cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Nakaziaaa.Ukimshtua na muamala lazima atimbe....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakaziaaa.Ukimshtua na muamala lazima atimbe....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhaa kuna kaukweli kiasi, sometimes unashindwa kumchana mtu ukweli
Nadiriki kusema wee ni legendary!!!Inawork mara zote mkuu. We tuma hata laki asipokuja kaa kimya usimsumbue utaona tu atakavyorudi kwa speed huku akijua litakalomkuta. Ni mijinga sana ikashawaza fedha.
Mbna unapita mule mule, ila sio kwa Malaya hata wa kawaida pia.Malaya na pesa ni kama mapacha. Atakufata tu. Wala huitaji kutuma mara mbili, ile mara ya kwanza tu inatosha. Tuma pesa ambayo unajua yeye hajaizoea. Kama kazoea 10, tuma 50. Kama kazoea 50 tuma laki halafu utaona kama anaweza kukupuuza. Atawashwa tu.
heeeee jaman 😀😀😀Leo nimeamua niwape TiP wale amateurs kwenye dating & hooking up games kuwa ukiona unapokea majibu ya aina hii usipoteze muda hata kidogo. Endelea na shughuli zingine za kujenga taifa tu.
1. Labda ntakuja...(Hii ni kwamba haji kabisa)
2.Ntakujulisha....(Hana mpango wowote na wewe)
3. Sina hakika sana.... (Huyo ana uhakika kabisa haji)
4.Ntajitahidi nije...( Hatajitahidi kwa lolote)
5.Ntakufikiria usijali...(Hana ambacho atakifikiria hata kidogo)
Check with the next girl huyu wacha apumue zake ana mtu wa kumkeep busy.
Mwanamke wa nataka sitaki sijawahi elewa saikolojia Yao kiukweliMsuburi atakuja
Anaangalia kama hatopata promise ya maana then ndio anakuka kwako.Wakuu, na vipi demu ukimtongoza then ukaomba show Alafu akikuambia atakuja akipata muda imekaaje hii??
Sent using Jamii Forums mobile app
It's true unaweza mtumia muamala asije kabisa, maana kashaweka moyoni kuwa haji..sema anatumia maneno YA kukupaka mafuta kwa mgongo wa chupaUsijichanganye, unaweza kutuma mpaka ya kutolea na asije. Inabidi umjue mjaji na asiyekuwa na mpango wa kuja.
Watu hawana huruma nowdays..ye mwache tu😂😂Ana hamu yakukaushwa kibubu
Ile alikua ana smile flani hivi so amazing.. Hata nikiona notifications za likes roho inapenda☺️Ile ina tofaut gani na hii
Mara ngapi umefanya hivyo na wewe?😅This formula applies to both gender
Futa kabisa na namba7. Anayekujibu hivi:
- P badala ya Poa
- K badala ya Okay
- bdy badala ya Baadaye
- mmb badala ya mambo!
- Sw badala ya Sawa
Ila ina work sometimes, inategemea na mtu na mtu😂😂😂😂😂😂😂 kama hela ni ya kubet au ya rushwa sawa ila sio hela ambayo nimeihangaikia vibaya mno.
Boss wala haihitaji kuwa legend, hili linajulikana ila ni fedha ndo kidogo ni ngumu kuamua kumpa mwanawake wa mtaani sababu haipatikani kirahisi.Nadiriki kusema wee ni legendary!!!
Watu wengi hawajuii hii
Mbna unapita mule mule, ila sio kwa Malaya hata wa kawaida pia.