Kuwekwa kwa somo ya Kiislamu kwenye Tahasusi kunaashiria nini?

Kuwekwa kwa somo ya Kiislamu kwenye Tahasusi kunaashiria nini?

Haitakiwi kuwa mtaala wa serikali.
Ina maana hao walimu wa dini watakuwa wakilipwa mshahara na serikali ( Ajabu hii kwa serikali isiyo na dini).
Mtaala wowote wa Elimu una malengo unataka kufanikisha, huu wa dini lengo lake ni nini?
Kama taifa tumeona kuna upungufu kwenye suala la Dini kwamba linahitaji kuongeza Nguvu?
Hao watoto unaowafunza dini, unataka waje kufanya nini baadae? ( career)
Maswali ni Mengi ukijiuliza unabaki unashangaa tu.
hilo ni somo kama somo lingine lazma walipwe.pia lina faida katika kujenga maadil ndani ya jamii.
 
Mbona hujajibu maswali Mengine?
Hiyo ni Imani, Ideology ( unamprogram mtu ) hilo sio somo la kawaida.

Maadili?
So, mmomonyoko wa maadili ni kwa kuwa hatuna somo la kiislam kama somo rasmi?
bila shaka kizazi kinatpotea kwa kukosa mafunzo ya maadili.na uislam unafundisha hayo maadili.acha chuki.
 
Hilo somo la physical education lipo katika nchi jirani,au lipo kimataifa,au tunakuwa corrupted na soccer?
 
bila shaka kizazi kinatpotea kwa kukosa mafunzo ya maadili.na uislam unafundisha hayo maadili.acha chuki.
Chuki iko wapi mkuu?
Kwanini nikuchukie wewe au yeyote yule?
Ntapata nini nikikuchukia.
Serikali ( isiyo na dini ) inatumia kodi za wananchi ( wa dini zote) kufundisha ideology fulani ( ambayo sio wananchi wake wote wanaiamini).
Hichi ni kichekesho.
Mnataka hao watoto ( mnaowaprogramm tangu wakiwa wadogo) waje kuwa kina nani?
Mnatengeneza taifa la wafanya mihadhara?
 
View attachment 2680112

Kuna siri nyuma ya pazia? Kuna watu wana jambo lao? Kama sio kwa nini Bible knowledge haipo? Kwa nini limekuja awamu ya 6?

=====

Hii ni orodha ya masomo kwenye TAHASUSI za Tanzania Bara pamoja na Zanzibar, kwa Zanzibar wana masomo ya dini yanayoingia kwenye TAHASUSI tofauti na Tanzania Bara.

A-level subject combinations for Tanzania Bara (Mainland) and Zanzibar


If you’re looking for A’level Combinations in Tanzania, This guide will help you as we have provides all information about A’level Combinations in Tanzania.

Doing or choosing the right Combination after O’level is very mandatory, since professional career begins in choosing the right Combination and it also plays a vital role in professional life. In the current scenario with so many available options for courses and tough competition, it is very hard and confusing to decide for both students and parents. With so many influential people around, we often get swayed or simply do what is toNaturalld by our parents.

But it is very important to know and analysis your interests as well as options available in that Field.
Let us have a look of all A’level Combinations in TANZANIA to understand your career option
in a better way:

The following are the List of A’level Combinations in Tanzania.

