Kuwapa watoto majina ya kigeni Kizungu/Kiarabu ndio usasa au kutojitambua?

Kuwapa watoto majina ya kigeni Kizungu/Kiarabu ndio usasa au kutojitambua?

Habari salamu sio ndefu nimechefukwa mtoto wa dada yangu kapewa jina Moana, jina la kikatuni cha Disney nikapata maswali sana, kwanini hadi leo tunaendelea kushikilia majina ya wageni? Majina mazuri ya Kiswahili, lugha za asili yameisha au ndio tunayaona ya kizamani na hayafai kitu?

Kuna uhusiano gani kati ya kuwa Muislamu na kumpa mtoto jina la kiarabu? Au mkristo kumpa mtoto jina la Kizungu kama Frank, Aboubakar, Sameer, Chris, Dorice, Khadija

Kwanini sio majina ya kichina au kihindi? Labda dini ni kitu chema lakini isiondoe u-Afrika wetu. Tujitafakari.
Hivi wakristo waliacha kubatiza kwa kubadili jina la asili na kumpa mtoto jina la kizungu?

Ni utaratibu wa kizumbukuku sana
 
Sahizi mtoto ukimuita majina kama masanja, mabula, misoji, minza, rhobi na mengineyo mengi unaitwa mchawi pia unaabudu mizimu. Wengine huenda mbali na kudai mizimu ya mababu huwafuata watoto, acha tusonge hivi hivi.
Ni kuwa na fikra haba tu kimsingi ni lazima umuunge mtoto na mizimu ya babu zake, kumpa jina la kizungu unamuunganisha na mizimu ya wazungu huko anatokea kuwa wa ajabu ajabu tu

Kuna connection kubwa kati ya jina na mizimu ya mwenye jina
 
Habari salamu sio ndefu nimechefukwa mtoto wa dada yangu kapewa jina Moana, jina la kikatuni cha Disney nikapata maswali sana, kwanini hadi leo tunaendelea kushikilia majina ya wageni? Majina mazuri ya Kiswahili, lugha za asili yameisha au ndio tunayaona ya kizamani na hayafai kitu?

Kuna uhusiano gani kati ya kuwa Muislamu na kumpa mtoto jina la kiarabu? Au mkristo kumpa mtoto jina la Kizungu kama Frank, Aboubakar, Sameer, Chris, Dorice, Khadija

Kwanini sio majina ya kichina au kihindi? Labda dini ni kitu chema lakini isiondoe u-Afrika wetu. Tujitafakari.
Kwani wavaaji wanasemaje ?
 
Katika majina ya kikabila hapa tz wamasai pekee ndio wanamajina mazuri aisee wakifatiwa na wachaga [emoji617]

Wachaga wengi (kama sio wote) wana majina ya kizungu, hayo majina 'mazuri' labda ya ukoo (surnames).
 
Pia kingine majina ya kidhungu ni mepesi kutamkika, imagine hilo jina lako (mtoa mada) lingekuwa la kiswahili.[emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
mi katika vitu nilivyokataa mapema ni hili la kuita watoto majina ya kizungu. nilipata uzoefu nilivyotengeneza viatu vyangu vikakamatwa kisa jina langu la kizungu pale hongkong wakasema ni kopi vikataifishwa.
Binafsi ni marufuku jina la kizungu kwa mwanangu yeyote
Hata ID yangu haitatokea ikawa ya kizungu

Mama yangu anasema nikiwa mdogo nilipewa majina mawili, la kienyeji na la kizungu, nilikuwa nalia sana nikiitwa jina la kizungu

Kuna watu wanatetea majina ya kizungu kwa kuwa wameshabugi hawana namna kubadili[emoji1]
 
KATIKA KABILA ZOTE ZILIZOKO DUNIANI, KABILA LA WATU WEUSI NDIO JAMII YA CHINI NA YA KIPUMBAVU ZAIDI KULIKO JAMII ZA KABILA NYINGINE. WAHINDI WANA MAJINA YAO, WACHINA YAO, WAZUNGU (WARENO, WAJERUMANI, WAFARANSA, WAHISPANIA)YAO , WAARABU YAO, WARUSI YAO.

EBU TAFUTA HOTUBA YA BOTHA (ALIYEKUWA RAIS WA AFRIKA KUSINI)


Ukweli kuwa weusi wanaofanana na binadamu na kutenda mambo kama binadamu hayawahalalishi kuwa wao ni watu wenye akili timamu au binadamu aliyetimia. Kanunguyeye si nungunungu na mijusi hawawezi kuwa mamba kwa sababu eti wanafanana.

