Hivi hii haki sawa mbona huwa mnaihubiri linapokuja suala la pesa tu!!! Ila kwa mambo mengine mnang'aka hatari!Zile haki sawa mlizokuwa mnataka zifundishwe mpaka mashuleni mwanzoni mwa miaka ya elfu mbili, vijana walizielewa so mda wakuziapply,ile mbegu iliyo pandwa ishaanza kuzaa.
Kuna kizazi kijacho cha wanawake watakuwa wakisumuliwa story za bibi zao watashangaa kusikia walikiwa wanahongwa majumba na magari kwani kwao itakuwa tofauti, kwani hata Nabii Isaya alisha ya tabiri.
Hatutaki.Wanawake achen utapeli kama hela taften na nyie zakwenu kwenye mahusiano kila mtu kuna umuhimu wa kuprovide a prprovide.
pesa ndo kila kitu mkuu. mtu yeyote linapo kuja swala la pesa anakua serious kdogo,Hivi hii haki sawa mbona huwa mnaihubiri linapokuja suala la pesa tu!!! Ila kwa mambo mengine mnang'aka hatari!
Hii haki sawa yenu tumeiogomea kwakweli.pesa ndo kila kitu mkuu. mtu yeyote linapo kuja swala la pesa anakua serious kdogo,
Dont date broke ladies wacha wafe na njaa zao. Wee kula mbususu sepa.Wasalam wakuu,
Kama mada inavojieleza. kwenye haya maisha inatokea kunamwanamke unampenda sana yani nawewe unatamani arudishe upendo kama unavompenda.
Cha ajabu sasa kadri siku zinavozidi kwenda unahisi kabisa mapenzi huyaoni ila unaona kabisa anakuchukulia ni kama fursa ya kujinufaisha kiuchumi hadi unahisi huyu atakua anataka tu kuokota kwa mgongo wa mapenzi.
Wanawake achen utapeli kama hela taften na nyie zakwenu kwenye mahusiano kila mtu kuna umuhimu wa kuprovide a provide.
Haya njooni basi tusukume mikokoteni vifua waziHivi hii haki sawa mbona huwa mnaihubiri linapokuja suala la pesa tu!!! Ila kwa mambo mengine mnang'aka hatari!
Mbona tupo tunasukuma long time kitambo.Haya njooni basi tusukume mikokoteni vifua wazi
Huyo hajakupenda trust me mim ni mwanamke naelewa Ivo vitu huyo Hana mapenz na ww mwanamke anayekupenda sio mtu wa kufanyia Ivo mfano mim nikiwa nahitaj kua na mahusiano na mtu ni inatoka moyon kwamba moyo umedhamiria kua na huyo mtu swala la hela litakuja endapo Kuna ulazima wa kutaka au kupewa hizo hela sio Kila wakat Sasa hapo nitakua najiuza au ni kitu gan
Wapi huko mniite nishuhudie uumbajiMbona tupo tunasukuma long time kitambo.
Hukuuuu.Wapi huko mniite nishuhudie uumbaji
Najaaa chap kwa harakaHukuuuu.
Msaidie mpenzi wako JamaniWasalam wakuu,
Kama mada inavojieleza. kwenye haya maisha inatokea kunamwanamke unampenda sana yani nawewe unatamani arudishe upendo kama unavompenda.
Cha ajabu sasa kadri siku zinavozidi kwenda unahisi kabisa mapenzi huyaoni ila unaona kabisa anakuchukulia ni kama fursa ya kujinufaisha kiuchumi hadi unahisi huyu atakua anataka tu kuokota kwa mgongo wa mapenzi.
Wanawake achen utapeli kama hela taften na nyie zakwenu kwenye mahusiano kila mtu kuna umuhimu wa kuprovide a provide.
Kumbe hawa wanaotuomba hela wanatuenjoy tuu kwa i love u nyingi na wakati wanauza bupa😭😭😭😭Huyo hajakupenda trust me mim ni mwanamke naelewa Ivo vitu huyo Hana mapenz na ww mwanamke anayekupenda sio mtu wa kufanyia Ivo mfano mim nikiwa nahitaj kua na mahusiano na mtu ni inatoka moyon kwamba moyo umedhamiria kua na huyo mtu swala la hela litakuja endapo Kuna ulazima wa kutaka au kupewa hizo hela sio Kila wakat Sasa hapo nitakua najiuza au ni kitu gan
Duu haki sawa ina hubiriwa na wanaume? Tokea lini.......? Nyie kwenye vyomb vya habari mwanzoni si mlitaka waweke mpaka kwenye mitaala au sio nyie na NGO zenu....?KHivi hii haki sawa mbona huwa mnaihubiri linapokuja suala la pesa tu!!! Ila kwa mambo mengine mnang'aka hatari!
dah! ila we jamaaa, anyways umeongea ukweli.Dont date broke ladies wacha wafe na njaa zao. Wee kula mbususu sepa.
Remember women never even look at a broke man
Hii inahubiriwa na nyie wanaume kwa kasi sanaaa ila ni kwenye pesa tu, mengine hamtaki🤣🤣Duu haki sawa ina hubiriwa na wanaume? Tokea lini.......? Nyie kwenye vyomb vya habari mwanzoni si mlitaka waweke mpaka kwenye mitaala au sio nyie na NGO zenu....?K
Si mnajiita vichwa vya familia, sasa iweje hilo liwe tatizo!!!Linapokuja swala la pesa nani yupo mbele.......? Maana kwenye nyumba hata mwanamke awe na mil 1,mwanaume laki 2 ,jumla nyumba ina laki 2.
Kwahiyo mnataka haki sawa au hamuitaki?Ila siku hizi mkubaliane nayo kwani ile mbegu mliyo ipanda kupitia NGO zenu hizi ishaanza kumea na kuzaa,hata vijana siku hizi wanafikiria kwenye mitizamo ya haki sawa sababu ndivyo walivyo fundishwa.
Mzab acha uongo na uzushi. Hizi broke men zilizooa, zimeoa wanaume wenzao?Remember women never even look at a broke man
Uongo wapi bwana wewe..hao waliooolewa nanbroke men its because they ugly looking🤣🤣🤣🤣🤣Mzab acha uongo na uzushi. Hizi broke men zilizooa, zimeoa wanaume wenzao?