Tanzania Bara (Mainland)
  • PCM - Physics, Chemistry and Mathematics
  • PCB - Physics, Chemistry and Biology
  • PGM - Physics, Geography and Mathematics
  • EGM - Economics, Geography and Mathematics
  • CBG - Chemistry, Biology and Geography
  • CBA - Chemistry, Biology and Agriculture
  • CBN - Chemistry, Biology and Food and Human Nutrition
  • PMC – Physics, Mathematics and Computer Science
  • PeBFa – Physical Education, Biology and Fine Arts
  • HGL - History, Geography and English Language
  • HGK - History, Geography and Kiswahili
  • HKL - History, Kiswahili and English Language
  • KLF - Kiswahili, English Language and French
  • ECA - Economics, Commerce and Accountancy
  • HGE - History, Geography and Economics
  • PeGE – Physical Education, Geography and Economics
  • KFC – Kiswahili, French and Chinese
  • KEC – Kiswahili, English and Chinese
Zanzibar
  • PCB - Physics, Chemistry and Biology
  • PCM - Physics, Chemistry and Mathematics
  • PGM - Physics, Geography and Mathematics
  • EGM - Economics, Geography and Mathematics
  • CBG - Chemistry, Biology and Geography
  • CBA - Chemistry, Biology and Agriculture
  • CBN - Chemistry, Biology and Food and Human Nutrition
  • PMC – Physics, Mathematics and Computer Science
  • PeBFa – Physical Education, Biology and Fine Arts
  • HGL - History, Geography and English Language
  • HGK - History, Geography and Kiswahili
  • HKL - History, Kiswahili and English Language
  • KLF - Kiswahili, English Language and French
  • ECA - Economics, Commerce and Accountancy
  • HGE - History, Geography and Economics
  • PeGE – Physical Education, Geography and Economics
  • CBA - Chemistry, Biology and Agriculture
  • HKF - History, Kiswahili, French language
  • AHG - Arabic language, History and Geography
  • KAR - Kiswahili, Arabic language, and Islamic
  • KLG - Kiswahili, English language and Geography
  • AKF - Arabic Language, Kiswahili and french language
  • AHK - Arabic language, History and Kiswahili
  • AKL - Arabic language, Kiswahili and English language
  • KLI - Kiswahili English Language and Islamic
  • GKI - Geography, Kiswahili and Islamic
  • CBM - Chemistry, Biology and Mathematics
  • HLF - History, English language and French language
  • PeCB - Physical Education, chemistry and Biology
  • PcoM - Physics, Computer and Advanced Mathematics
Schoolpvh
Umeeleweka KAFIRI,chuki yako dhidi ya uislamu ni kubwa mno
 
View attachment 2680112

Kuna siri nyuma ya pazia? Kuna watu wana jambo lao? Kama sio kwa nini Bible knowledge haipo? Kwa nini limekuja awamu ya 6?

=====

Hii ni orodha ya masomo kwenye TAHASUSI za Tanzania Bara pamoja na Zanzibar, kwa Zanzibar wana masomo ya dini yanayoingia kwenye TAHASUSI tofauti na Tanzania Bara.

A-level subject combinations for Tanzania Bara (Mainland) and Zanzibar


If you’re looking for A’level Combinations in Tanzania, This guide will help you as we have provides all information about A’level Combinations in Tanzania.

Doing or choosing the right Combination after O’level is very mandatory, since professional career begins in choosing the right Combination and it also plays a vital role in professional life. In the current scenario with so many available options for courses and tough competition, it is very hard and confusing to decide for both students and parents. With so many influential people around, we often get swayed or simply do what is toNaturalld by our parents.

But it is very important to know and analysis your interests as well as options available in that Field.
Let us have a look of all A’level Combinations in TANZANIA to understand your career option
in a better way:

The following are the List of A’level Combinations in Tanzania.

