Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
Ilo nakataa mbona arusha wapo na wanavaa vikuku kwa kisingizio culterJapo si wote ila kuna wanaume wa Dar wanatisha kwa matendo na mienendo yao.. Kutwa kushindana na dada zao kwa kutoga masikio, pua, kuweka vipini kwenye ulimi.. Yaani makao makuu ya uovu yapo.