Piga chini malaya iyo kaka siku akitaka maokoto mwambie akupe pussy uifumue yaani hii inaitwa nipe nikupeKumpata huyo sasa Nilikua na lidemu tuliite malaya la chinichini kwenye maongezi yetu sikumbuki vizur ilianzaje nakumbuka alisema Mimi nimpe Mwanaume mwili wangu anichezee kanifanyia nini nikajiuliza huyu inamaana kumbe yeye anaangalia umemfanyia kitu gani ndiyo akupe mwili nikajua huyu mdangaji.
Kwenu ni wapi Mkuu?Daah! ila hii ni dharau. tengua hii kauli kabla siku haijapinduka. tena hao wanaume labda wa huko daslam, wa huku kwetu ni vidume kwelkwel hawanaga huu ujinga ujnga.
wapi nimeongelea sehemu za starehe mkuu.
Matapeli wa mjini wanaocheza na fursa utawakuta Club, baa, Insta na kwenye Badoo and the cokuna watu kweli wanashda nakweli ataakija kukueleza unaguswa kumsaidia lakn tunaongelea hapa niwale watoto wa mjini matapeli yani wazee wa kucheza na fursa. ndo watu au mapepo tunayoyakemea hapa mkuu.
hiyo ni redflag mkuu ndo tabia za wanawake maskin na maneno yao. kwani mwamke maskin hata ukiongea nae chamaana anakua hana. sasa uwa nashangaa watu wanachukuaje viumbe kama hivi na kuviweka ndan et ndo wake zao ndo mana matukio ya ajabu hayaishaga. utasikia mara wife hvi mara vile shida mtupu. namtaendelea kutangulia mbele za haki kwa kuwaendekeza hawa matapeli.Kumpata huyo sasa Nilikua na lidemu tuliite malaya la chinichini kwenye maongezi yetu sikumbuki vizur ilianzaje nakumbuka alisema Mimi nimpe Mwanaume mwili wangu anichezee kanifanyia nini nikajiuliza huyu inamaana kumbe yeye anaangalia umemfanyia kitu gani ndiyo akupe mwili nikajua huyu mdangaji.
huku kijijin chitohori.Kwenu ni wapi Mkuu?
upo sahihi ila mimi siongelei hao, hawahawa unao waona descent women with innocent face hawa ndo htari. hao wa baa cjui club watajuana wenyew na walevi wenzao wanajuana wenyew wanaishi dunia yao.Matapeli wa mjini wanaocheza na fursa utawakuta Club, baa, Insta na kwenye Badoo and the co
Huko ni kazi kazi tu
Kwahiyo mkuu wewe unataka demu atakaye kuwa anakupa mzigo tu bila malengo yoyote ili mradi tu umalize nyege zakoKumpata huyo sasa Nilikua na lidemu tuliite malaya la chinichini kwenye maongezi yetu sikumbuki vizur ilianzaje nakumbuka alisema Mimi nimpe Mwanaume mwili wangu anichezee kanifanyia nini nikajiuliza huyu inamaana kumbe yeye anaangalia umemfanyia kitu gani ndiyo akupe mwili nikajua huyu mdangaji.
Hii imeenda.Huyo hajakupenda trust me mim ni mwanamke naelewa Ivo vitu huyo Hana mapenz na ww mwanamke anayekupenda sio mtu wa kufanyia Ivo mfano mim nikiwa nahitaj kua na mahusiano na mtu ni inatoka moyon kwamba moyo umedhamiria kua na huyo mtu swala la hela litakuja endapo Kuna ulazima wa kutaka au kupewa hizo hela sio Kila wakat Sasa hapo nitakua najiuza au ni kitu gan
kwahyo malengo yao yanatimia kwa utapeli, usalit, uhuni nk. mkuu cjui kama umeelewa kinacho jadiliwa kwenye huuzi. ebu pitia wachangiaji wengi wamechangia nini walio elewa mada. mana naona kama unataka tubishane na ukwel unaujua.Kwahiyo mkuu wewe unataka demu atakaye kuwa anakupa mzigo tu bila malengo yoyote ili mradi tu umalize nyege zako
Mkuu hawa ni mama zetu dada zetu mabinti zetu na bibi zetu wana malengo yao pia kwenye maisha na sio kazi yao kukuvulia chupi
kuna mchangiaj anaitwa nakwede97, huyu kaelewa mada ni mfano tKwahiyo mkuu wewe unataka demu atakaye kuwa anakupa mzigo tu bila malengo yoyote ili mradi tu umalize nyege zako
Mkuu hawa ni mama zetu dada zetu mabinti zetu na bibi zetu wana malengo yao pia kwenye maisha na sio kazi yao kukuvulia chupi wanaume tu
Next time ukiulizwa hivyo ujue mwanamke anataka kujua una malengo naye gani? Ndoa au raha zako.