Tanzania Bara (Mainland)
  • PCM - Physics, Chemistry and Mathematics
  • PCB - Physics, Chemistry and Biology
  • PGM - Physics, Geography and Mathematics
  • EGM - Economics, Geography and Mathematics
  • CBG - Chemistry, Biology and Geography
  • CBA - Chemistry, Biology and Agriculture
  • CBN - Chemistry, Biology and Food and Human Nutrition
  • PMC – Physics, Mathematics and Computer Science
  • PeBFa – Physical Education, Biology and Fine Arts
  • HGL - History, Geography and English Language
  • HGK - History, Geography and Kiswahili
  • HKL - History, Kiswahili and English Language
  • KLF - Kiswahili, English Language and French
  • ECA - Economics, Commerce and Accountancy
  • HGE - History, Geography and Economics
  • PeGE – Physical Education, Geography and Economics
  • KFC – Kiswahili, French and Chinese
  • KEC – Kiswahili, English and Chinese
Zanzibar
  • PCB - Physics, Chemistry and Biology
  • PCM - Physics, Chemistry and Mathematics
  • PGM - Physics, Geography and Mathematics
  • EGM - Economics, Geography and Mathematics
  • CBG - Chemistry, Biology and Geography
  • CBA - Chemistry, Biology and Agriculture
  • CBN - Chemistry, Biology and Food and Human Nutrition
  • PMC – Physics, Mathematics and Computer Science
  • PeBFa – Physical Education, Biology and Fine Arts
  • HGL - History, Geography and English Language
  • HGK - History, Geography and Kiswahili
  • HKL - History, Kiswahili and English Language
  • KLF - Kiswahili, English Language and French
  • ECA - Economics, Commerce and Accountancy
  • HGE - History, Geography and Economics
  • PeGE – Physical Education, Geography and Economics
  • CBA - Chemistry, Biology and Agriculture
  • HKF - History, Kiswahili, French language
  • AHG - Arabic language, History and Geography
  • KAR - Kiswahili, Arabic language, and Islamic
  • KLG - Kiswahili, English language and Geography
  • AKF - Arabic Language, Kiswahili and french language
  • AHK - Arabic language, History and Kiswahili
  • AKL - Arabic language, Kiswahili and English language
  • KLI - Kiswahili English Language and Islamic
  • GKI - Geography, Kiswahili and Islamic
  • CBM - Chemistry, Biology and Mathematics
  • HLF - History, English language and French language
  • PeCB - Physical Education, chemistry and Biology
  • PcoM - Physics, Computer and Advanced Mathematics
Schoolpvh
Kwani hiyo "tahasusi" unayoiongelea ni lazima mtu asiyeitaka aisome?
 
Jiandaeni huko mbeleni tenda au Ajira za Bandari zitakuwa na kifungu hiki: Knowlege of Islamic and Arabic Language will be an added advantage
Siyo "mbeleni" Hata sasa ni advantage kubwa sana kwenye banking Industry toka zilipoanzishwa Islamic Bnking na kutapakaa duniani. Pia kama ulivyoona kuna Takaful ambayo ni Islamic Insurance imeshaanza kutapakaa duniani.

kama hayo hayatoshi, Wizara ya mambo ya je ni advantage kubwa sana masomo hayo Pia UWT, tena UWT ukiwa na masomo hayo unatafutwa wewe, hutafuti kazi. Hiyo ni dunia nzima.

Kwanini ubaki nyuma?
 
Chuki iko wapi mkuu?
Kwanini nikuchukie wewe au yeyote yule?
Ntapata nini nikikuchukia.
Serikali ( isiyo na dini ) inatumia kodi za wananchi ( wa dini zote) kufundisha ideology fulani ( ambayo sio wananchi wake wote wanaiamini).
Hichi ni kichekesho.
Mnataka hao watoto ( mnaowaprogramm tangu wakiwa wadogo) waje kuwa kina nani?
Mnatengeneza taifa la wafanya mihadhara?
Wanataka wawe na watu competent wakufanya mihadhara tu kuzodoa dini zingine.

Wanatengeneza wafia dini kwa ajili ya kumnusuru Allah
 
bila shaka kizazi kinatpotea kwa kukosa mafunzo ya maadili.na uislam unafundisha hayo maadili.acha chuki.
Unajua inabidi tufike sehemu tutofautishe “state” and “religion”. Wanaohoji wana haki maana asilimia 4 ya mapato ya muungano huenda Zanzibar. Pia katiba ya Jamhuri ambayo ni katiba mama ina elimu ya juu kama suala la Muungano. Kuchukua hela yangu kumlipa mwalimu wa dini wa upande mmoja ni kosa.
Kama ambavyo leo Bible knowledge ni option huku kwingine hiyo Islamic religion ingekua option. Anayeisoma ajigharamikie mwenyewe. Hapo tutakua na state sponsored religion. Sio haki.
 
