Kuwapa watoto majina ya kigeni Kizungu/Kiarabu ndio usasa au kutojitambua?

Kuwapa watoto majina ya kigeni Kizungu/Kiarabu ndio usasa au kutojitambua?

Katika majina ya kikabila hapa tz wamasai pekee ndio wanamajina mazuri aisee wakifatiwa na wachaga [emoji617]
 
Daah yani jina langu limetokea kwenye majina yanayokataliwa na mtoa mada😀
 
Naunga mkono hoja... Maaana hata uislam umesema tuwape watoto wetu majina mazuri... Ila haujasema tuwape ya kiarabu pekee imesema majina mazur tuh.. Afu kingine kila mzazi apangiwi jina we ukiwa na wanao waite utakavyo c hatutokupinga.... Ila majina ya kizaramo mabaya aisee mara sikujua,chausiku,shida,mwakatobe .....kwa hio sometimes ya kizungu na kiarabu ni bora
Si lazima yawe ya kilugha, hata ya kiswahili tu. Mfano, umewahi kujiuliza kwanini mtu aitwe Grace na sio Neema? Au kwanini aitwe Happiness badala ya Furaha?
 
KATIKA KABILA ZOTE ZILIZOKO DUNIANI, KABILA LA WATU WEUSI NDIO JAMII YA CHINI NA YA KIPUMBAVU ZAIDI KULIKO JAMII ZA KABILA NYINGINE. WAHINDI WANA MAJINA YAO, WACHINA YAO, WAZUNGU (WARENO, WAJERUMANI, WAFARANSA, WAHISPANIA)YAO , WAARABU YAO, WARUSI YAO.

EBU TAFUTA HOTUBA YA BOTHA (ALIYEKUWA RAIS WA AFRIKA KUSINI)


Ukweli kuwa weusi wanaofanana na binadamu na kutenda mambo kama binadamu hayawahalalishi kuwa wao ni watu wenye akili timamu au binadamu aliyetimia. Kanunguyeye si nungunungu na mijusi hawawezi kuwa mamba kwa sababu eti wanafanana.

Hawana lolote jema isipokuwa mashujaa wa kupiga kelele, kucheza ngoma, kuoa wanawake wengi na kupenda sana ngono. Hebu sasa tukubali kuwa mtu mweusi ni alama ya umskini, udumavu wa akili, uvivu na aliyekosa ushindani. Hivi hapo je, si kweli kwamba mtu mweupe aliumbwa ili kumtawala mtu mweusi?

Hawana upeo wa kufikiri na huyo ndiye kiumbe dhaifu kisicho na akili ya kuona mbali.
 
Masai names be like
Olaititi
Karamajong
Engaronaroki
Laizer
Okwii
Saibong
Elisiensi kalamang
Nk
 
Tushajadili sana kuhusu majina hapa jukwani.

Wakristo wanajinasibisha na uzungu kwa kupitia majina vivyo hivyo kwa waislam. Wanaamini ukiitwa hivyo basi you're one step closer to uzungu/uarabu.

Sahizi ni kawaida kukutana na mmatumbi mweusi na nywele za kipilipili na majina matatu yote ya anayemuabudu; John Charles Paul au Abdallah Hussein Mohamed. Huwa nikikutana na mtu mzima wa hivi nacheka na kumshusha nyota hapo hapo.

Sasa wameenda mbali zaidi na kujikuta wao ni wazungu kuliko wazungu wenyewe wamekuja na hayo majina ya Moana, Cookie nk. Ni aibu.

Hii hali ipo zaidi bongo kuliko nchi nyingine yeyote Africa. Ukienda Nigeria, SA, Zambia hata hapo Kenya bado wanatumia majina yao na kutunza destruri zao hata mtoto azaliwe NYC au London. Leo unawasikia kina Rotimi, Wale, Dele,Kaluuya, Lupita nk wote wanamajina yao na wanatoboa fresh tu, sasa angekuwa mbongo ungefurahi.

Anyway, to each their own.
 
Mimba zimekuwa ngumu sana kupata siku hizi. Complications kibao.

Kila mtu amuite mwanae jina analotaka bana we.

Wacha tuu gharama ya kupata mtoto ni iko katikati ya umauti na kifo, muda wa kutosha kwenye kutafuta na pesa za ukweli....

Uzazi umekua mgumu, malezi nayo magumu basi taabu tuu
 
Wacha tuu gharama ya mtoto ni kati ya umauti na kifo, muda na pesa za haja
Uzazi umekua mgumu, malezi nayo magumu basi taabu tuu
Afu uje umuite mtoto Yaani au Misukosuko.

Utaishi na msongo wa mawazo hivi hivi.
 
Alafu kuna baadhi ya nchi za afrika tena watumiaji wa lugha za wazungu unakuta majina yake yoote ya asili adi raha na hawajali lakini sisi sasa!!
 
Na hua yanakua mabonge hayo.. Mtaani tuna julior na Junior yanamashavu afu mataira kwa kukaa kaa ndani tuh. Tena huyo julior kaanza kujua kiswahil juzi tu maana kila akishuka chini anakutana na akina msandawee wa senti kayumba.... Yaani wamezaliwa hapa ila kiswahil hawakijui vizur
 
Majina ya kwetu wkt mwingine changamoto kuba dada alipewa jina la "shida" na wazazi wake sasa amekuwa amebadili anaitwa "raha"
 
Habari salamu sio ndefu nimechefukwa mtoto wa dada yangu kapewa jina Moana, jina la kikatuni cha Disney nikapata maswali sana, kwanini hadi leo tunaendelea kushikilia majina ya wageni? Majina mazuri ya Kiswahili, lugha za asili yameisha au ndio tunayaona ya kizamani na hayafai kitu?

Kuna uhusiano gani kati ya kuwa Muislamu na kumpa mtoto jina la kiarabu? Au mkristo kumpa mtoto jina la Kizungu kama Frank, Aboubakar, Sameer, Chris, Dorice, Khadija

Kwanini sio majina ya kichina au kihindi? Labda dini ni kitu chema lakini isiondoe u-Afrika wetu. Tujitafakari.
Wewe c uncle wake muite "Tabu, Shida, Masumbuko na Sikujua au watoto wako wape haya ili ufurahi na roho yako
 
 
Back
Top Bottom