Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hivyo sawa ☺️☺️.Hizo ni just wordplays, i've never been such a monster to anybody. Just a cool guy with cool lifestyle. Hataki upate enjoyment huyo 😂
Sitaki.Happy new Yr to you and yours!!
Ilikuwaje ukakutana na mwenye majibu ya hivyo?7. Anayekujibu hivi:
- P badala ya Poa
- K badala ya Okay
- bdy badala ya Baadaye
- mmb badala ya mambo!
- Sw badala ya Sawa
Kuna demu nilishindwa kumlipia kodi ya chumba ilipoisha,nikamshauri ahamie kwenye nyumba ya mzee wangu Akae Bure ingawaje mazingira yalikuwa tofauti kwa mzee kulikuwa na wapangaji wengi sana na yule demu anapendaga usiri sana na pale kwa mzee kuna watu wanamjua6. Nitaangalia (ni televisheni au)
Hahahah hii sentensi aliitoa Mrax mmoko wa jiefu 😂😂😂 nilichoka mwili na roho.Sii mchezo finaly mwanamke amefunguka ukweli wa mambo sio wale wa " haiuzwi wala sio bure"
Ungempeleka kwenye spotlight. 😂 Huyo alikuwa Mraxi kabisa.Kuna demu nilishindwa kumlipia kodi ya chumba ilipoisha,nikamshauri ahamie kwenye nyumba ya mzee wangu Akae Bure ingawaje mazingira yalikuwa tofauti kwa mzee kulikuwa na wapangaji wengi sana na yule demu anapendaga usiri sana na pale kwa mzee kuna watu wanamjua
Alinipa jibu kama hilo "nitaangalia" baada ya kama wiki moja nikamfuma siku moja usiku yupo na dogo fulani wanasindikizana maghetoni nilipokuwa nimempangisha,nilichoka
Salamaleko 😂Hamnaka mwanamke dunia hii asie toleo lapili....unaweza kataa kwangu lakini kwa mwengine wee ni toleo la pili.
Nilimtumia na ya kutolea hakuja kabisaaaa.Usijichanganye, unaweza kutuma mpaka ya kutolea na asije. Inabidi umjue mjaji na asiyekuwa na mpango wa kuja.
Yaani ukiingia huku hutoki na utakuwa unaona wengine wanakusumbua tu my dear usijaribu hili chimbo ni hatari kwa walio doubleAlaaaa!
Hutaki mimi kukuwish? Hutaki mimi kukuwish na wanaokupenda? Hutaki mimi kukuandika?🤪😅😅Sitaki.
Tayari mwaka umeisha huuHii ndo January,2024 tukifika Juni,2024 sijui itakuwaje
Death is death my friend...there is no glory in death wether its old age or aidsYou Gara die easily Meen😂
Kabisa ni kweli usema....mie kuna malaya mmoja alinichana livve mzabzab pamoja ya hela yako huna mvuto wa kutombernerMara zote nasema mwenye mamlaka na anaeamua kuhusu hili jambo hua ni mwanamke. Mwanamke akitaka hiyo huduma anaipata tu wakati wowote. Lakini sie wanaume unawezashangaa hata wale wafanya biashara anakugomea kama hataki na hauwezi kumfanya kitu.
Hakuna Cha tunda kimasihara, hua wao tu wameamua kuridhia mambo yasiwe mengi.
Sitaki ukimbie mada, kwahiyo ndio umesema?Hutaki mimi kukuwish? Hutaki mimi kukuwish na wanaokupenda? Hutaki mimi kukuandika?🤪😅😅