Kwa alichokiongea Heri Mzozo, Tshabalala ataenda Yanga

Kwa alichokiongea Heri Mzozo, Tshabalala ataenda Yanga

Mimi natamani ili iwe funzo kwake yeye,kwani ana manager mbabaishaji..aondoke tu tunae Gadiel Michael
Approach yake kupitia manager imekera wanasimba wengi
 
Mimi natamani ili iwe funzo kwake yeye,kwani ana manager mbabaishaji..aondoke tu tunae Gadiel Michael
Approach yake kupitia manager imekera wanasimba wengi
Mtu akiongea Ukweli Nyie Mnakereka Sio?
 
Kwa kabumbu analosakata Mohamed Hussein ni aibu na fedheha kwa club ya simba
 
Nimesikia interview ya kaka mkubwa Heri Mzozo. Kwa alicho kisema Ni wazi kuwa Zimbwe ataenda Yanga.

Kikubwa wanacho kitazama wao kama walezi na management ya Tshabalala ni maslahi ya kijana wao.

Kwa alicho kisema Mzozo kuhusu malipo anayo lipwa Zimbwe pale Msimbazi, kusema ukweli Simba hamumtendei haki kijana wetu na kusema ukweli sintakuwa nimekosea Kama nikisema mnafanyia dhulma.

Hata shabiki wa Simba anae jitambua hawezi kufurahishwa na Jambo hili.

Kweli Tshabalala wa.kulipwa milioni moja na laki tano kwa Mwezi? Hapana.

Imebaki miezi miwili mkataba wake kumalizika.bado hamjafanya nae mazungumzo ya kuongeza mkataba. Kweli?

Mnataka kumtema au mnataka kumlalia mwishoni mwa MSIMU wakati wa dirisha la usajili?

How comes Chikwende analipwa Milioni kumi na nane kwa Mwezi halafu Zimbwe analipwa Milioni moja na nusu?

Signing fee yenyewe nasikia ilikuwa Milioni nne.

Mnamuonea kwa sababu darasa la Saba mtoto wa masikini?

Simba acheni dhulma.

I declare interest Mimi Ni Yanga Lia Lia but I am open minded. Nataka kuona vijana wa kitanzania wanakula.matunda ya jasho lao.

Tshabalala karibu Yanga ucheze Mpira ulipwe maslahi yanayo endana na kipaji alicho kujaalia Mwenyezi Mungu , Simba wanamleta Shabani Djuma ndio maana wanakuona wewe haufai Tena.

Pamoja na.kwamba tunapitia mapito ya kiuchumi but hatuwezi kukulipa kidhulma Kama unavyo fanyiwa Simba.

Narudia maneno ya Mzozo. " Tunacheza Mpira ili tupate pesa na sio majina na umaarufu
Huyo wakala ndio hana maana. Wakati Simba wanaingia mkataba na Tsabalala nani alisimamia makubaliano? Sio wakala huyo aliridhika na mshahara huohuo?
Mlitaka Simba walipe wachezaji tofauti na mikataba yao? Hakuna ofisi inayofanya hivyo. Kila mchezaji kupitia wakala wake analipwa kuendana na bargaining power ya upande wake.
We unadhani kama ingekuwa Yanga wanamsajili tokea Simba walipomtoa wangempa hela inayotajwa!?
Marupurupu anayoyapata pale Simba ni makubwa kuliko hiyo hela ya usajili ya Yanga.
 
Hili jambo naona wachambuzi wamelikazania sana kana kwamba yeye pekee ndio anamaliza mkataba.
 
Tshabalala aende Yanga au pengine popote, Simba ni kubwa zaidi ya mtu yeyote, mbona simple sana. Wacheni hizi siasa zenu za mitandaoni.
Maneno ya mkosaji haya! Hata kama mimi ni Mwananchi, lakini nakuthibitishia Mohamed Hussein bado ni mchezaji muhimu kwenye kikosi cha timu yenu.

