ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Kwani una nuksi mkuu?Asee ngoja nikapikwe kwanza nitoe na nuksi halafu nikutag 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani una nuksi mkuu?Asee ngoja nikapikwe kwanza nitoe na nuksi halafu nikutag 🤣🤣🤣
Woman atakayekwambia hana dau piga chini huyo alshabab..!!Fantastic! Wewe upewe kila kitu utakacho maana umesema ukweli wa mambo
Serious relationship ina taratibu zake. Hapa hoja ni ngono uridhike kila mtu aendelee na ratiba zake ikiwemo hizo serious rship.Umeshasema malaya, thats means ni biashara ndio maana unatuma hela. Ila kama ni serious relation huna chako
Umesikia hilo Leejay49 wee ni alshabab 😂😂😂😂Woman atakayekwambia hana dau piga chini huyo alshabab..!!
Kiendacho Kwa mganga hakirudi,apambane na Hali yakeru
rudisha helazawatu au kipeleke kikatanuliwe
Hapana ila tuliofundwa lazima tupitie upikwaji ili nikienda kwa mwenzangu niwe mwepesi kushughulika nisiwe mvivu . NiachikeKwani una nuksi mkuu?
😂😂🙆♂️Hio idea nzuri ila inaweza kukutia hasara kubwa tu.
Hahaha, kuna wale waliobahatisha ela, hawajatumia akili nyingi wala nguvu na wanaujua mkongo.Uzuri wa haya mambo ni kwamba huwezi kuwa na pesa na ukawa mgegedaji mzuri or vice versa 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂Hahah naskia ulikuwa kwa bradhee wa Same 😂😂😂
Hahahaa, Halafu wanawake ni wajinga mno akili ikishahama. Hawaonagi shida kutema bigG hata yenye utamu kwa karanga za kuonja, akishazimaliza ndo majuto.Utajibiwa majibu aliyopewa dr namugari na mkewe
Alaaaa!Hapana ila tuliofundwa lazima tupitie upikwaji ili nikienda kwa mwenzangu niwe mwepesi kushughulika nisiwe mvivu . Niachike
😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳Ukute sasa una upwiru wa kufa mtu! Reserve tyre muhimu sana katika situation ya namna hii.
Happy new Yr to you and yours!!😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳
Jikite kwenye mada, huku unakoenda sasa siko 😊Hii ni kitu sure bradhee. Umuhimu wa kitairi cha njano unaonekana kipindi bi mkubwa ana kidude. Kujivunga for 9 Months sio rahisi unaweza ukadandia mpapai 😂😂😂
Unadhani utaweza kukomoa sehemu inatoa uchafu utajikomoa mwenyewe.ayayayayayayayayayaaaaaa maamaee walah
ndiomana mkikamatwa mlango wanyuma unazibuliwaga kirohombaya tu
Ameniogopesha kweli 😬😬Kwahio ameamua akutishe na wewe unakubali.😂