Manfried
JF-Expert Member
- Oct 11, 2024
- 1,288
- 4,074
Mbona DSM bado ina space kubwa tu.
Hapo unachobidi kuzungumzia ni kuboresha miundombimu Kama barabara mfano kuwa na Gari za mwendokasi za kutosha
Ujenzi Kuwa advanced Kama kujenga ghorofa and so on
Then hauwez ukatoa pendekezo kuwa MTU ahamishe makazi kutoka dad to Bukoba wakati most of people are here due to the opportunities Kama Ajira ,biasharana n.k
So what matter most ni opportunity na Kuwa na mipango mizuri ya upangaliaji wa majengo na kuboresha miundobinu Kama Barabara n.k
Hapo unachobidi kuzungumzia ni kuboresha miundombimu Kama barabara mfano kuwa na Gari za mwendokasi za kutosha
Ujenzi Kuwa advanced Kama kujenga ghorofa and so on
Then hauwez ukatoa pendekezo kuwa MTU ahamishe makazi kutoka dad to Bukoba wakati most of people are here due to the opportunities Kama Ajira ,biasharana n.k
So what matter most ni opportunity na Kuwa na mipango mizuri ya upangaliaji wa majengo na kuboresha miundobinu Kama Barabara n.k