Kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa?

Kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa?

Kuzaliana kunasaidia kutegemeana, assume watu wasingezaliana hilo swali ulilouliza ungemuuliza Nan? Ili maisha yawepo lazma kuwe na mwendelezo wa kizazi, faida sio lazima iwe direct , watu wanazaliwa ila mtegemeano uweze kubance maisha yaendelee
 
Kuzaliana kunasaidia kutegemeana, assume watu wasingezaliana hilo swali ulilouliza ungemuuliza Nan? Ili maisha yawepo lazma kuwe na mwendelezo wa kizazi, faida sio lazima iwe direct , watu wanazaliwa ila mtegemeano uweze kubance maisha yaendelee
😀😀
 
images (1) (1).jpeg
Haya maisha ukiyafikiria sana unaweza kuamua kwenda kuishi porini na ndege.

So far sijagundua any true meaning or purpose of life zaidi ya kuishi tu na ku enjoy life.

Wenye imani zaidi wataongeza makusudi mengine kama
kumuabudu muumbaji,
kutafuta furaha,
kufuata njia kuelekea uungu (enlightenment) ambayo inahusisha mambo kama kuhudumia wengine, n.k

Sasa hapo kwenye kuishi na kui enjoy life ndo mauzauza yanapoanza nahisi hata muumbaji mwenyewe anaangalia na kusema nilikosea wapi!

Kila kiumbe kina namna yake ya kuishi na ku enjoy maisha, we humans being the most complex.

Sasa if you're depressed utaona kila kitu hakina maana.

Mimi watoto/family is my thing. Siwezi kukuelezea kwanini maana clearly this is not your thing. Asiyejua maana haambiwi maana.

Wengine hawataki majukumu wao wakitoka kibaruani ni marafiki tu wakae wazungushe round Kila siku wapige porojo, wasafiri, they're Happy. Hela zao tutarithi kina sie tunatotoa Kila mwaka.

Wengine ni kazi tu. Kina Newton, Einstein, nini... They're just immersed in their works all their life. No social life, no family...

Wengine wa kiroho, wale mamishonari, wale saa 12 wako na speaker barabarani, mapadri, ma monk huko milimani n.k

It's all meaningless but binadamu tuna shughuli sana, na mtu ukiwa hujitambui utateseka sana Kwenye hii dunia, watu watakuendesha mpaka basi, tena na maendeleo ya viwanda na teknolojia ndo utateseka vizuri.

Mf. Unajijua hutaki watoto lakini unazaa kwasababu ya watu, wanaoteseka kwenye ndoa kwasababu ya watu, wanaohangaika kupata vitu vipya vya bei ghali kila siku, wanaohangaikia utajiri hadi kuua, wanaohangaikia muonekano wao Hadi kufanya upasuaji n.k

Dunia uwanja wa fujo!

Kujibu swali lako, kuzaliana haimsaidii anayezaa. Kwani alikwambia ana shida? 😄
 
Hiyo nishati hutokana na nini Chifu?

Au wadhani madini ni dhahabu, chuma yatokayo ardhini pekee bila kujua hata mwilini mwako umejawa na madini [emoji848][emoji38]
Duuh hebu Watanzania ifikie wakati tukubali kusahihishwa.

Sitazungumzia mambo ya madini yanapatikana wapi maana sio sehemu ya mjadala husika.

Unapozungumzia "fossil fuel" unakua unazungumzia nishati zinazozalishwa ardhini kutokana na mabaki ya viumbe.
Fossil fuel inajumuisha mafuta (oil) gesi asilia (natural gas) na makaa ya mawe (coal).

Niendelee kukusisitiza kwamba uliposema kwamba fossil fuel ni madini haukua sahihi. Fossil fuel ni nishati.
Kama unajisikia vibaya kukosolewa, basi naomba tu unisamehe.
Na kama unaona mimi nafaidi kukueleza haya, basi itumie hata Google.

