Uchaguzi 2020 Kwa aina ya utoaji hoja wa Magufuli, atapata shida sana kwenye kampeni akipambana na mtu dizaini ya Tundu Lissu au Bernard Membe

Uchaguzi 2020 Kwa aina ya utoaji hoja wa Magufuli, atapata shida sana kwenye kampeni akipambana na mtu dizaini ya Tundu Lissu au Bernard Membe

Kwani kuna kitu Magufuli anahitaji kuwaleza watanzania wasio kijua au kukielewa? Magufuli ahitaji kujieleza chochote kwa mtanzania ...matendo na mambo yake yanaonekana wazi!
Ataelezea material things lakini kwenye maisha ya mtanzania amefeli 100%
 
Aache ukabila, udini, ubabe, udikteta, ubaguzi na mambo ya kienyeji.
Wewe umeishiwa Sasa hoja!! Huo ukabila unaozungumzia ni kwà miktadha ipi!? Udini upi Sasa, mbona tunaona nydhifa nyingi kwa kiasi chake wopo upande wa Pili!

Ubabe unataka awe anacheka cheka hata kwenye masuala ya kipumbavu mkuu yaani mtu ana zingua wewe unamwambia Mkuu wa mkoa hapaa Sitaki hayo Mambo anakaa kimya! Hivi si nyinyi ndio mlihoji sana kuwa JK mpole Sana anashindwa kuwawajibisha watendaji wake!?

Udikiteta hivi unaufahamu kweli udikiteta Mkuu au ndio kukosa hoja huko!??


Mambo ya kienyeji Kama Yapi mkuu!??


Kiufupi umechanganyikiwa na huna HOJA umebaki kutapatapa tu!!!
 
CCM utaratibu wao unajulikana. Campaign speech inapangwa let say kwa masaa matatu. Zinapigwa nyimbo za Marehemu Komba non stop na show kadhaa kutoka kwa wasanii kwa masaa mawili na nusu. Magufuli anapanda jukwaani kwa nusu saa tu. Mwisho wa mkutano.

Siku ya uchaguzi, Tume inafanya yake. Msijidanganye na the so called “ujengaji hoja jukwaani”. Hizo hoja zilipaswa kujengwa kabla ili tupate Tume iliyo huru kabisa. Kwa sasa hakuna namna wanayoweza kumtangaza mwingine zaidi ya Magufuli. The earlier you gey used to this, the better for you
Hebu tukumbushe yule mgombea aliekuwa anadekiwa Barabara alikuwa anahutubia Masaa mangapi Mkuu!??
 
Ccm hawatumii hoja ndugu,ni mabavu,uvunjifu wa sheria na uongo.
 
Asante Naantombe Mushi, hawa wengine nilioorodhesha hoja zao hapa ni wajinga wa magu na ndio watanzania wengi walivyo, WAJINGA na ndio maana watampigia makofi dikteta na mkabila huyu bila kujua au kujali chochote. Ujinga ni kitu hatari sana!
Asilimia 97 ya Wadanganyika ni wajinga.
 
Wewe umeishiwa Sasa hoja!! Huo ukabila unaozungumzia ni kwà miktadha ipi!? Udini upi Sasa, mbona tunaona nydhifa nyingi kwa kiasi chake wopo upande wa Pili!

Ubabe unataka awe anacheka cheka hata kwenye masuala ya kipumbavu mkuu yaani mtu ana zingua wewe unamwambia Mkuu wa mkoa hapaa Sitaki hayo Mambo anakaa kimya! Hivi si nyinyi ndio mlihoji sana kuwa JK mpole Sana anashindwa kuwawajibisha watendaji wake!?

Udikiteta hivi unaufahamu kweli udikiteta Mkuu au ndio kukosa hoja huko!??


Mambo ya kienyeji Kama Yapi mkuu!??


Kiufupi umechanganyikiwa na huna HOJA umebaki kutapatapa tu!!!
Umamfukuza mtu na kumwambia mbele ya hadhara eti nakufukuza kwa kutongoza wake za watu....! Sijaona ukosefu mkubwa wa haki za binadamu namna hii eti kwasababu wewe ni rais. Hayo ni mambo ya kisukuma kule baba ni baba, ndio maana wanawake wanadhalilishwa sana. Sijaona kiongozi mwenye mambo ya kienyeji kiasi hiki.
 
Yote hayo atatakiwa kujieleza kwenye kampeni ndugu.

Usilazimike wewe kuwalisha watu maneno kwamba kuna vingi vimefanywa.

Ndo mana nikasisitiza, endapo akipambana na mtu mwenye uwezo wa kujenga na kuvunja hoja kama Tundu Lissu, atakuwa na wakati mgumu sana kwenye kampeni.

Wala ahitaji kujieleza chochote kwa mtu....
 
Kampeni zikianza CCM wataumbuka sana. Ubaya hauna wema, uongo wao utadhihirika kwenye hoja.

Na wananchi sio wajinga kihivo.
Naona na wewe unajitoa fahamu bure tu.Kuna mtu mwenye akili yake timamu huwa anaenda kwenye kampeni?
Zaidi ya makada na watu waliosagwa kwenye malori na magari kutoka sehemu mbali mbali wakiwa wamelipwa pesa za posho na watoto wa shule?
Bila kuwasahau migambo na vikosi vya polisi.Ebu acha kujichosha.CCM itashinda kwa kishindo asilimia 99 sio kwa hoja wala ukweli bali kwa Mabavu na udanganyifu wowote watakao weza ilimradi walazimishe kuwa wanapendwa.
 
