City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Hii inaweza kuwa chai, uandishi unafanana hasa kufupishwa maneno. Hapa mdau ni kama anatuma na kujjibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Huyu doly huyu khaaUmeandika kwa uchungu sana hiyo "utanikumbuka doly" 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Kila. Siku mnaambiwa humu mna kaza fuvu. Next time unahitaji viboko
Jamaa anatuona mabwege sanaHiyo convo ameandika mtu mmoja. 😎
-Kaveli-
Hahaha.. Nimejikuta nacheka
sio mtu mzuri 😀🤣🤣🤣 Huyu doly huyu khaa
kwahiyo ulikua unafanya vitu unataka doly akukumbuke? akili zako zilikua wapi?
Mbona kama mwandishi wa hizo meseji zote ni mtu mmoja?
Anakueleza alilipa Ada, Kodi ya nyumba halafu anasema doly atamkumbuka , penye r anaweka l na penye l anaweka r , labda doly atamkumbuka kwa l na r zakeHuyo Dolly na wewe D wote majina yenu yanaanza na D.. mmeshindwa kuunganisha angalau mpate D mbili ili muwe na akili..
Pole mkuu jitahidi kihudhuria vikao kule hakuna ada Wala viboko.