Hawana lolote jema isipokuwa mashujaa wa kupiga kelele, kucheza ngoma, kuoa wanawake wengi na kupenda sana ngono. Hebu sasa tukubali kuwa mtu mweusi ni alama ya umskini, udumavu wa akili, uvivu na aliyekosa ushindani. Hivi hapo je, si kweli kwamba mtu mweupe aliumbwa ili kumtawala mtu mweusi?

Hawana upeo wa kufikiri na huyo ndiye kiumbe dhaifu kisicho na akili ya kuona mbali.
Nakubalii
 
Habari salamu sio ndefu nimechefukwa mtoto wa dada yangu kapewa jina Moana, jina la kikatuni cha Disney nikapata maswali sana, kwanini hadi leo tunaendelea kushikilia majina ya wageni? Majina mazuri ya Kiswahili, lugha za asili yameisha au ndio tunayaona ya kizamani na hayafai kitu?

Kuna uhusiano gani kati ya kuwa Muislamu na kumpa mtoto jina la kiarabu? Au mkristo kumpa mtoto jina la Kizungu kama Frank, Aboubakar, Sameer, Chris, Dorice, Khadija

Kwanini sio majina ya kichina au kihindi? Labda dini ni kitu chema lakini isiondoe u-Afrika wetu. Tujitafakari.
Mwanao wa kwanza muite mkatanyege
 
Alitukana matusi mazito na kuudharau utu wetu. Nijuavyo mimi, si kila mtu mweusi ni mbaya kama ambavyo si kila mzungu ni mwema
KATIKA KABILA ZOTE ZILIZOKO DUNIANI, KABILA LA WATU WEUSI NDIO JAMII YA CHINI NA YA KIPUMBAVU ZAIDI KULIKO JAMII ZA KABILA NYINGINE. WAHINDI WANA MAJINA YAO, WACHINA YAO, WAZUNGU (WARENO, WAJERUMANI, WAFARANSA, WAHISPANIA)YAO , WAARABU YAO, WARUSI YAO.

EBU TAFUTA HOTUBA YA BOTHA (ALIYEKUWA RAIS WA AFRIKA KUSINI)


Ukweli kuwa weusi wanaofanana na binadamu na kutenda mambo kama binadamu hayawahalalishi kuwa wao ni watu wenye akili timamu au binadamu aliyetimia. Kanunguyeye si nungunungu na mijusi hawawezi kuwa mamba kwa sababu eti wanafanana.

Hawana lolote jema isipokuwa mashujaa wa kupiga kelele, kucheza ngoma, kuoa wanawake wengi na kupenda sana ngono. Hebu sasa tukubali kuwa mtu mweusi ni alama ya umskini, udumavu wa akili, uvivu na aliyekosa ushindani. Hivi hapo je, si kweli kwamba mtu mweupe aliumbwa ili kumtawala mtu mweusi?

Hawana upeo wa kufikiri na huyo ndiye kiumbe dhaifu kisicho na akili ya kuona mbali.
 
Habari salamu sio ndefu nimechefukwa mtoto wa dada yangu kapewa jina Moana, jina la kikatuni cha Disney nikapata maswali sana, kwanini hadi leo tunaendelea kushikilia majina ya wageni? Majina mazuri ya Kiswahili, lugha za asili yameisha au ndio tunayaona ya kizamani na hayafai kitu?

Kuna uhusiano gani kati ya kuwa Muislamu na kumpa mtoto jina la kiarabu? Au mkristo kumpa mtoto jina la Kizungu kama Frank, Aboubakar, Sameer, Chris, Dorice, Khadija

Kwanini sio majina ya kichina au kihindi? Labda dini ni kitu chema lakini isiondoe u-Afrika wetu. Tujitafakari.
Mkuu,

Pata mtoto wako umpe jina unalotaka, watoto wa wenzio waachie wawape majina wanayotaka.

Kwani shida iko wapi?

Unataka kuwapangia watu majina ya kuwapa watoto wao?
 
Wewe c uncle wake muite "Tabu, Shida, Masumbuko na Sikujua au watoto wako wape haya ili ufurahi na roho yako
Majina ya kwetu wkt mwingine changamoto kuba dada alipewa jina la "shida" na wazazi wake sasa amekuwa amebadili anaitwa "raha"

Hakuna majina yakizungu yenye maana mbaya? Kama mnaweza kuchagua mazuri kwanini kiswahili mnashindwa kuchagua mazuri? Au ndo uzungu umewazidi hamuoni ubaya wa majina ya masters wenu.
 
