No handsome in Africa.Nimeamini kuwa mtanashati ni mzigo mkubwa, hasa ukiwa hauna strong financial stability, expectations zinakuwa kubwa kwa watu wanao kuona, wanalinganisha muonekano wako na kipato chako.
Ukiwa umebarikiwa muonekano nadhifu, wengi watadhani hata mfuko wako upo vizuri, huenda unabangaiza na kupata kidogo. Ukazingatia unadhifu na mavazi mazuri yasiyo na gharama, lakini bado watadhani wewe ni pedeshe.
Hayo yote yananikuta mimi, kila sehemu nikienda nakaribishwa kifalme kwa sababu ya muonekano tu, kumbe mfukoni ni mtu wa hali ya kawaida kabisa.
Am tired of this......
Kaka utalawitiwa kaka huku kila kitu kipo hot sana kuliko unavyo dhaniSio kama najieleza, social media ni sehemu ya kuongea na kubadilishana mawazo tu.. sio ya kuchukulia serious
Wapo na washa tobolewa kaka .Na huyu naona analeta uzuri ππNo handsome in Africa.
Kaka mbona unatumia Lugha isiyo na staha, mimi sipendi kujadili hayo mamboKaka utalawitiwa kaka huku kila kitu kipo hot sana kuliko unavyo dhani
OkNo handsome in Africa.
Sipendi kuona kijana mwenzangu anapotea kaka, tutakosa kuwa na koo sasa kwa stahili hii .Kaka mbona unatumia Lugha isiyo na staha, mimi sipendi kujadili hayo mambo
Niache issue gani?Sipendi kuona kijana mwenzangu anapotea kaka, tutakosa kuwa na koo sasa kwa stahili hii .
Ebu naomba uache mara moja hizo issue π
Hahaha mi naina ni favor zaidi kuliko kua mzigo,
Wewe ni wakiume na ujioneshe ni Mzuri kuliko wengine???Niache issue gani?
Dalili za kuleave group ni ulichoandikaMimi siwezi kuleft
Ni hayo tu au kuna lingine ungependa kusema?Wewe ni wakiume na ujioneshe ni Mzuri kuliko wengine???
Hata yule Richadore alianzaga hivi hivi kwahiyo acha kukubali uharisia wa urembo.
Na mbaya zaidi wadada wanasababisha sisi wanaume ku left .Wakishakuona ni HB wanaanza kukujaza uzuri mpaka misifa inakujaa utauponza kaka
πNi hayo tu au kuna lingine ungependa kusema?
Kata kichwa upumzike.Am tired of this
Mimi ni mwanaume kamili, hayo mengine ni mawazo yako binafsiDalili za kuleave group ni ulichoandika
ππππWewe ni wakiume na ujioneshe ni Mzuri kuliko wengine???
Hata yule Richadore alianzaga hivi hivi kwahiyo acha kukubali uharisia wa urembo.
Na mbaya zaidi wadada wanasababisha sisi wanaume ku left .Wakishakuona ni HB wanaanza kukujaza uzuri mpaka misifa inakujaa utauponza kaka
Kichwa kipi nikate?Kata kichwa upumzike.
Kutana shatiNikikua nitaacha nini?
Siwezi kuacha, kuwa msafi ni jambo jema kwa watu wote, sio vijana hadi wazeeKutana shati
Cha juuKichwa kipi nikate?