Kuwapiga wanawake hivi sio sawa hata kama ni wezi

Kuwapiga wanawake hivi sio sawa hata kama ni wezi

TRA Tanzania mmeona mambo yenu ya kubambikia watu kodi ya bilioni 30 kwenye kontena la vitenge? Matokeo yake ndio haya sasa, vitenge vinakua anasa
 
Unachimba mikwara huku umepaka lotion usoni eti pangechimbika... mwizi ni mwizi awe mwanamke au mwanaume haki yao wakikamatwa ni kuadhibiwa tu
sasa wewe ukishajiita mchicha unategemea nini! nipe location uione lotion ya kisukuma
 
Kipindi cja sikukuu hasa hizi za Eid ya baada ya Ramadhan, huwa wanaendaga maduka ya nguo/ viatu wakiwa wamevaa mabaibui wanaenda watatu watatu.

Kuna mmoja Tandika aliiba duka fulani corridor yake kumejificha ficha kidogo wahuni wakataka wamf**re, walishaitana itana na ndoms zao
 
Ni Kwa vile tu wengi hawajui sheria lakini Hawa kina mama wanaweza kutajurika Kwa kwenda mahakamani kufungua kesi ya jinai kupigwa kuumizwa na shambulio la aibu...Baadae wakishinda jinai wafungue kesi ya madai kudhalilishwa na kuvunjiwa utu mbele ya jamii fidia b7
Jidanganye, uniibie nikuadhibu
,ukanishitaki ushinde kesi, nikilipe; walahi hata wimi hutamaliza na huo utajiri wako
 
Quoted from Slowly
Wanawake ni vyombo vya starehe , chagua mwanamke utakayemfurahia achana na ngojera sjui anajua maisha na us*e use* mwingine , wanaume sisi tumeumbiwa mateso na kufa basi .... Unashangaa mwanaume mzima anaanza kumlaumu mwanamke , ewe mwanaume Tambua wanawake wote hawapo Kwa ajili ya kuhangaika, ni luxurious hao , mwanamke yyte akiona kuna upenyo wa kupata luxurious sehemu atakugaragaza tuu akikuheshimu Sana atafanya Kwa Siri ...

wewe kazi yako ni kupambana , kuzaa na kulea familia zen unakufa story yako duniani inaishia hapo
 
Mi nlicho jifunza kwa mamlaka zetu kwa upande wa mwizi,ukimkata mwizi jitahidi umalizane nae
 
Wanapaswa wafanyiwe nini?
Itakua hajaibiwa bado wezi ni watu hatari kwenye anga zao

kuna jmaa mmoja katoka zake bush kaja town kapambana mishe zake zenyewe kubeba cargo sokoni kazi ngumu balaa, kjipanga kama miaka miwili hvi akapanga chumba na ndani vitu alikua kashajaza wahuni walipita na chumba kizima,

Kuna mwengne alikuwa anarudi nyumbani usiku kakutana na vibaka wakataka kumpora akawabishia walimchana chana na viwembe uso mzima na wakamwibia kila kitu.

Halafu niambie mtu kama huyu akutane na mwizi eti asi.pige sasa amfanye nini tena hao wamama hawajapigwa kabisa sijui wanaosikugika wanasikitika nini
 
Kuna kitoto juzi ni under 16 kimechomwa moto walidhani ni mwizi wa simu kumbe simu zilikuwa zinafanana.
Waliohusika wamekamatwa wapo kolokoloni
Kwa hyo unataka kusemaje Dr!!

Mwizi akikamatwa asipigwe au ??
 
Wezi wanakera sana..ibiwa siku moja ndo utajua uchungu wake...hapo bado hawajapigwa vizuri..inatakiwa paka wachakaee...

Na wanawake wengi saivi wanatumika sana kwa uwizi kwenye maduka ya nguoo na viatu...

Na wanajua wakikamatwa watapata huruma ya wananchi kisaa tuu ni wanawake ili wasipate kibano
Huna tofauti na hao wezi, jamii iliyostaarabika haifanyi hayo mambo ya kupiga watu ovyo, kuna utaratibu, kamata ita polisi au mamlaka inayohusika,wangekuwa tishio kwa wengineningeelewa lakini hao wanawake sio tishio kwa maisha ya wengine, hata polisi haruhusiwi kukupiga risasi ukikimbia, tuwe wastaarabu kidogo
 
Kilichomtuma akaibe ni nini , acha apondwe pondwe tu tena kama yule mama mtu mzima hawajampiga sawa sawa wangempa za mgongoni atoke mpaka vitusu
Kwa hiyo kuwapiga ndio adhabu yake, hawakuwa tishio hao wangeweza kabisa kuwashika na kuita polisi, tuache kuishi kama wanyama
 
Huna tofauti na hao wezi, jamii iliyostaarabika haifanyi hayo mambo ya kupiga watu ovyo, kuna utaratibu, kamata ita polisi au mamlaka inayohusika,wangekuwa tishio kwa wengineningeelewa lakini hao wanawake sio tishio kwa maisha ya wengine, hata polisi haruhusiwi kukupiga risasi ukikimbia, tuwe wastaarabu kidogo
Acha miyeyusho mjomba ustaarabu kitu gani kama yeye angekuwa mstaarabu asingeiba, halafu eti sio tishio kwa usalama kuna mwizi ambaye sio tishio kwa usalama, k
 
Back
Top Bottom