iamwangdamin
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 864
- 1,798
AMEIBA TWITTER ZAMANI EXIIIIIUmeandika kwa uchungu sana hiyo "utanikumbuka doly" 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AMEIBA TWITTER ZAMANI EXIIIIIUmeandika kwa uchungu sana hiyo "utanikumbuka doly" 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Ndugu Mwanamke unavyozidi kumpenda ndio unavyozidi kuangamia. Usipende kama hauna ndugu ? Kuwa open minded mwache mwanamke akufanye umpende au umchezee usiweke hisia kabisa.
Alishindwa kujizuiaSingle mama we tomba tembea huyo n kama mke wa mtu tu
Mr chakii umetisha bwashee😆😅😅😅Pole. Kusikia kwa kenge mpaka damu zimtoke masikioni
Kupunguza hasra tafuta wengne masingle mama pga tembea had waone dunia chunguKweli
Sahihi☹Wala hukutakiwa kubishana nae hadi paragraph ya pili. Hakuna kitu kibaya duniani kama kuoa au kuwa na mwanamke unaempenda lakini asiekupenda. Utakuwa mtumwa wa mapenzi au unaweza hata kukuta unapoteza maisha au unapewa kifungo cha maisha jela. Kaa mbali sana ikiwa mwanamke hakupendi, hata kama unampenda kuliko unavyompenda mama yako!
Ni salama zaidi kumkumbatia nyoka black mamba kuliko kumkumbatia mwanamke unaempenda lakini yeye hakupendi. Angalau tabasamu la black mamba utakapomkumbatia litakuwa na kweli!
View attachment 3171306
Kama vipi muombe mpige nae shoo ya mwisho mwisho halafu kandamiza kama yule mjeda mstaafu wa Tabora aliyekandamiza maQu hadi wakakata moto 🤣🤣