Kuwa mwanaume wa Dar lazima uwe na pesa

Kuwa mwanaume wa Dar lazima uwe na pesa

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Hellow africa

Acheni sifa ambazo wengi mnazibeza kuhusu wanaume wa dar japo nyingi ni za uongo msingekuwa mnatoka mkoani kuja kufwata penzi dar

Il uwe mwanaume wa dar must having money

Sifa za mwanaume wa dar

Kwaza tupo smart kuliko kawaida na wasafi sana yaani tunapiga pamba kali af kwa bei kali

Pili kichwani tuna akili sana yaani wengi tupo smart sana ki mental

Tatu tunajua kutafuta pesa na kutumia pesa pia

Wapole na tupo romantic sana ilo hakuna wakupinga

Mwisho kabisa ni watanashati sana that why watu wa mikoani mnataka kuolewa na wanaume wa dar
 
Naomba nikubali hili kiukweli, wengi wao wanajua majukumu yao, sijui huwa ni mfumo wa maisha ya wadada wa huko yanawanyoosha,
Siye tushajizoelea huku you just pay your bills on your own, lakini nikiwa na wanangu wa Dar mpaka nauli ya Uber unakuta analipa yeye, wakati wewe ulishaandaa zako cash lakini hakubali ulipe..!!

Mbarikiwe wakaka wa daslama.!!
 
Hellow africa

Acheni sifa ambazo wengi mnazibeza kuhusu wanaume wa dar japo nyingi ni za uongo msingekuwa mnatoka mkoani kuja kufwata penzi dar

Il uwe mwanaume wa dar must having money

Sifa za mwanaume wa dar

Kwaza tupo smart kuliko kawaida na wasafi sana yaani tunapiga pamba kali af kwa bei kali

Pili kichwani tuna akili sana yaani wengi tupo smart sana ki mental

Tatu tunajua kutafuta pesa na kutumia pesa pia

Wapole na tupo romantic sana ilo hakuna wakupinga

Mwisho kabisa ni watanashati sana that why watu wa mikoani mnataka kuolewa na wanaume wa dar
Acha uongo wewe.
1-Si kwamba mna akili.Ni wasaniiwasanii na ujanja-ujinga mwingi ili muishi kwa starehe bila jasho,
2-Pesa hamjui kutafuta zaidi ya utapeli,udokozi na dhulma.Kwa sababu,hampendi kazi ngumu na ajira maalum hakuna.Hata u-smart wa mavazi ni ya kuazima aidha madukani au waliobahatika kuwa nazo,
3-Hampo romantic.Wengi mnapenda u-marioo kwa sababu hamna vyanzo vya kueleweka vya vipato.Mpo macho juujuu kuangalia mashangazi(vibibi) myapige matukio.Na ndiyo maana mkifanikiwa kuwaibia fedha au vitu vya thamani hao mashangazi huwa mnarudi kutafuta wa umri mnaoendana nao.
 
Naomba nikubali hili kiukweli, wengi wao wanajua majukumu yao, sijui huwa ni mfumo wa maisha ya wadada wa huko yanawanyoosha,
Siye tushajizoelea huku you just pay your bills on your own, lakini nikiwa na wanangu wa Dar mpaka nauli ya Uber unakuta analipa yeye, wakati wewe ulishaandaa zako cash lakini hakubali ulipe..!!

Mbarikiwe wakaka wa daslama.!!
Polea mau yako dada karibu tena dar 🤗
 
Naomba nikubali hili kiukweli, wengi wao wanajua majukumu yao, sijui huwa ni mfumo wa maisha ya wadada wa huko yanawanyoosha,
Siye tushajizoelea huku you just pay your bills on your own, lakini nikiwa na wanangu wa Dar mpaka nauli ya Uber unakuta analipa yeye, wakati wewe ulishaandaa zako cash lakini hakubali ulipe..!!

Mbarikiwe wakaka wa daslama.!!
Kama si nduguyo hulipiwi bure.Kuna moja kati ya mawili.Ni aidha anakuvizia/anakuzubaisha akuibie/akutapeli au akutumie(kwa akili,mwili au kiuchumi) kwa faida yake.Kuwa makini.
 
Acha uongo wewe.
1-Si kwamba mna akili.Ni wasaniiwasanii na ujanja-ujinga mwingi ili muishi kwa starehe bila jasho,
2-Pesa hamjui kutafuta zaidi ya utapeli,udokozi na dhulma.Kwa sababu,hampendi kazi ngumu na ajira maalum hakuna.Hata u-smart wa mavazi ni ya kuazima aidha madukani au waliobahatika kuwa nazo,
3-Hampo romantic.Wengi mnapenda u-marioo kwa sababu hamna vyanzo vya kueleweka vya vipato.Mpo macho juujuu kuangalia mashangazi(vibibi) myapige matukio.Na ndiyo maana mkifanikiwa kuwaibia fedha au vitu vya thamani hao mashangazi huwa mnarudi kutafuta wa umri mnaoendana nao.
Shida mmekalilishwa sana utapeli uho ata uko mikoan upo kwani wanaopiga simu wanatoka wapi kama sio mikon mbona wamikoni ndio mnaongoza kupiga simu uku dar msaidiwe hela njaa zinawauma
 
Back
Top Bottom