makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Mamsapu umefika mpaka huku.. 🤣😂Aaaah lejendari nakuona😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamsapu umefika mpaka huku.. 🤣😂Aaaah lejendari nakuona😂
Zimekuwa natural extension of their arms6. Nilikuwa mbali na simu
●Anakudanganya mabinti wa siku hizi muda wote simu ziko mikononi mwao
Waache watume pesa na mabinti wazitafuneAmateur ndo wanaamini ukituma pesa atakuja, jibu zuri sana.
Mkuu amekuweka stoo huyo kuna siku atakufata.Kuna mmoja alikula ten langu mwaka mpya ila sikumuona Hadi Leo mkuu
Piga booster ya dola 10 mkuu huyo mbona atakuja tu, hesabu za Cuba wanazijua wanawazuoniLeo nimeamua niwape TiP wale amateurs kwenye dating & hooking up games kuwa ukiona unapokea majibu ya aina hii usipoteze muda hata kidogo. Endelea na shughuli zingine za kujenga taifa tu.
1. Labda ntakuja...(Hii ni kwamba haji kabisa)
2.Nitakujulisha....(Hana mpango wowote na wewe)
3. Sina hakika sana.... (Huyo ana uhakika kabisa haji)
4.Nitajitahidi nije...( Hatajitahidi kwa lolote)
5.Nitakufikiria usijali...(Hana ambacho atakifikiria hata kidogo)
Check with the next girl huyu wacha apumue zake, ana mtu wa kumkeep busy.
NAKAZIAZimekuwa natural extension of their arms
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kmmmk zako we kondoo wa kiambuu
Angalau ungemfariji, hii imekaa kikatili sana.Anaangalia kama hatopata promise ya maana then ndio anakuka kwako.
Muulize jamaniKwani Atoto yeye anasemaje!
No no no don't take order from woman 😬😬ntamuweka anae smile tena
[emoji849][emoji849]Wanaume kwioo tz no men sorry but it's true
Hahaa acha uwongo jamani😀Me mbona uliweza[emoji26][emoji29][emoji29][emoji24][emoji24]
Mkuu ExtrovertLeo nimeamua niwape TiP wale amateurs kwenye dating & hooking up games kuwa ukiona unapokea majibu ya aina hii usipoteze muda hata kidogo. Endelea na shughuli zingine za kujenga taifa tu.
1. Labda ntakuja...(Hii ni kwamba haji kabisa)
2.Nitakujulisha....(Hana mpango wowote na wewe)
3. Sina hakika sana.... (Huyo ana uhakika kabisa haji)
4.Nitajitahidi nije...( Hatajitahidi kwa lolote)
5.Nitakufikiria usijali...(Hana ambacho atakifikiria hata kidogo)
Check with the next girl huyu wacha apumue zake, ana mtu wa kumkeep busy.
Haina noma we mpangilie tuExtrovert kuna huyu jamaa anauza magari anakampuni na anayatoa japan sasa kipindi kile nilitaka uwe unanisaidia kupata wateja ili nipate kitu huyu mtu yupo dar es salaam . Na anaonyesha sio tapeli japo sijawahi kumuona . Nilitaka nianze mwaka kwanza nijipange kama upo serious tuongee naye tujue hela inakuwa inapatikanaje. Meaning ile commission