Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
Mara nyingi 😆😆 ispokuwa kujibu hayo majibu mafupi eti sw badala ya sawa sipendiiiiMara ngapi umefanya hivyo na wewe?😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara nyingi 😆😆 ispokuwa kujibu hayo majibu mafupi eti sw badala ya sawa sipendiiiiMara ngapi umefanya hivyo na wewe?😅
Wapo wanaojibu hivyo pale anapokuwa amekuchoka au amepata alternative
Basi ukipata demu anakujibu hivi jua tu hajakupendiYeah...
Lakini hii ya Extrovert ni kwa ile mitongozo ya kwanza, tunapokuwa tunawaimbisha mkubali kuja ghetto au kwenye kideti kwa mara ya kwanza...
Ukianza kuitwa Dear, au kujibiwa kwa imoj moja bila maneno.Leo nimeamua niwape TiP wale amateurs kwenye dating & hooking up games kuwa ukiona unapokea majibu ya aina hii usipoteze muda hata kidogo. Endelea na shughuli zingine za kujenga taifa tu.
1. Labda ntakuja...(Hii ni kwamba haji kabisa)
2.Nitakujulisha....(Hana mpango wowote na wewe)
3. Sina hakika sana.... (Huyo ana uhakika kabisa haji)
4.Nitajitahidi nije...( Hatajitahidi kwa lolote)
5.Nitakufikiria usijali...(Hana ambacho atakifikiria hata kidogo)
Check with the next girl huyu wacha apumue zake, ana mtu wa kumkeep busy.
Amateur ndo wanaamini ukituma pesa atakuja, jibu zuri sana.Usijichanganye, unaweza kutuma mpaka ya kutolea na asije. Inabidi umjue mjaji na asiyekuwa na mpango wa kuja.
Walah nimecheka kwa nguvu!!Leo nimeamua niwape TiP wale amateurs kwenye dating & hooking up games kuwa ukiona unapokea majibu ya aina hii usipoteze muda hata kidogo. Endelea na shughuli zingine za kujenga taifa tu.
1. Labda ntakuja...(Hii ni kwamba haji kabisa)
2.Nitakujulisha....(Hana mpango wowote na wewe)
3. Sina hakika sana.... (Huyo ana uhakika kabisa haji)
4.Nitajitahidi nije...( Hatajitahidi kwa lolote)
5.Nitakufikiria usijali...(Hana ambacho atakifikiria hata kidogo)
Check with the next girl huyu wacha apumue zake, ana mtu wa kumkeep busy.
Aaaah lejendari nakuona😂Usijichanganye, unaweza kutuma mpaka ya kutolea na asije. Inabidi umjue mjaji na asiyekuwa na mpango wa kuja.
Kudos 😜Ukimshtua na mwamala wa maana atawashwa tu. Malay wanapenda sana pesa. Hata asipokuja siku hiyo atakutafuta tu sababu atataka tena hela yako na atakuja na utetezi wa kipuuzi tu ila atakuja.
Asante kwa kunikumbusha, kuna mtu nilimwambia January mwaka jana nitamcheki ngoja nimcheki.Unazijua tabia zako ww
Miss jeiefu no 2 unapiga mingle 😝Ile alikua ana smile flani hivi so amazing.. Hata nikiona notifications za likes roho inapenda☺️
Nimeacha tabia ya kutumia pesa kwenye mahusiano kitambo, ukiendekeza kutuma pesa kama kivutio utageuka atm kwake, bora asije kwa k yenyewe inanu..k..aHio idea nzuri ila inaweza kukutia hasara kubwa tu.