Kuzaa na mtu hakukupi haki ya kufanya naye ngono kila utakapo!

unakosea sana kaka, na kama unaona hivyo bora uchukue wanao ukawalee mwenyewe. ukiwa na mda ntakupa mkanda wote ili unijudge vzuri. sio kuassume vitu usivyovijua ni heri ungeniuliza
 
Khe ya kweli hayaπŸ˜€
 
Co-parenting hapa ndipo huwaga vijana ndipo wanapo ogopa kuoa single mother,japo wapo single mother wachache wanaoweza kuwakazia walio wazalisha.
 
Ila wanaume sisi, yani watoto wakwako mwenyewe kuwahudumia hataki kisa umenyimwa mbususuπŸ˜‚. Shikilia hapo hapo dada akitaka mbususu akapewe na mkewe hukoπŸ˜‚
DIAMOND mwenyewe alishawahi kusemaa yani nimhudumie yeye na mtoto alafuu nisilambee utamuu wee umesikiaa wapiii???? huyu ni suala la muda tu ila atatoa tu utamuuu
 
Unatumia kinywaji gani ?? Agiza naja lipia

Nafurahishwa na kina nyie mnaotuchukulia in positive ways

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…