Kwa asilimia nyingi Waislamu tumechukua tamaduni za Kiarabu. Je, Uislamu ni Uarabu?

Kwa asilimia nyingi Waislamu tumechukua tamaduni za Kiarabu. Je, Uislamu ni Uarabu?

Uislamu ulivyo unataratibu zake,ukienda kinyume chake,automatic unatoka kwenye uislamu.Huwezi kuwa mwana siasa wa chama A ukafuata sera za chama B.
Mwenzio kaongozwa na roho mtakatifu kuandika hayo japo ni sheikh
 
🤣🤣Sasa si kanisa hilo yalianzishwa na wazungu ...Na hizo suti si wameanzisha wazungu

.
Nionyesha andiko yesu alivaa suti au wanafunzi wake ...Nikuonyesha neno kanzu kweny bible..

Unafuata mila za wazungu hamna dini ndo maana mnafungisha ndoa za wanaume 🤣🤣🤣hamna dini hapo ni mila za wazungu kuvaa nguo fupi hapo wakubwa wenu sijui ndo sangara wanavaa kanzu
So ukristo ni dini ya mzungu au myahudi. Wewe mzungu kakuletea ili akutawale Ila ukipiga survey ulaya watu wengi wanaacha kuamini katika dini especially ya kikristo
 
Kwa hiyo mtume wa Allah kakuta ma pedophile na ma child molester kaungana nayo tena na yeye kaoa katoto ka miaka 6

Mpuuzi angekuwepo kipindi hichi ni jela maisha na viboko 12 na dini yake ingeishia apo
Maria mama wa Yesu mika 13 aliolewa na Yosef miaka 90,watu wa mashariki ya kati wanakula nyama na maziwa wana afya,usifananishe na vitoto vya Afrika ugali na mlenda.
 
So ukristo ni dini ya mzungu au myahudi. Wewe mzungu kakuletea ili akutawale Ila ukipiga survey ulaya watu wengi wanaacha kuamini katika dini especially ya kikristo
Ndo nikuulize wewe wapi mnamfuata yesu ? kama sio kufuata wazungu.

Juzi viongozi wenu wameenda kuhij vatican italy ,haya niambie huko Vatican 🤣🤣yesu alifika?

Makao makuu mengine ni pale Uingereza kweny ufalme .
 
Kumbe! Hongera kwa kuijua sura ya Jesus Christ. Tuma sura ya Mudi mtume wa mwisho wa Mungu kama isikikavyo. Hahahaaa, Mudi hana maajabu yoyote ya kuonekana kama mtume wa Mola aliye juu.
Wakataa picha ya Yesu na kila siku unaibusu,kwa vile umepigwa za uso,huna hoja tena.Utaelewa tu,kama huelewi.
 
Umesoma Quran kwa Kiingereza umeelewa nini?
Kwa maelezo Yako Uliyotoa inaonekana huiishi Quran,Hujaielewa
Huna mazingatio
🤣Acheni kupigwa na waarabu bana... Mnasaidia kusambaza tu utamaduni, kwa hiyo Mungu unaongea nae kiarabu ndo unaelewa, unamsoma kiarabu...🤣Ila duu
 
Ndo nikuulize wewe wapi mnamfuata yesu ? kama sio kufuata wazungu.

Juzi viongozi wenu wameenda kuhij vatican italy ,haya niambie huko Vatican 🤣🤣yesu alifika?

Makao makuu mengine ni pale Uingereza kweny ufalme .
1. Sio kila mtu ambae si muislam ni mkristo, so unavyoniambia Mimi as if ni mkristo ni kama unampigia mbuzi guitar
2. Ukristo ni dini ya kiyahudi iliyochukuliwa na warumi ili iwanufaishe katika kutawala watu na imeweza kufanya hivi kwa Karne nyingi ikiwemo kuhalalisha utumwa wa binadamu na mambo mengine mabaya mengi.
3. Kama Yesu alikuwa mzungu sawa
 
Hakuna Kitu Kama Hicho Unaongea Chuki zako tu Lakini Uhalisia Unajulikana
1.Suala La Ubaguzi wa rangi(Ukabila) Sio Kwa Waarabu tu,Tena Wazungu Ndo zaidi Kila siku Tunasikia Taarifa za Wazungu Kuwabagua Waafrika Sijawahi Sikia taarifa waarabu Kuwabagua Waafrika Au zipo lakn chache sana.

