Kuwa makini na aina hii ya majibu toka kwa mwanamke

Kuwa makini na aina hii ya majibu toka kwa mwanamke

Mwanamke kutokumpa ngono mwanaume mwenye fedha anayemsumbua ni sawa na mwanaume kutokumgusa rafiki mrembo wa mkewe aliyeomba hifadhi kwao huku akipita kila siku na kanga iliyolowa mkewe akiwa safarini.
 
Malaya na pesa ni kama mapacha. Atakufata tu. Wala huitaji kutuma mara mbili, ile mara ya kwanza tu inatosha. Tuma pesa ambayo unajua yeye hajaizoea. Kama kazoea 10, tuma 50. Kama kazoea 50 tuma laki halafu utaona kama anaweza kukupuuza. Atawashwa tu.
Kwahiyo blaza yaani utume laki kubet puss*?wakati hiyo laki ungepata pus*y kali na bila usumbufu ikakupa raha ya kutosha...
 
Leo nimeamua niwape TiP wale amateurs kwenye dating & hooking up games kuwa ukiona unapokea majibu ya aina hii usipoteze muda hata kidogo. Endelea na shughuli zingine za kujenga taifa tu.

1. Labda ntakuja...(Hii ni kwamba haji kabisa)

2.Ntakujulisha....(Hana mpango wowote na wewe)

3. Sina hakika sana.... (Huyo ana uhakika kabisa haji)

4.Ntajitahidi nije...( Hatajitahidi kwa lolote)

5.Ntakufikiria usijali...(Hana ambacho atakifikiria hata kidogo)

Check with the next girl huyu wacha apumue zake ana mtu wa kumkeep busy.
Kuna weekend nilimtafuta mrembo nimtoe dinner tukafahamiane. Nilipanga kutumia chini ya 2hrs, one day before hajakubali akaniuliza tutaenda kiwanja gani (namna ya kulinganisha hadhi). Nikamtajia sehemu ya kawaida ila haiko mbali, lengo langu asinicheleweshe nikimaliza mambo yangu nachomoka faster nafika mazingira anasogea nimsome kama anafaa kwa kampani.

Kwenye chats akadai "kwanza sijui kama nitapata muda" nikamwambia hapohapo acha usijue siji tena. Nina mambo mengi ya kufanya sitaki majaribio.
 
Kuna weekend nilimtafuta mrembo nimtoe dinner tukafahamiane. Nilipanga kutumia chini ya 2hrs, one day before hajakubali akaniuliza tutaenda kiwanja gani (namna ya kulinganisha hadhi). Nikamtajia sehemu ya kawaida ila haiko mbali, lengo langu asinicheleweshe nikimaliza mambo yangu nachomoka faster nafika mazingira anasogea nimsome kama anafaa kwa kampani.

Kwenye chats akadai "kwanza sijui kama nitapata muda" nikamwambia hapohapo acha usijue siji tena. Nina mambo mengi ya kufanya sitaki majaribio.
Huyo ulimuweza kweri kweri 😂 haezi rudia huo ujinga. Akili hio anayo mwanangu Jay 26. Huyo ukizingua promise hata dakika 5 tu anakutupa na namba anafuta😂😂😂
 
Back
Top Bottom