Kuwa mtanashati au handsome ni mzigo mkubwa

No handsome in Africa.
 
Niache issue gani?
Wewe ni wakiume na ujioneshe ni Mzuri kuliko wengine???
Hata yule Richadore alianzaga hivi hivi kwahiyo acha kukubali uharisia wa urembo.
Na mbaya zaidi wadada wanasababisha sisi wanaume ku left .Wakishakuona ni HB wanaanza kukujaza uzuri mpaka misifa inakujaa utauponza kaka
 
Ni hayo tu au kuna lingine ungependa kusema?
 
πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…