MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,184
- 5,435
Sherehe haizuii kufunga ndoa.Wafunge ndoa wasepe kwani sherehe ni lazima.Pledges za michango yote ni milioni 18, harusi ni mwezi huu wa tatu mwishoni, hadi muda huu watu wachache wametoa, cash iliyopo ni milioni moja kasoro. Bwana Harusi kachanganyikiwa kaniachia mipango yote nipange mimi, nafanyaje?
Bwana Harusi aliahidi kutoa milioni tano lakini katoa laki tano tu, nyingine hajatoa, anamtaka MC Garab wakati uwezo hana, yaani ni kama ndugu wamemsusia, simu hawapokei, nimemshauri asifanye sherehe ni kama haelewi, sijui itakuwaje.
Weeee nae ubahili ulikujaaa upike mwenyewe alaf tena wewewe ndio bwana harusiEti,mnaipiga pale church mkimaliza buku 50 za pastor then hao group mtu sita tu mnapiga bonge la dinner kituo chochote mnarudi home mbonji hiyo kilo 5 chenchi inabaki.
Harusi yangu nilipika mwenyewe chakula watu 100,watu walikula,kunywa mpk kusaza na kudance usiku wote.
Sikumchangisha mtu senti 10,walileta vizawadi tu.
So what nilipika mwenyewe wife kawasha gari mpk ukumbini na shela lake na party ikawa mukide mpk kunakuchaWeeee nae ubahili ulikujaaa upike mwenyewe alaf tena wewewe ndio bwana harusi
Afuate ushauri wako. Kinachohitajika ni ndoa, sio harusi!Pledges za michango yote ni milioni 18, harusi ni mwezi huu wa tatu mwishoni, hadi muda huu watu wachache wametoa, cash iliyopo ni milioni moja kasoro. Bwana Harusi kachanganyikiwa kaniachia mipango yote nipange mimi, nafanyaje?
Bwana Harusi aliahidi kutoa milioni tano lakini katoa laki tano tu, nyingine hajatoa, anamtaka MC Garab wakati uwezo hana, yaani ni kama ndugu wamemsusia, simu hawapokei, nimemshauri asifanye sherehe ni kama haelewi, sijui itakuwaje.
Aya sawaSo what nilipika mwenyewe wife kawasha gari mpk ukumbini na shela lake na party ikawa mukide mpk kunakucha
Ndo manaake, gari ya harusi wife aligoma kukodi,akasema ntadrive mwanzo mwisho mwenyewe. Wala hatukua na gharama ingawa waswahili waliiba pombe vilevile kwenda nazo kwao.Aya sawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]komesha ya wabahili bilashaka hata wahudumu mlikuwa nyinyi wenyeweNdo manaake, gari ya harusi wife aligoma kukodi,akasema ntadrive mwanzo mwisho mwenyewe. Wala hatukua na gharama ingawa waswahili waliiba pombe vilevile kwenda nazo kwao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna jamaa alikusanya mchango akakimbia nao sijui harusi ilifanyika vipi lakini alikuja kuwarudishia baadae bwana harusi akamshukuru sana maana ilikuwa hela nyingi sana bwana harusi akapata na mtaji wa maisha ulikuwa mpango wa bwana harusi na mweka helanishawah kuwa mwenyekiti wa kamati nikakimbia na million 5 wakanikamatia stendi nikarudishwa nikaendelea kukusanya michango chini ya uangalizi mkali,zile ela zinatamanisha sana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna jamaa alikusanya mchango akakimbia nao sijui harusi ilifanyika vipi lakini alikuja kuwarudishia baadae bwana harusi akamshukuru sana maana ilikuwa hela nyingi sana bwana harusi akapata na mtaji wa maisha ulikuwa mpango wa bwana harusi na mweka hela
Unajua hiyo M ni nyingi sana maana , najua hao waliochanga wanaweza kuenjoy sanaPledges za michango yote ni milioni 18, harusi ni mwezi huu wa tatu mwishoni, hadi muda huu watu wachache wametoa, cash iliyopo ni milioni moja kasoro. Bwana Harusi kachanganyikiwa kaniachia mipango yote nipange mimi, nafanyaje?
Bwana Harusi aliahidi kutoa milioni tano lakini katoa laki tano tu, nyingine hajatoa, anamtaka MC Garab wakati uwezo hana, yaani ni kama ndugu wamemsusia, simu hawapokei, nimemshauri asifanye sherehe ni kama haelewi, sijui itakuwaje.
Kuna vitu vinahitaji advance mapema ili kujihakikishia hiyo hudumaKawaida kwenye michango ya harusi bado siku mbili au moja utashangaa mihela hiyo.
Hili ndiyo wazo kuu hiliChukua hiyo michango (milioni kasoro) SEPA
Advance ya nn umeambiwa tafuta JBL speaker weka simu bundle la chuo nendeni Coco Beach baada ya kutoka kanisaniKuna vitu vinahitaji advance mapema ili kujihakikishia hiyo huduma
Mc garab gharama yake no shilingi ngapi mkuuPledges za michango yote ni milioni 18, harusi ni mwezi huu wa tatu mwishoni, hadi muda huu watu wachache wametoa, cash iliyopo ni milioni moja kasoro. Bwana Harusi kachanganyikiwa kaniachia mipango yote nipange mimi, nafanyaje?
Bwana Harusi aliahidi kutoa milioni tano lakini katoa laki tano tu, nyingine hajatoa, anamtaka MC Garab wakati uwezo hana, yaani ni kama ndugu wamemsusia, simu hawapokei, nimemshauri asifanye sherehe ni kama haelewi, sijui itakuwaje.
Kweli, haina haja ya harusi kubwa ilhali hakuna hela, bora lipikwe kitu cha biriani na wapigwe photo kadhaa hapo, iishe ivyo bora kapata mke hakuna issue ya kujiumiza kichwa kwa mawazo. Hali ya mifuko ni mibaya sahi! 🤣Hiyo Million moja kasoro inatosha kulipia photoshoot na dinner moja matata sana kwa hao hao waliochanga tu!