

2.Nitakujulisha....(Hana mpango wowote na wewe)

3. Sina hakika sana.... (Huyo ana uhakika kabisa haji)

4.Nitajitahidi nije...( Hatajitahidi kwa lolote)

5.Nitakufikiria usijali...(Hana ambacho atakifikiria hata kidogo)

Check with the next girl huyu wacha apumue zake, ana mtu wa kumkeep busy.
Piga booster ya dola 10 mkuu huyo mbona atakuja tu, hesabu za Cuba wanazijua wanawazuoni
 
Extrovert kuna huyu jamaa anauza magari anakampuni na anayatoa japan sasa kipindi kile nilitaka uwe unanisaidia kupata wateja ili nipate kitu huyu mtu yupo dar es salaam . Na anaonyesha sio tapeli japo sijawahi kumuona . Nilitaka nianze mwaka kwanza nijipange kama upo serious tuongee naye tujue hela inakuwa inapatikanaje. Meaning ile commission
 
Mapenzi hayana mjanja cha muhimu usilazimishe mtu akupende , ndo maana huwa natongoza mara moja tu akiniambia nisubiri jibu sitaulizia hilo jibu hadi aamue kusema mwenyewe na akikausha na mimi nakausha kwakifupi sipo romantic pia
 
Leo nimeamua niwape TiP wale amateurs kwenye dating & hooking up games kuwa ukiona unapokea majibu ya aina hii usipoteze muda hata kidogo. Endelea na shughuli zingine za kujenga taifa tu.

1. Labda ntakuja...(Hii ni kwamba haji kabisa)

2.Nitakujulisha....(Hana mpango wowote na wewe)

3. Sina hakika sana.... (Huyo ana uhakika kabisa haji)

4.Nitajitahidi nije...( Hatajitahidi kwa lolote)

5.Nitakufikiria usijali...(Hana ambacho atakifikiria hata kidogo)

Check with the next girl huyu wacha apumue zake, ana mtu wa kumkeep busy.
Mkuu Extrovert

Umeweka key:value pair ya kibabe kabisa... Dictionary mtupu!
 
Extrovert kuna huyu jamaa anauza magari anakampuni na anayatoa japan sasa kipindi kile nilitaka uwe unanisaidia kupata wateja ili nipate kitu huyu mtu yupo dar es salaam . Na anaonyesha sio tapeli japo sijawahi kumuona . Nilitaka nianze mwaka kwanza nijipange kama upo serious tuongee naye tujue hela inakuwa inapatikanaje. Meaning ile commission
Haina noma we mpangilie tu
 
Back
Top Bottom