Atakuja kijijini kwetu atuambie amejenga flyover daslam? Au amenunua ndege? Au amejenga SGR? Wakati huo huo ajira hakuna, ongezeko la mishahara hakuna, maisha yamezidi kuwa magumu. Unadhani tutamuelewa? Kama alikuja kipindi cha kampeni akatuahidi milioni 50 kila kijiji na akatuahidi kutujengea soko na miaka mitano ishapita hakuna kitu, unadhani atakuja kutueleza nini tumuelewe?
Takwimu zinasema aslimia karibu 78 Ya watanziania wanaishi vijijini wakifanya shughuli za ufugaji na ukulima.Elimu yao ndogo na wala hawahitaji kushawishika na hoja yeyote.Wao wakishawaona bongomovie jukwaani na wasanii wa bongo fleva kila kitu ni ndiyo Mzee.
Thisi is Tanzania msijifanye tupo Kenya au Malawi.
 
Umamfukuza mtu na kumwambia mbele ya hadhara eti nakufukuza kwa kutongoza wake za watu....! Sijaona ukosefu mkubwa wa haki za binadamu namna hii eti kwasababu wewe ni rais. Hayo ni mambo ya kisukuma kule baba ni baba, ndio maana wanawake wanadhalilishwa sana. Sijaona kiongozi mwenye mambo ya kienyeji kiasi hiki.
Mkuu hio ndio style yake ya uongozi Ni vyema na vizuri ukakubaliana nayo tu Sasa mtu anafanya ufuska ulitaka aitwe pembeni akanywe!??


Afu naomba ujibu hoja zote ulizotaja hapo juu ukabila, udini, ubaguzi na udikteta na kwa mifano kuntu maana Naona hisia na mihemuko ndio zinakutawala Sana mkuu wangu kuliko uhalisia!!!
 
CCM wanajiaminisha kwa mavitu ambayo hayawagusi wananchi moja kwa moja!
Magufuli atapata taabu sana pamoja na kuwa dola iko upande wake!
 
Takwimu zinasema aslimia karibu 78 Ya watanziania wanaishi vijijini wakifanya shughuli za ufugaji na ukulima.Elimu yao ndogo na wala hawahitaji kushawishika na hoja yeyote.Wao wakishawaona bongomovie jukwaani na wasanii wa bongo fleva kila kitu ni ndiyo Mzee.
Thisi is Tanzania msijifanye tupo Kenya au Malawi.
Kwann hao upande wa Pili usiwashauri watumie bongo movie kupata ushawaishi kwa wananchi hao 78%
 
uchaguzi ukiwa free and fair Magu atabadilika

but kwa uchaguzi huu wa refa ni wao,uwanja ni wao,msimamizi ni wao,mkurugenzi ni wao,Mabeyo ni wao...ni shida

atafanya anavyotaka na atashinda kwa % anayotaka
 
Mkuu hio ndio style yake ya uongozi Ni vyema na vizuri ukakubaliana nayo tu Sasa mtu anafanya ufuska ulitaka aitwe pembeni akanywe!??


Afu naomba ujibu hoja zote ulizotaja hapo juu ukabila, udini, ubaguzi na udikteta na kwa mifano kuntu maana Naona hisia na mihemuko ndio zinakutawala Sana mkuu wangu kuliko uhalisia!!!
Nafikiri udikteta yaani hakuna hata haja ya kusema kitu; inajulikana magu hasikilizi waandamizi wake na hufanya mambo bila hata kushirikisha bunge mifano ipo mingi mno. Unaona hata hakuruhusu demokrasia ndani ya ccm kuhusu wagombea wengine, ukitaka magu akuchukie hata akutumie watu wakuue wewe mpe changamoto, akina Lissu, Mbowe ni matokea machache tu ya maelfu walioteswa.

Ukabila: angalia baraza la mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya achilia mbali vyeo vingine fanya hesabu utashangaa
Ubabe; hata hili unataka maelezo?

Udini; tulizoea ulinganifu wa dini ila siku hizi hiyo busara haipo tena.
 
Suala la mijadala CCM hawana ubavu ndio maana walipiga pini midahalo. Wanajua udhaifu wao
 
Kwann hao upande wa Pili usiwashauri watumie bongo movie kupata ushawaishi kwa wananchi hao 78%
Naomba uwaze kama mtu mwenye akili timamu.Usijichetua ubongo kama CCM
Mtu mjinga mjinga utamshauri nini mpaka akuelewe?Nitatumia njia gani kuwashauri hao mamilioni ya watu?Kwa platform gani na nitatoa wapi resources?Na watanisikiliza kwa vile nina mamlaka gani??
 
Kwann hao upande wa Pili usiwashauri watumie bongo movie kupata ushawaishi kwa wananchi hao 78%
Naomba uwaze kama mtu mwenye akili timamu.Usijichetua ubongo kama CCM
Mtu mjinga mjinga utamshauri nini mpaka akuelewe?Nitatumia njia gani kuwashauri hao mamilioni ya watu?Kwa platform gani na nitatoa wapi resources?Na watanisikiliza kwa vile nina mamlaka gani??
 
Back
Top Bottom