Kuzaliwa mwanaume ni hatia

Tupo kipindi ambacho kundi kubwa la wanaume wanatsmani wangezaliwa wanawake au basi wabadilishwe wawe wanawake. Hii ni kutokana na kauli za aina hii, hii yaani vuu vuu, Kila jinsia Ina changamoto zake.
Kama wana jamii lazima tukemee hate speech na kubelittle matatizo ya jinsia moja, tunatengeneza utengamani na dilemma. Hapo kwenye dilemma ndio zinaibuka akili ndogo zitakazotamani kuhama jinsia.

Mi nikiandika hivi naambiwa hii ni topic ya kiume niwaachie wanaume! Bila kujua sisi wengine ni wazazi na tunamiliki watoto wa kike na kiume, Ndio maana We advocate for a balanced society!
 

Mambo yote sawa isipokua hapo kwenye kiingereza ila nimekubali Kila kitu ulichosema.
 
Tupo kipindi ambacho kundi kubwa la wanaume wanatsmani wangezaliwa wanawake au basi wabadilishwe wawe wanawake. Hii ni kutokana na kauli za aina hii, hii yaani vuu vuu, Kila jinsia Ina changamoto zake.
Tufike hatua tujadiliane masuala kwa kuangalia topic iliyopo mezani, binafsi huwa sipendezwi na watu kama wewe ambao mnaoanisha masuala ya ushoga hata kwenye mada ambazo hazihusiani na maudhui ya ushoga
 
Tufike hatua ya kujadiliane masuala kwa kuangalia topic iliyopo mezani, binafsi huwa sipendezwi na watu kama wewe ambao mnaoanisha masuala ya ushoga hata kwenye mambo ambayo hayahusiani na maudhui ya mada.

Sasa, kwakua haumiliki JF, na hauna ubavu wa kushinikiza mtu achangie kitu Gani na kwa namna Gani, chukua hatua stahiki.

Kuandika ni haki yangu, kuelewa na kuchambua nilichokiandika sio dhamana yangu. Kama umeshindwa kuona ni Kwa namna Gani nilichokiandika kinahusiana na mada, endelea kutokupendezwa na Mimi, na hata hivyo Sina sababu ya kukupendeza kwa chochote.
 
Enhee Boss taratibu! Shuka hapo chini karibu na kwa Makamu wa Rais kunywa waini nitumie lipa namba!
 
Hauna akili
 
Mtoa mada hajakataa wanaume kuwekeza rasilimali na muda kwa mwanamke, ila anatufungua macho na kutujulisha tuwekeze nguvu na rasilimali zetu kwa wanawake wa aina gani.

Kuna wanaume wengi wanawekeza rasilimali, nguvu, attention, muda na hela kwa wadada k.v kusomesha ila wanaishia kuambulia hasara, na kuna wanaume hawawekezi sana mda na pesa kwa wadada, ila wanapata benefits kama zote toka kwa wadada Rebeca 83
 
Nimpenda hiyo slogan ya "Pipe and Swipe" yaani "PS"
Merci beaucoup!
 
Endelea kugongea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…