Mwanamke mwenye tabia ya wizi ni pambo wapi na kwa nani?sio duniani tu hata kwa Mungu kuna sheria zinaapply kwa mwanaume ila kwa mwanamke haiapply...ndio maana vitabu vinatuambia tumewaumbia wanawake kama pambo kwetu wanaume na ukweli usiopingika wanawake ni viumbe dhaifu kwa wanaume lazima tuwahandle with care(they are fragile) Always ukiona mwanaume anabull mwanamke jua hajakamilika
Halafu wanaowapiga ni wafanyakazi na wao Kila siku wanaeaibia walio waajiri. .....asiye na dhambi na awe wa kwanza kumrushia huyu jiwe..... Eee Bwana kama wewe ungehesabu maovu yetu nani angesimama? Lakini kwako Kuna msamaha ili wewe uogopwe
Na huko kuiba kwao je!Ni Kwa vile tu wengi hawajui sheria lakini Hawa kina mama wanaweza kutajurika Kwa kwenda mahakamani kufungua kesi ya jinai kupigwa kuumizwa na shambulio la aibu...Baadae wakishinda jinai wafungue kesi ya madai kudhalilishwa na kuvunjiwa utu mbele ya jamii fidia b7
We wa Old Moshi hawa waliiba wapi.
🤣🤣🤣Jamaa wanawatandika balaa
Vipi wewe hujawahi mpiga mkeo ngumi? Au ni kwasababu jf tunadanganyana?Hata mimi imenikwanza sana, mwanaume inakuwaje unampiga hivyo mwanamke............hata hapa nimebishana na wife nikamweleza ni bora hata wangetafuta wanawake wenzao ndo wawaadhibu au wawasute, naturally haijakaa vyema.
Wambieni wake zenu waache uizi mwapage pesa ona sasa wanavyopondwa kama majokaDuh mbaya sana aisee. Halafu sijui kabila gani hawa majamaa wana sound warugaruga.
Hivi wewe unaibiwa utamhoji mtu kweli mazingira hayo? Usiombe kuibiwa, mfano unafanya kazi kwa mtu unaibiwa halafu muuzaji unakatwa mshahara omba unavyoumia nayeye pia anafamillia pia.Unaweza kuta hapo ameamua kufanya hivyo kwa ajili ya watoto, watoto wanalia njaa na yeye hana njia mbadala. Jamaa yake haeleweki. Watu wakiwashika wanawake dizaini hii lazima wawahoji kwa kina bila kuwaadhibu hivi. Wanaweza kupata ukweli ambao wenyewe ukawatoa machozi.
BTW, wanawake msijichukulie maamuzi mnapokua na wakati mgumu, tafuteni watu wa kuwaelezea
Hujaonaa au adhabu ndogo, ulitaka wakatwe mapanga ndio iwe adhabu.Mbona sijaona aliyepigwa hapo wakuu..
Duu umetisha [emoji32][emoji32][emoji32][emoji32]Sijapata kuona Wanaume Mashoga kama hawa, Yaani hawajui kabisa kupiga mtu. Wanatekenya wake za watu wanasems wanapiga Mwiz?
Inawezekana mwenzie ndiye kinara wa kuibaUyo bonge sjui ana dawa mana hapigwi anasahauliwa
Wakiwa na ushahidi sawa.Na huko kuiba kwao je!
Ila kwenye kwenye kuiba ndiyo poa ,kupigwa viumbe dhaifu acha wafundishwe adabu, kama yule mama arusha aliyefumaniwa na kudundwasio duniani tu hata kwa Mungu kuna sheria zinaapply kwa mwanaume ila kwa mwanamke haiapply...ndio maana vitabu vinatuambia tumewaumbia wanawake kama pambo kwetu wanaume na ukweli usiopingika wanawake ni viumbe dhaifu kwa wanaume lazima tuwahandle with care(they are fragile) Always ukiona mwanaume anabull mwanamke jua hajakamilika
Mkuu mwonekano wake unawatengenezea wapigaji uoga
Wanavyojazana kwenye madaladala kwenda kariakoo kumbe wanaenda kuibakuna mabadiliko makubwa sana kwenye jamii zetu kwa sasa.
Na inabidi mbinu za kupambana na haya mambo zibadilike
Hao viumbe dhaifu ndo tumesisitizwa tuishi nao kwa akilisio duniani tu hata kwa Mungu kuna sheria zinaapply kwa mwanaume ila kwa mwanamke haiapply...ndio maana vitabu vinatuambia tumewaumbia wanawake kama pambo kwetu wanaume na ukweli usiopingika wanawake ni viumbe dhaifu kwa wanaume lazima tuwahandle with care(they are fragile) Always ukiona mwanaume anabull mwanamke jua hajakamilika
Sasa sii bora hao wamewapiga wengine wangewala tigo kabisaHata mimi imenikwanza sana, mwanaume inakuwaje unampiga hivyo mwanamke............hata hapa nimebishana na wife nikamweleza ni bora hata wangetafuta wanawake wenzao ndo wawaadhibu au wawasute, naturally haijakaa vyema.
Waume zao wawapage pesa sio kutembeza miili mikubwa madukani kwa watu kumbe majiziWatu wazima kabisa masikini
Unazani vidhibiti havippo pale, wamepigwa mpaka mikoba yao wametupaishu inakuja kwenye vidhibiti ulivyomshika navyo huyo mwizi viko wapi..?? hapo wao wenyewe wameshaharibu mazingira