Kama shida yako ni nyege zako tu basi ujue nayeye anashida ya hela
Ni watoto wenzako ndio wanao kuelewa zaidi mkuukwahyo malengo yao yanatimia kwa utapeli, usalit, uhuni nk. mkuu cjui kama umeelewa kinacho jadiliwa kwenye huuzi. ebu pitia wachangiaji wengi wamechangia nini walio elewa mada. mana naona kama unataka tubishane na ukwel unaujua.
Kazi zao huwa ni za kujilinda endapo ikitokea sintofahamu sio Ili msaidiane maisha hivyo ndivyo ninavyojua kwangu ni Bora awe WA nyumbani tuwengine haijalishi ana kazi au hana yeye mwendo wa kugogoa tu mara vocha mara gesi mara ela ya kodi
😃Umejuaje kuwa hana Pesa....Wasalam wakuu,
Kama mada inavojieleza. kwenye haya maisha inatokea kunamwanamke unampenda sana yani nawewe unatamani arudishe upendo kama unavompenda.
Cha ajabu sasa kadri siku zinavozidi kwenda unahisi kabisa mapenzi huyaoni ila unaona kabisa anakuchukulia ni kama fursa ya kujinufaisha kiuchumi hadi unahisi huyu atakua anataka tu kuokota kwa mgongo wa mapenzi.
Wanawake achen utapeli kama hela taften na nyie zakwenu kwenye mahusiano kila mtu kuna umuhimu wa kuprovide a provide.
kwa ajil yako kwa mustakabal wa ustawi wako sio kwa ajil ya kujimalza kwa malaya matapeliPesa muhimu sana ni kama chachandu kwenye mihogo au kachumbari kwenye pilau au nyama kwenye supu.
Anayekufa hizo ndo siku zake jitahid kutafta Mwanamke anayeeleweka, nimesema wangu niwa nyumbani, azipate wapi? No job no business, Kaa upike ufue huwezi Kila mtu ashike hamsini zake, bila kusahau Ibada ni LAZIMA, no ibada no couple.hama huko kwa ajili ya afya yako ya akili na mwili pia mana utakufa kabla ya siku zako. hao broke women kwa asilimia kubwa ndo wasaliti, hawana shukran, matapeli, hawana mapenzi ya kweli, siku akizipata ndo utazijua rang zake na kila kitu. kma unajifanya mbish sawa.
swali la kiwaki. anyways matendo na tabia zake za mara kwa maraa.😃Umejuaje kuwa hana Pesa....
Hahaha, ukijiridhisha kuwa mwanamke ni malaya hiyo sawa ni kuacha kabisa.kwa ajil yako kwa mustakabal wa ustawi wako sio kwa ajil ya kujimalza kwa malaya matapeli
mkuu nyinyi ndo mnafanya hii nchi iwe maskini, yani kwanini nguvu kazi ya familia na taifa ibaki home badala ya kuzalishaa, msaidiane majukumu. yani huyu hata ikitokea umetoweka dunian atapata tabu sana na watoto wako mkuu.Anayekufa hizo ndo siku zake jitahid kutafta Mwanamke anayeeleweka, nimesema wangu niwa nyumbani, azipate wapi? No job no business, Kaa upike ufue huwezi Kila mtu ashike hamsini zake, bila kusahau Ibada ni LAZIMA, no ibada no couple.
Mwee mane o tuu hayo ata kaenye khanga yapo....nyie tunawajua mlivyoooNi wewe tu hujiamini. Wanawake hatuna baya kabisa.