Dhuluma siyo nzuri. Ugumu uko wapi kwa viongozi kukaa nae chini na kumboreshea maslahi yake, ili aendelee kuwatumikia?
 
Maneno ya mkosaji haya! Hata kama mimi ni Mwananchi, lakini nakuthibitishia Mohamed Hussein bado ni mchezaji muhimu kwenye kikosi cha timu yenu.

Dhuluma siyo nzuri. Ugumu uko wapi kwa viongozi kukaa nae chini na kumboreshea maslahi yake, ili aendelee kuwatumikia?
Labda hayupo kwenye mipango yao
 
Labda hayupo kwenye mipango yao
Bado watakua wanacheza mchezo wa kamari! Labda wamlete beki namba 3 wa kiwango cha Kimataifa! Yaani afike tu na kuizoea falsafa ya timu.

Maana huyoTshabalala yupo kwenye first eleven ya timu.
 
Wewe sio shabiki bali ni mpenzi wa Yanga, na mimi kama mpenzi wa Simba kwakweli tumesikitshwa kua Tshaba analipwa kamilioni tu kwa mwezi, dah, yani tume betray his love and trust kwa timu anayoipenda na aliyojitolea kuichezea kwa moyo wote, kwakweli aende tu panapomstahili aisee.

Swali fikirishi, ina mana sisi wachezaji watanzania kwenye timu zetu hizi tunadharaulika kiasi hiki, kwamba hatuna hadhi ya kulipwa zaidi ya m15 kwa mwezi sababu tu ni wazawa?

Pia aishi manula naona ameshasoma upepo naye dau lililokuja ni kubwa, na madau yalivyoanza kuja kwa kasi ndio viongozi kuanza kuhaha kuitisha mikutano na wachezaji kujadili mikataba mipya.

Tujifunze hata kwa wenzetu, wachezaji muhimu mikataba unakuta imebakiza mwaka au hata miaka 2, mabosi wameanza kujadili upya mkataba wa mchezaji husika, huku kwetu mchezaji muhimu anabakisha mwezi ndio mnaanza kukimbiakimbia.
Wabongo bwana!!tunashida mno!!kwaio kwa maneno ya uyu shabiki la utopolo umeamini kuwa ni kweli Mohammed Hussein analipwa kiasi icho cha pesa?!! Fanya utafiti kabla ujachangia hapa!!sio vizuri kutaja mshahara wa mtu ila uyo beki anapokea mshahara wa zaidi ya millioni nne za kibongo,na mkataba huu anaoisha alipokea kiasi cha zaidi ya milioni sabini za kibongo kama signing fee.
 
Kama ni kweli analipwa milioni moja na nusu hilo ni tusi kubwa sana kwa Vijana wa kitanzania wanaopambana kila siku wakimwangalia shabalala kama role modo wao!

Wanachokiona hapo ni kwamba, hata wakipambana kwa juhudi za kuweza kufika pale alipo zimbwe juhudi zao hazitapewa heshima wanayostahili kwa sababu ya utaifa wao ! Mimi ni shabiki wa Simba lakini hili kama ni kweli si sahihi nalipinga kwa nguvu zote !!!!
Hakuna mchezaji wa simba anayelipwa 1.5m
 
Tshabalala aende Yanga au pengine popote, Simba ni kubwa zaidi ya mtu yeyote, mbona simple sana. Wacheni hizi siasa zenu za mitandaoni.
Upo sahihi lakin huwezi mlalia mtu.

Hata katika kampun huweka salary scale ingawa unaweza jadiliana. Hii scale inasaidia hata wale wasioweza wapate nafuu.

Hapa ndicho kinachopiganiwa.. kama kweli jamaa anakula mkwanja kiduchu,waboreshe maslahi yake..vinginevyo aende pengine apate hela anayoridhika nayo.

Nyie kila siku mnapiga kelele mpandishwe madaraja,sijui mishahara iongezwe. Vp kwa kwake iwe nongwa.
 
Back
Top Bottom