2.Zinaa Wazungu na Waafrika Wanaongoza kwa Zinaa,Tunashihudia Hata Kwenye Jamii Zetu Watoto wa Kiarabu wanaoelwa hali Ya Kuwa bikra Ila kwa waafrika bikra utaiskia tu.

3.Ubaguzi wa Wanawake,Hakuna kitu Kama hicho kwa Waaarabu Ila Mwanamke Hawezi Kuwa Juu ya Mwanaume Hata Biblia Inasema Hivo
Timotheo 1 2:12 "Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu"

4.Utamaduni wa kimagharibi Unaoufata kama Ulivosema hauwezi Ruhusu Vitu Kama Hivi Ila Utaruhusu Ushoga na Kuzikataa Haki
1. Unarusha mpira? Mi sio mkristo
2. Zinaa ni concept ya dini, mi naamini katika safe and consensual sex, alafu waislamu kutamani bikra Sana ndo walazimishe watoto wa miaka 9 waoe, si watafute 20s women waliyobikra
3. nitajie kiongozi Iran au Saudi mwanamke, maana Ile nchi katiba yake ni Quran
4. Mbona unakamia ushoga as if ushoga ni exclusive kwa wazungu tu. Kila jamii Ina ushoga, sio waarabu, sio wazungu, sio wachina. Ushoga ulikuwepo tokea enzi za kuandikwa story za Biblia na Quran. Wazungu wanatetea haki na usawa nyie mnataka turudi kupigana mawe Kama jamii za zamani zisizo na akili na maendeleo
 
Wapi nimejifananisha na muarabu ?

Kama huendi si wewe halafu tambua wapumbavu kama nyie mko wachache sana na watu wanazidi kuingia kweny dini ya halali.

Endelea kula nguruwe ,kufanyaz uzinzi na ulevi huku hatutaki ...

Ingekuwa unajiamni ungekaa kimya🤣🤣
kutokula nguruwe na kunywa pombe amekatazwa mwarabu. Sasa wewe uarabu umeutoa wapi kama siyo kufuata tamaduni zisizokuhusu.

Mimi ni mlangila, sili samaki ni mwiko kwetu. Je wewe ni nani?
 
Kila kitabu kimeshuka kwa Lugha yake, na Lugha zote ambazo Mwenyez Mungu ameshusha vitabu ni Lugha ambazo ni kongwe, lugha kongwe zina maneno mengi na inakua Rahisi ku Express kitu kila mtu akakuelewa.

Chukulia mfano neno paa kiswahili inaweza kuwa
-paa kupaa juu
-paa la nyumba
-paa mnyama

Hii inaonesha Lugha ilivyo changa na kukosa Vocabulary nyingi. Kama Quran ingeshushwa kiswahili ingeleta mkanganyiko kwenye maneno mengi na kusababisha watu kuipindisha.

Kutokubadilika Quran kwa miaka zaidi ya 1000 tena kwa maana ile ile kunaonesha jinsi gani Lugha ilikua Chaguo sahihi.
Quran imeandikwa na waarabu ndo maana ni kiarabu. Mungu Hana lugha pendwa bana hebu tutokee
 
1. Sio kila mtu ambae si muislam ni mkristo, so unavyoniambia Mimi as if ni mkristo ni kama unampigia mbuzi guitar
2. Ukristo ni dini ya kiyahudi iliyochukuliwa na warumi ili iwanufaishe katika kutawala watu na imeweza kufanya hivi kwa Karne nyingi ikiwemo kuhalalisha utumwa wa binadamu na mambo mengine mabaya mengi.
3. Kama Yesu alikuwa mzungu sawa
Ninachokuambia mimi kama wakristo wangekuwa wanamfuata na kuishi maisha ya yesu basi wangekuwa tofauti na pia wangekuwa na tamaduni za uyahudi ila wao wamechukua pure kutoka kwa wazungu.

Ukisoma bible ukiangalia na wakristo ni vitu viwli tofauti ...Sasa angalia wazungu na wakristo ndo utajua jamaa wanafuata wakristo.

