Kuweni makini sana na hawa single mama, mimi yamenikuta mazito ila namwachia Mungu

Kuweni makini sana na hawa single mama, mimi yamenikuta mazito ila namwachia Mungu

Hammer11

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2024
Posts
1,518
Reaction score
2,174
1733570637117.jpg
 
Wala hukutakiwa kubishana nae hadi paragraph ya pili. Hakuna kitu kibaya duniani kama kuoa au kuwa na mwanamke unaempenda lakini asiekupenda. Utakuwa mtumwa wa mapenzi au unaweza hata kukuta unapoteza maisha au unapewa kifungo cha maisha jela. Kaa mbali sana ikiwa mwanamke hakupendi, hata kama unampenda kuliko unavyompenda mama yako!

Kumkumbatia mwanamke unaempenda lakini yeye hakupendi ni sawa na kuamua kumkumbatia nyoka black mamba (koboko) kwa kuwa umeona anatabasamu!

1733571473385.jpeg
 
Back
Top Bottom