granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
Kuna singo mama huwa nakula kiaina, juz kat kaniambia anaolewa, nikampa hongera, akajbu bad thng naolewa na mtu ambaye simpendi hata ila yy ananipenda kufa, nikamuuliza sasa kwa nn anakubali kuolewa na mtu asiyempenda? akajbu wanawake wote walio kwenye cycle yake wameolewa bado yy tu, kwa hyo inabdi aolewe hvo hvo tu.Mr chakii umetisha bwashee
namuonea huruma mwamba maana mwanamke mwenyewe ni kivuruge, na hv hampendi, hakuna rang ataacha ona.