View attachment 2680112

Kuna siri nyuma ya pazia? Kuna watu wana jambo lao? Kama sio kwa nini Bible knowledge haipo? Kwa nini limekuja awamu ya 6?

=====

Hii ni orodha ya masomo kwenye TAHASUSI za Tanzania Bara pamoja na Zanzibar, kwa Zanzibar wana masomo ya dini yanayoingia kwenye TAHASUSI tofauti na Tanzania Bara.

A-level subject combinations for Tanzania Bara (Mainland) and Zanzibar


If you’re looking for A’level Combinations in Tanzania, This guide will help you as we have provides all information about A’level Combinations in Tanzania.

Doing or choosing the right Combination after O’level is very mandatory, since professional career begins in choosing the right Combination and it also plays a vital role in professional life. In the current scenario with so many available options for courses and tough competition, it is very hard and confusing to decide for both students and parents. With so many influential people around, we often get swayed or simply do what is toNaturalld by our parents.

But it is very important to know and analysis your interests as well as options available in that Field.
Let us have a look of all A’level Combinations in TANZANIA to understand your career option
in a better way:

The following are the List of A’level Combinations in Tanzania.

Tanzania Bara (Mainland)
  • PCM - Physics, Chemistry and Mathematics
  • PCB - Physics, Chemistry and Biology
  • PGM - Physics, Geography and Mathematics
  • EGM - Economics, Geography and Mathematics
  • CBG - Chemistry, Biology and Geography
  • CBA - Chemistry, Biology and Agriculture
  • CBN - Chemistry, Biology and Food and Human Nutrition
  • PMC – Physics, Mathematics and Computer Science
  • PeBFa – Physical Education, Biology and Fine Arts
  • HGL - History, Geography and English Language
  • HGK - History, Geography and Kiswahili
  • HKL - History, Kiswahili and English Language
  • KLF - Kiswahili, English Language and French
  • ECA - Economics, Commerce and Accountancy
  • HGE - History, Geography and Economics
  • PeGE – Physical Education, Geography and Economics
  • KFC – Kiswahili, French and Chinese
  • KEC – Kiswahili, English and Chinese
Zanzibar
  • PCB - Physics, Chemistry and Biology
  • PCM - Physics, Chemistry and Mathematics
  • PGM - Physics, Geography and Mathematics
  • EGM - Economics, Geography and Mathematics
  • CBG - Chemistry, Biology and Geography
  • CBA - Chemistry, Biology and Agriculture
  • CBN - Chemistry, Biology and Food and Human Nutrition
  • PMC – Physics, Mathematics and Computer Science
  • PeBFa – Physical Education, Biology and Fine Arts
  • HGL - History, Geography and English Language
  • HGK - History, Geography and Kiswahili
  • HKL - History, Kiswahili and English Language
  • KLF - Kiswahili, English Language and French
  • ECA - Economics, Commerce and Accountancy
  • HGE - History, Geography and Economics
  • PeGE – Physical Education, Geography and Economics
  • CBA - Chemistry, Biology and Agriculture
  • HKF - History, Kiswahili, French language
  • AHG - Arabic language, History and Geography
  • KAR - Kiswahili, Arabic language, and Islamic
  • KLG - Kiswahili, English language and Geography
  • AKF - Arabic Language, Kiswahili and french language
  • AHK - Arabic language, History and Kiswahili
  • AKL - Arabic language, Kiswahili and English language
  • KLI - Kiswahili English Language and Islamic
  • GKI - Geography, Kiswahili and Islamic
  • CBM - Chemistry, Biology and Mathematics
  • HLF - History, English language and French language
  • PeCB - Physical Education, chemistry and Biology
  • PcoM - Physics, Computer and Advanced Mathematics
Schoolpvh
Hizo combi si zipo Zanzibar tu, ss ww inakuuma nn ingekuwa zipo na bara Sawa. Hapo cha kufanya ili usiendelee kuumia peleka ombi wizara ya elimu ili waweke kombi za bible knowledge, hata wakristo wenyewe hawataki kuijua dini yao. Zanzibar wao wana imanı wanasoma uislamu mpk kwenye combi lkn ukiileta bara hakuna atakayetaka kusoma bible knowledge kila mtu atakimbilia kombi za PCB, PCM n.k ili baadae waje kuwa wapigaji
 
