Kuwa makini na aina hii ya majibu toka kwa mwanamke

Kuwa makini na aina hii ya majibu toka kwa mwanamke

6. Nitaangalia (ni televisheni au)
Kuna demu nilishindwa kumlipia kodi ya chumba ilipoisha,nikamshauri ahamie kwenye nyumba ya mzee wangu Akae Bure ingawaje mazingira yalikuwa tofauti kwa mzee kulikuwa na wapangaji wengi sana na yule demu anapendaga usiri sana na pale kwa mzee kuna watu wanamjua

Alinipa jibu kama hilo "nitaangalia" baada ya kama wiki moja nikamfuma siku moja usiku yupo na dogo fulani wanasindikizana maghetoni nilipokuwa nimempangisha,nilichoka
 
Kuna demu nilishindwa kumlipia kodi ya chumba ilipoisha,nikamshauri ahamie kwenye nyumba ya mzee wangu Akae Bure ingawaje mazingira yalikuwa tofauti kwa mzee kulikuwa na wapangaji wengi sana na yule demu anapendaga usiri sana na pale kwa mzee kuna watu wanamjua

Alinipa jibu kama hilo "nitaangalia" baada ya kama wiki moja nikamfuma siku moja usiku yupo na dogo fulani wanasindikizana maghetoni nilipokuwa nimempangisha,nilichoka
Ungempeleka kwenye spotlight. 😂 Huyo alikuwa Mraxi kabisa.
 
Usijichanganye, unaweza kutuma mpaka ya kutolea na asije. Inabidi umjue mjaji na asiyekuwa na mpango wa kuja.
Nilimtumia na ya kutolea hakuja kabisaaaa.
Baada ya siku 5 nikakutana naye nikamdai hela yangu.
Nilimchimba mkwara hadi akarejesha zote. Sina utani na pesa yangu.
Ukimtumia pesa asipokuja mdai.
Akikataa kurejesha mshitaki, shahidi ni muamala wa mtandao husika
 
Mara zote nasema mwenye mamlaka na anaeamua kuhusu hili jambo hua ni mwanamke. Mwanamke akitaka hiyo huduma anaipata tu wakati wowote. Lakini sie wanaume unawezashangaa hata wale wafanya biashara anakugomea kama hataki na hauwezi kumfanya kitu.

Hakuna Cha tunda kimasihara, hua wao tu wameamua kuridhia mambo yasiwe mengi.
 
Mara zote nasema mwenye mamlaka na anaeamua kuhusu hili jambo hua ni mwanamke. Mwanamke akitaka hiyo huduma anaipata tu wakati wowote. Lakini sie wanaume unawezashangaa hata wale wafanya biashara anakugomea kama hataki na hauwezi kumfanya kitu.

Hakuna Cha tunda kimasihara, hua wao tu wameamua kuridhia mambo yasiwe mengi.
Kabisa ni kweli usema....mie kuna malaya mmoja alinichana livve mzabzab pamoja ya hela yako huna mvuto wa kutomberner
 
Back
Top Bottom