Kuweni makini sana na hawa single mama, mimi yamenikuta mazito ila namwachia Mungu

Wala hukutakiwa kubishana nae hadi paragraph ya pili. Hakuna kitu kibaya duniani kama kuoa au kuwa na mwanamke unaempenda lakini asiekupenda. Utakuwa mtumwa wa mapenzi au unaweza hata kukuta unapoteza maisha au unapewa kifungo cha maisha jela. Kaa mbali sana ikiwa mwanamke hakupendi, hata kama unampenda kuliko unavyompenda mama yako!

Kumkumbatia mwanamke unaempenda lakini yeye hakupendi ni sawa na kuamua kumkumbatia nyoka black mamba (koboko) kwa kuwa umeona anatabasamu!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…