Na kama msingi wako ni kwamba fossil fuel ni madini kwa sababu yanachimbwa chini, basi maana yake next step utakuja kutuambia hapa kwamba karoti, karanga, mihogo na viazi navyo ni madini.
 
Nimekuwa najiuliza sana hili swali. Nakumbuka mara ya kwanza kuwaza hivi nilimuuliza mama. Nikasema sisi lengo letu nini? Bibi kamzaa mama, bibi anazeeka anakufa. Na mama anatuzaa sisi, nae atazeeka na atakufa vile vile. Na mimi naanza kupambana na mihangaiko ya maisha kisha nazaa watoto. Then what?


Kama mleta maada alivyosema, labda kama tungekuwa hatufi ingeleta maana.
Kama watu wa BC hakuna wanachofaidika na kizazi hiki ya nini kuzaana? Si tustop biashara kichaa iishie hapa?

au sisi tumefungwa na kitu fulani ambacho lengo lake ni kitoweo. Kama vile sisi tunavyofuga kuku.

Inafikilisha kwa kweli forget wandugu.
eti kitoweo 😂😂
 
Kuzaana ni agizo la Mungu. Na tunazaana kimwili tukae duniani kwa muda flani, ila kiroho tulikwepo na tutakwepo milele. Duniani ni uwanja wa kuyatengeneza maisha yajayo ya milele, tumche Mungu kisha tuishi naye milele (kwenye mbingu mpya na nchi mpya) tukimwasi Mungu tutaishi na shetani milele (kwenye ziwa la moto). Wakati wa kuchagua maisha ya milele ni sasa. Siku na Saa ya wokovu ni sasa. 2KOR 6:2


YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI
 
Hiyo nishati hutokana na nini Chifu?

Au wadhani madini ni dhahabu, chuma yatokayo ardhini pekee bila kujua hata mwilini mwako umejawa na madini [emoji848][emoji38]
Duuh hebu Watanzania ifikie wakati tukubali kusahihishwa.

Sitazungumzia mambo ya madini yanapatikana wapi maana sio sehemu ya mjadala husika.

Unapozungumzia "fossil fuel" unakua unazungumzia nishati zinazozalishwa ardhini kutokana na mabaki ya viumbe.
Fossil fuel inajumuisha mafuta (oil) gesi asilia (natural gas) na makaa ya mawe (coal).

Niendelee kukusisitiza kwamba uliposema kwamba fossil fuel ni madini haukua sahihi. Fossil fuel ni nishati.
Kama unajisikia vibaya kukosolewa, basi naomba tu unisamehe.
Na kama unaona mimi nafaidi kukueleza haya, basi itumie hata Google.

Na kama msingi wako ni kwamba fossil fuel ni madini kwa sababu yanachimbwa chini, basi maana yake next step utakuja kutuambia hapa kwamba karoti, karanga, mihogo na viazi navyo ni madini.
 
Mwanzo 1 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
²⁴ Mungu akasema, Nchi na izae kiumbe hai kwa jinsi zake, mnyama wa kufugwa, nacho kitambaacho, na wanyama wa mwitu kwa jinsi zake; ikawa hivyo.
²⁵ Mungu akafanya mnyama wa mwitu kwa jinsi zake, na mnyama wa kufugwa kwa jinsi zake, na kila kitu kitambaacho juu ya nchi kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
²⁶ Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
²⁷ Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
²⁸ Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.

Na hilo ndilo Neno la Bwana
 
hujaeleweka faida ninayopata mimi kwa kula ng'ombe au kuku ina mfadisha nini ng'ombe au kuku aliyezaa
Faida unayopata wewe kwa kula ng'ombe au kuku kila kukicha ni sababu ng'ombe na kuku huzaliwa na hivyo kupelekea idadi yao kuwa nyingi na kutuwezesha sisi Binadamu tupate vitoweo.