Mkuu,

Pata mtoto wako umpe jina unalotaka, watoto wa wenzio waachie wawape majina wanayotaka.

Kwani shida iko wapi?

Unataka kuwapangia watu majina ya kuwapa watoto wao?
Sija mpangia mtu Kaka,nimekosoa tu..
 
Hivi wazungu na waarab nao wanapapatikia majina yetu kweli.
Yalivyo taliza yalipoleta dini yakadai ukibatizwatu na jina ubadili mashenzi sana.
 
Sija mpangia mtu Kaka,nimekosoa tu..
Kukosoa kunatakiwa kuwe katika msingi wa mantiki.

Sasa kama mtu hapendi hayo majina unayopenda wewe unamkosoaje? Unamlazimisha apende kitu unachopenda wewe?

Nani kakupa haki ya kukosoa jina la mtoto wa mtu baki?

Ulimsaidia kuzaa? Una ubia kwenye hiyo ndoa au mahusiano hayo yaliyopelekea kumzaa huyo mtoto?

Hao unaotaka kuwapangia majina ya watoto wao walishawahi kukupangia wee jina la mtoto wako?
 
Umenena ukweli, wapo waliojikomboa kifikra na kuenzi utu na utamaduni wao kama akina Ngozi Okonjo-Iweala, Mokgweetsi Masisi, (rais wa Botswana), Uhuru Mwigai Kenyatta, Nkosazana Dlamini-Zuma, nk.

Mchina ajiite Stewart, Privatus, Abdallah au Mwakatobe; thubutu! Utambulisho wetu si rangi tu, ni pamoja na majina yetu, lugha yetu, historia yetu na utamaduni wetu. Piga-ua asili yetu kwanza, na ni fahari kwetu!
Tushajadili sana kuhusu majina hapa jukwani.

Wakristo wanajinasibisha na uzungu kwa kupitia majina vivyo hivyo kwa waislam. Wanaamini ukiitwa hivyo basi you're one step closer to uzungu/uarabu.

Sahizi ni kawaida kukutana na mmatumbi mweusi na nywele za kipilipili na majina matatu yote ya anayemuabudu; John Charles Paul au Abdallah Hussein Mohamed. Huwa nikikutana na mtu mzima wa hivi nacheka na kumshusha nyota hapo hapo.

Sasa wameenda mbali zaidi na kujikuta wao ni wazungu kuliko wazungu wenyewe wamekuja na hayo majina ya Moana, Cookie nk. Ni aibu.

Hii hali ipo zaidi bongo kuliko nchi nyingine yeyote Africa. Ukienda Nigeria, SA, Zambia hata hapo Kenya bado wanatumia majina yao na kutunza destruri zao hata mtoto azaliwe NYC au London. Leo unawasikia kina Rotimi, Wale, Dele,Kaluuya, Lupita nk wote wanamajina yao na wanatoboa fresh tu, sasa angekuwa mbongo ungefurahi.

Anyway, to each their own.
 
We are not only brainwashed, but also culturally enslaved!
Tushajadili sana kuhusu majina hapa jukwani.

Wakristo wanajinasibisha na uzungu kwa kupitia majina vivyo hivyo kwa waislam. Wanaamini ukiitwa hivyo basi you're one step closer to uzungu/uarabu.

Sahizi ni kawaida kukutana na mmatumbi mweusi na nywele za kipilipili na majina matatu yote ya anayemuabudu; John Charles Paul au Abdallah Hussein Mohamed. Huwa nikikutana na mtu mzima wa hivi nacheka na kumshusha nyota hapo hapo.

Sasa wameenda mbali zaidi na kujikuta wao ni wazungu kuliko wazungu wenyewe wamekuja na hayo majina ya Moana, Cookie nk. Ni aibu.

Hii hali ipo zaidi bongo kuliko nchi nyingine yeyote Africa. Ukienda Nigeria, SA, Zambia hata hapo Kenya bado wanatumia majina yao na kutunza destruri zao hata mtoto azaliwe NYC au London. Leo unawasikia kina Rotimi, Wale, Dele,Kaluuya, Lupita nk wote wanamajina yao na wanatoboa fresh tu, sasa angekuwa mbongo ungefurahi.

Anyway, to each their own.
 
Back
Top Bottom