AMA KWELI LEO NDIO NIMEAMINI KUWA WATANZANIA WAPE KICHWA CHA HABARI TU MAELEZO YA HABARI WATAYASHUSHA WAO WENYEWE.

licha ya hivyo, mtoa mada kaweka na maelezo kabisa kuwa, Somo la islamic limeongezwa kwenye combination Kwa upande wa ZANZIBAR tu. Cha ajabu karibu asilimia 90 ya wachangiaji wanachangia kana kwamba Hilo Somo limeongezwa kwenye combination Kwa Tanzania bara.

Tambua vitu vifuatavyo Kwa upande wa ZANZIBAR hapo ndipo utaona umuhimu wa kuziweka Somo hili kwenye combination.

1. 95% ya wazanzibari ni waislamu na wanahimiza kuishi katika maadili ya muislamu.

2. Kutokana na wingi huo wa waislam na himizo la kufuata maadili ya uislam, Somo la EDK (elimu ya dini) inafundishwa kuanzia ngazi ya awali mpaka sekondari, na nilazima Kwa Kila mwanafunzi kulisoma.

3. Somo la EDK linafanywa na Kila mwanafunzi kwenye mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi na sekondari pia.

4. WALIMU wa EDK wanalipwa mshahara kutoka serikalini na Kila shule ina walimu hao na wanaajiriwa na serikali kama walimu wengine.

Mpaka kufikia hapo utaona jitihada kubwa inafanywa na serikali ya zanzibar kwenye Somo hili ambalo ndio msingi mkubwa maadili Kwa upande wao.

Kwa kuongezea, chuo kikuu Cha waislam wa morogoro kinatoa kozi kadhaa zinazohusisha Somo la islamic, kwahiyo lazima pawe na combination zitakazowapa fursa watoto kujiunga na kozi hizo.

Kuna vyuo vingi mpaka uingereza huko vinavyotoa kozi zinazohitaji mtu ambae kasoma islamic studies ngazi ya advance...hivyo wazanzibari watakuwa na fursa ya kusoma huko. Na sisi wabara huku tutakuwa na fursa hiyo Kwa kuwa Kuna baadhi ya shule za private Somo la islamic ni lazma Kwa Kila mwanafunzi kulisoma hata akiwa PCM ataongezea Somo la islamic studies.

Mpaka sasa Mimi sijaona tatizo la Somo la islamic studies kuwekwa kwenye combination Kwa upande wa ZANZIBAR kulinganisha na mfumo wa kimalezi na kimaadiki Kwa upande wao.

Wachangiaji wengi wamechangia wakisukumwa na chuki za kidini (dini ya muislamu)....imagine mtu anachukia mpaka Arabic language kuwekwa kwenye combination. Wakati ukienda pale taasisi ya lugha ya kiarabu Tanzania Kuna wakristo kibao (hasa wakenya waishio TZ) wanasoma lugha ya kiarabu. Inafikia hatua chuki inamtia mtu upofu mpaka anashindwa kutofautisha UISLAMU na KIARABU.
 
Back
Top Bottom