Fine Wine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2023
- 595
- 1,686
Mpige na twenty nyingineKuna mmoja alikula ten langu mwaka mpya ila sikumuona Hadi Leo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpige na twenty nyingineKuna mmoja alikula ten langu mwaka mpya ila sikumuona Hadi Leo mkuu
Mpmb yako wewe mla nyuch* free 🤣😂😂😂😂😂😂😂 kmmmk zako we kondoo wa kiambuu
Foleni ya nini? Nilisahau tu😂hhhhhh fanya kweli timiza ahadi foleni ishaisha
Mwenzio alikuwa kachoka nasafari ndefu ya mwaka mzima kajiba likizo ERoniSi ya disemba mama, you were so booked hata kuonekana jf ilikuwa utata.
You wara mean 😉Thats Gangsta 😂😂😂
😂😂😂😂😂Si ya disemba mama, you were so booked hata kuonekana jf ilikuwa utata.
Lambda Hawa wa show. Ila wife material haangalii pesa. Tena ukiwa na pesa wanaogopa.Tutafute hela, wanawake hawana majibu mabaya hata kidogo. Ni watiifu kweli kweli
Ukute sasa una upwiru wa kufa mtu! Reserve tyre muhimu sana katika situation ya namna hii.Leo nimeamua niwape TiP wale amateurs kwenye dating & hooking up games kuwa ukiona unapokea majibu ya aina hii usipoteze muda hata kidogo. Endelea na shughuli zingine za kujenga taifa tu.
1. Labda ntakuja...(Hii ni kwamba haji kabisa)
2.Nitakujulisha....(Hana mpango wowote na wewe)
3. Sina hakika sana.... (Huyo ana uhakika kabisa haji)
4.Nitajitahidi nije...( Hatajitahidi kwa lolote)
5.Nitakufikiria usijali...(Hana ambacho atakifikiria hata kidogo)
Check with the next girl huyu wacha apumue zake, ana mtu wa kumkeep busy.
Kweli kabisa....yaani chapa lapaLeo nimeamua niwape TiP wale amateurs kwenye dating & hooking up games kuwa ukiona unapokea majibu ya aina hii usipoteze muda hata kidogo. Endelea na shughuli zingine za kujenga taifa tu.
1. Labda ntakuja...(Hii ni kwamba haji kabisa)
2.Nitakujulisha....(Hana mpango wowote na wewe)
3. Sina hakika sana.... (Huyo ana uhakika kabisa haji)
4.Nitajitahidi nije...( Hatajitahidi kwa lolote)
5.Nitakufikiria usijali...(Hana ambacho atakifikiria hata kidogo)
Check with the next girl huyu wacha apumue zake, ana mtu wa kumkeep busy.
Hii ni kitu sure bradhee. Umuhimu wa kitairi cha njano unaonekana kipindi bi mkubwa ana kidude. Kujivunga for 9 Months sio rahisi unaweza ukadandia mpapai 😂😂😂Ukute sasa una upwiru wa kufa mtu! Reserve tyre muhimu sana katika situation ya namna hii.
Ndio nini bradhee sijui niniAcha bradhee asage valve tu haikuwa rahisi kwa mwaka mzima
Lazima ataliwa mbususu tuu wanawake hawana ujanja kwenye pesaUkiwa na mkeo hata kama ana maadili omba asiingie kwenye jaribu la kutakwa na mwanaume mwenye fedha huku wewe huna fedha za kutosha. Hili ni jaribu gumu sana kwa mwanamke.