KWA nini uangalie mechi kupita Tbccm kijana hapo unafeli mwenyewe tibiccm wanaubovu wa kudumuWanasema mpira wetu kivyetu vyetu
Yani wanataka kujitofautisha na commentators wa huko ulaya kwa kuongeza uswahili
Unaweza kuta mtangazaji anaacha kutangaza kile kinachofanyika uwanjani akajikita kwenye kampeni za CCM
Hata ufaransa walikanusha kuhusu benzema lakini ukweli unajulikana kocha aligombana naye. Ureno waliongea vile ili kuleta utulivu kambini.Kcha kasema hakuna tatizo na aliongea na Ronaldo kuhusu game plan we unasema tatizo lipo. Yani kati ya mocha wa Ureno na wewe ndugu yangu wa Manzese(no offense) nikusikilize wewe?
Kweli kabisa hana tofauti na Gareth BaleHuyo ni nguvu Tu na jitihada , hamna mchezaji pale ,
Wewe ni Tuisila Kisinda mkuu?Huo ni ukweli....ukiwa unategemea mbio kwenye mpira lazima utapotea tu umri unapokwenda ....mfano hai ni mimi mwenyewe...kwenye miaka 18-25 nilikuwa na kimbia sana uanjani ,lakini KWA sasa kasi imepungua pakubwa.....sisumbui kama zamani.
Ila Mbape ni mchezaji hatari zaidi KWA sasa Duniani baada ya Messi na R0naldo,bado ana muda mrefu wa kucheza atafqnya makubwa sana kwenye soka.....mimi ni Tim Messi ila Mbape anastahili heshima na yeE kijana ana washa moto.
Hapa hawaongelei hela...wanaongelea kiwango chake kudumu muda mrefu...sio mambo ya pesa....Mbape akiacha kucheza mpira leo hii bado atqbaki na ubilionea wake daima.Hadi anafikisha umri huo atakua na hela za kutosha. Hicho tu ndo cha muhimu
2014 Messi alichukua Golden Ball not BootHata Messi 2014 alibeba golden boot world cup na alihuzunika. Uzalendo ni muhimu ili kubeba world cup ndio maana Ronaldo hajabeba kwasababu alishaanza hadi kuzinguana na kocha alipokula benchi.
Hata akikaa miaka miwili bila ku train akiingia uwanjani uhakika wa kupewa penati upoSasa kwa uwezo wa Messi kwenye kabumbu unaanzaje kum criticize. Mtu anakila kitu Ball balance, ball skills and ball brain. Yule ata akikaa miaka miwili bila ya kutrain akiingia uwanjan still ataweza kufanya maajabu tofauti na hao wachezaji wengine manguvu kibao wakifika 30+ wanakuwa maflop
Hivi ni raia Wa TANZANIA yule jamaa,maana lafudhi yake sijaielewa?Kwanza naye alikuwa haoni vizuri kama sisi tu
Nimeshuhudia matukio mawili akiyatafsiri ndivyo sivyo kulingana na low quality ya streaming
Hadi kwenye sub napo alikuwa anachemka anataja watu wasio husika kama ndio wanaofanya mabadiliko
Nijuavyo mimi ni mtanzaniaHivi ni raia Wa TANZANIA yule jamaa,maana lafudhi yake sijaielewa?
Hii picha ni photoshop, hilo tukio sio halisi kaangalie youtube maana hapo inaonesha mbappe anapiga kwa mguu wa kushoto wakati alipiga mpira kwa mguu wa kulia.Chuma ndio kwanza kimepata moto
Ohh ana mbio
Sasa ulidhani mpira unachezwa kwa kutambaa ama kutembea😁
Goooo Mbappe goo🔥🔥🔥🙌
🤣🤣🤣Tulipokuwa tunam criticuze Messi hawa walikuwa wanatuita haters na kuna muda walikasirika sana kwenye ile special thread mpaka nikaanza ku observe baadhi ya members wameichukulia personal sana kiasi wame catch feeling
Leo hii wameona haitoshi wamekuja kumsema negative Mbappe, huyu ndio mchezaji aliyechana mkeka hadi wa Drake na Drake ametulia kimya na kukubali matokeo
Sasa leo hii buku la mmakonde limepitiwa na muhindi tayari zimeanza kashfa na ramli chonganishi.
Hata hapo bdo nna doubt Halaand hana ila anamzid mbali sana huyo team kususaRonaldo afananishwe na wenzie wasiokuwa na world cup.
Kwa hyo Mbappe ana UEFA cup kweny huo umri mkuu?acha kutupiga kamba banaWewe ndio umeruka
Mjadala ulikuwa ni Mbappe vs Messi katika age ya 23
Mbappe amemzidi Messi katika kila eneo mi ndio nikaongezea hoja hapo kuwa katika hayo magoli ya Messi ambayo amezidiwa na Mbappe usikute kulikuwa na 84 penati
We ukasema Ronaldo anaongoza, sasa Ronaldo hapo anaingiaje?
Na sasa hiv hana hata team...amekuwa mtu wa kujitongozesha kwny club kubwa ili achukuliwe:..yuko desparete sanaa hadi kazinguana na wakala wakeKwani Ronaldo hajapotea? Mbona kuanzia nusu fainali ya kombe la dunia hajaonekana?
Ilikua ni mistake kubwa kumtoa DimariaDi Maria yule mtu na nusu,jana kounde alimshukuru kocha fala wa Argentine kumtoa na kuingia Acuna.
Mbappe anachenga ya aina moja tu na mbio ndio maana jana imemchukua dakika 78 kuanza kuonekana uwanjani.
MISS PENATI hana lolote uwanjani zaidi ya mbeleko tupu.Mimi nimeandika uhalisia. Mbappe hana tofauti na Christiano maana asset yake kuu ni mbio. Messi anakupa kila kitu uwanjani.