Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #41
Tafuten pesa muache majungu na kuish kama mifugo uko mikoani 😂😂😂Hovyo kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuten pesa muache majungu na kuish kama mifugo uko mikoani 😂😂😂Hovyo kabisa
Hahaha kumbe unajua kusemgenya kijana badirika sasa kwanini usengengenye na mwanaumeSiwezi kukaa vijiweni kusengenya au kubeti wakati kuna kazi za heshima mikoa mingine.Sura zenu huwa mnajitahidi ziwe na nuru kwa kujipaka mafuta ya nazi yanayobaki mikononi baada ya kula vitumbua au chapati magengeni.
Uliona wapi mtu anayeumwa kifua alambe vumbi.Si ndiyo atazidi kuumwa?Acha zako wewe mongo ni dawa ya kifua
Ndiyo changamoto yenu mkiambiwa ukweli mnadai mnasengenywa na kuanza kulialia.Hahaha kumbe unajua kusemgenya kijana badirika sasa kwanini usengengenye na mwanaume
Mgomo wa Kariakoo uliwanyoosha na uliwaumbua wale waliokuwa wanaenda kushinda kwenye maduka ya wafanyabiashara. Dar es salaam ina wazururaji wengi kuliko mikoa mingine. Mwanaume unakuta amevaa vizuri, anazurura kila kijiwe cha kahawa na ikifika usiku anaenda lala stendi au vibarazani japo si wote.Sahihi.Bila kusahau kushinda kwenye maduka wauzayo nguo na viatu(mavazi na vipodozi/marashi) kuuza sura na kufanya udalali wa bukubuku.Kwa saba kwenye maduka hayo hawalipwi kitu.Mwajiriwa anakuwa mmoja au wawili tu.Wengine wanajitolea utadhani watoto wapo field maofisini.
Kumbe na wewe mdau wa vumbi sasa mbona unawakandia wenzakoUliona wapi mtu anayeumwa kifua alambe vumbi.Si ndiyo atazidi kuumwa?
Ukitafuta wewe inatosha sana, mi kazi yangu ni kuwatomb**ni mademu zenu.Tafuten pesa muache majungu na kuish kama mifugo uko mikoani [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu husema kile alichonacho hivyo usishangae.Uho ndio upumbavu mlio ujaza kichwani mambo hayo yapo huko kwenu zenji sio dar
Moshi unahama lini uje dar upande mwendokas kidogoNdiyo changamoto yenu mkiambiwa ukweli mnadai mnasengenywa na kuanza kulialia.
Huwa nikiwaletea nawafundisha kutumia.Kumbe na wewe mdau wa vumbi sasa mbona unawakandia wenzako
Moshi si makazi yangu.Moshi unahama lini uje dar upande mwendokas kidogo
Ahhahah kama hujui ipo ivi wewe unakuja unataka tishet duka fulani umelikosa mimi nalijua duka ambalo zipo nakutajia bei 20000 unatoa naenda kukuchukulia napata 7000 nimekosa nini mtaji ni akili yako kakaMgomo wa Kariakoo uliwanyoosha na uliwaumbua wale waliokuwa wanaenda kushinda kwenye maduka ya wafanyabiashara. Dar es salaam ina wazururaji wengi kuliko mikoa mingine. Mwanaume unakuta amevaa vizuri, anazurura kila kijiwe cha kahawa na ikifika usiku anaenda lala stendi au vibarazani japo si wote.
Ahahahh wakati mpaka ubust ndio ufaction ase acha kujimwambafai mkuuUkitafuta wewe inatosha sana, mi kazi yangu ni kuwatomb**ni mademu zenu.
Hahahah anatafuta wadauMtu husema kile alichonacho hivyo usishangae.
Hahahah kwakuwa umebobea kwenye matumizi itabid ukija uniletee nijaribu 😂Huwa nikiwaletea nawafundisha kutumia.
Mizigo ilipungua madukani mkachanganyikiwa.Si kwamba bei hazijulikani.Watu huwa hawapendi usumbufu na kuzurula juani kama mbuzi mtoro.Halafu,elfu saba kwa bingwa aliyefika Dar na mahela mengi ni kitu gani?Mnatakiwa nanyi muishi.Mkitupiga udalali,tunawapa na msosi mshibe halafu mnapewa na pombe mlewe msiwe na akili ya kuunda genge mtukabe na bisibisi.Ahhahah kama hujui ipo ivi wewe unakuja unataka tishet duka fulani umelikosa mimi nalijua duka ambalo zipo nakutajia bei 20000 unatoa naenda kukuchukulia napata 7000 nimekosa nini mtaji ni akili yako kaka
Huu sasa ni uwongo wa wazi, unatakiwa ujue kuna wafugaji wa nywele na marasta kiimani. Wafugaji wa nywele na misuko ya kike kwa wanaume kitovu chake ni hapo unapo pasifia..Sio wamasai wachaga wa arusha wengi mmeharibiwaa na watalii wanaokuja uko mnajifanya mnafuga rasi wakat hamna kitu hapo
Shauri yakoAhahahh wakati mpaka ubust ndio ufaction ase acha kujimwambafai mkuu
Hahahah vuta picha kwa siku nimepata wateja 10 na silipi kodi wala nini mtaji wangu akili tuMizigo ilipungua madukani mkachanganyikiwa.Si kwamba bei hazijulikani.Watu huwa hawapendi usumbufu na kuzurula juani kama mbuzi mtoro.Halafu,elfu saba kwa bingwa aliyefika Dar na mahela mengi ni kitu gani?Mnatakiwa nanyi muishi.Mkitupiga udalali,tunawapa na msosi mshibe halafu mnapewa na pombe mlewe msiwe na akili ya kuunda genge mtukabe na bisibisi.