Binadamu tunapata faida za kujiona jinsi tulivyoumbika haswa kwa watoto wafananao sana na Baba au Mama, kumbuka haijawahi tokea Binadamu akaweza kuuona mgongo wake, kisogo chake, na viungo vingine ambavyo viko nyuma ya maumbile yake kwa jinsi tulivyoumbwa.

Nadhani pia ile Ecosystem inatuhusu sisi Binadamu kuwa vitoweo kwa ardhi tunapofariki (sina uhakika kwa 100%), kwa namna tunavyoitumia ardhi vya kutosha tukiwa hai, kisha tukishafariki huwa faida kwa ardhi na kupelekea kuzalisha madini aina ya "fossil fuels"
 
elewa mada, mti ukizaa maembe wenyewe una faida gani na yale maembe
Elewa jibu. Kuzaliana faida yake ni kuendeleza maisha, kama hakuna kuzaliana hasara yake ni kupotea kwa maisha duniani.
 
Kuzaa kunafaida ya kujihisi raha tu 😁 unapowaona watoto wako na kuwafundisha fundisha vitu, BINADAMU WOte tunapenda tuonekane tunajua vitu na kutaka umpate mtu wa kumfundisha mambo, Sasa ule muda unamfundisha ndio raha Tena hasa akaelewa.
Hi ipo kwa kuku pia anapenda pia kufundisha vifaranga kuparua chakula,njia za mpambano nk
 
Kuna mambo ni magumu kuelewa. Na kwanini mtu anapenda kuwa na mtoto?
1. To give and receive love.

2. To meet cultural expectation.

3. To bring sense of importance

4. ...


YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI
 
walioendeleza maisha tangu miaka hiyo ya zamani sasa huko walipo wanafaidika nini na kizazi walichoendeleza
Faida waliyoipata ni maisha kuendelea kuwepo. Wangetaka yasiwepo wasingezaana.
 
Kuzaa ni kulipa deni lako la kuzaliwa, unapozaliwa unatakiwa uzae ili kizazi kiendelee kuwepo. Hilo wazo lako ni zuri sana ukiwa katikati ya upumbavu, lakini ni swali baya ukiwa timamu kweli, jiulize kile kizazi kilichotoka kwenye safina kingejiuliza hivi we ungeulizia wapi??
 
Mwili wa binadamu na viumbe wengine wote unahangaika sana na mambo mawili. Kusurvive na kuzaliana. Sasa najiuliza kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa. Kuendeleza kizazi cha ng'ombe, kunamsaidia nini ng'ombe anayezaa. Binadamu walioishi miaka ya BC huko, wanafaidika vipi na kuendeleza uzao wa binadamu? Kungekuwa hamna kufa ningeweza kidogo kuelewa.

Zaidi naona uzazi unamnyonya mzazi kiafya, kichumi nk. Kuzaliana kunamsaidia nini anayezaa?
Halafu pia, sio kila jambo lifanyikalo ni lazima liwe na faida unayoweza kuiona. Mipango na mapenzi ya Mungu ni zaidi ya jinsi tunavyoweza kuona ana kuelewa.

Jambo ambalo ninataka nikuhakikishie ni kuwa viumbe wote (wanaoonekana na wasioonekana) wako kwa makusudi na mpango wa Mungu. Hawapo kwa bahati mbaya. Everything is by design and not by chance!


Jesus is LORD.
 
maisha yakiendelea au yasipoendelea huko walipo kuna nini wanchokipata
Kwa sisi viumbe tulio hai tunazaana ili maisha yaendelee na huo mwendelezo ndo faida kwetu sababu tumepata tunachokitaka, maisha yakikoma ni hasara kwetu sababu tumekosa tulichokitaka.

Kuhusu wanachopata waliokufa kwa kuendeleza maisha hakuna ajuaye kama wewe usivyojua utapata hasara gani usipozaliana pale utakapokufa.
 
Back
Top Bottom