Kama neno kanzu hata kweny bible lipo na hata yesu alivaa na zile kobazi za kushukwa na kamba ...

Kweny mavazi hakuna najisi hata uvae nin sema zime zinasitiri sehemu za uchi ...Uvae kanzu au suti vyote sawa .

Ila tambua sisi kun kitu kinaitwa sunnah sio lazima ila kama unapenda kufanya kama ambavyo mtu alifanya mfano mavazi ,kula ndo maana wengin wanatumia mkono hata kama kuna vijiko ni sunnah sio lazima,sio kwamba ukila na kijiko unapata dhambi hilo halipo.

Mtume alikuwa akili chini kwa kukaa na watu wengi kwa wakati mmoja ndo maana wengi wanafanya hivyo kama kumuiga ...Kuna sunnah inasema kwamba Mtume ni kiigizo ina maan tunacopt kutoka kwake
 
Kama ndivyo munavyoaminishwa huko makanisani poleni sana. Kila kitu anachofanya muislamu munakitafsiri kuwa cha kiarabu, hiyo siyo sahihi.

Makanisani hatuendi. Sisi ni vijana Weusi tulioshtuka na hizo dini na tamaduni zilizokuja na meli ili kuiba mali zetu. Si unaona ya DP world, ni wizi mtupu. sa100 anaona mwarabu wa Dubai ni bora kuliko wewe mmatumbi. Hiyo ni moja ya athari ya dini.
 
Quran imeandikwa na waarabu ndo maana ni kiarabu. Mungu Hana lugha pendwa bana hebu tutokee
Kama Quran imeandikwa na Binadamu kwanini hadi leo hakuna Kitabu kama Hicho? Quran yenyewe inatoa Challenge kama ile ni kazi ya Binadamu basi andikeni kitabu kama kile, ni 2023 sasa hivi Computer na Ai za kutosha ila hakuna bado kitabu kama kile
 
Uislamu ulikuwepo hata kabla ya mudi? Mudi si ndo anasimliwa kwenye quran au kulikuwa na kitabu gani hapo kabla?
Ni kweli kabisa, Uislam ulikuwepo tangu kuumbwa kwa Adam.
Hi nikutokana na maana ya Uislam ambapo ni kunyenyekea kwa Mungu Mmoja mueza wa yote, Kuamini kuwa kutakuwa na siku ya mwisho (siku ya hukumu), kkuacha matendo aliyo yakataza muumba (Mungu) nk nk
 
Eti enzi hizo walikuwa ni magiant!! Wakati mtume kamuoa khadija wa miaka 40 ameshazaa watoto wawili akakuta wazungu hawamo akaingia kwa vitoto miaka 6-9. Miaka hii bado wanaingia mahakamani kuhalalisha ndoa za watoto sijui haraka za nini?
🤣Wanataka bikra tu...hata ya mtoto mchanga..ndo ujue Wana nyege tu
 
Sio kweli,waarabu na wamasai mavazi yao ni mamoja,mpaka tamaduni zao,walikuwa wakivyaa Rubega,na wote wanatokea mashariki ya kati,wanakula nyama,maziwa,samli,wafugaji,wanatembea na fimbo,sime na viatu pia hawavai buti.Uislamu ndio uliwaletea mavazi.Wamasai sio wabantu,hao wamepitia Pembe ya Afrika,kama wasomali,wamasai;waethiopia hata matamshi ya lugha wanafanana wakiongea.
Acha ujinga, nenda kasome historia kuhusu Kemet ndo utajua ukweli wa mtu Mweusi ni upi.. siyo hayo mnasoma mavitabu yenu mnayaita matakatifu wakati hao jamaa walioandika hayo mavitabu wamewatesa sana na kuwaua Babu zetu.
 
Ninachokuambia mimi kama wakristo wangekuwa wanamfuata na kuishi maisha ya yesu basi wangekuwa tofauti na pia wangekuwa na tamaduni za uyahudi ila wao wamechukua pure kutoka kwa wazungu.

Ukisoma bible ukiangalia na wakristo ni vitu viwli tofauti ...Sasa angalia wazungu na wakristo ndo utajua jamaa wanafuata wakristo.

Kama neno kanzu hata kweny bible lipo na hata yesu alivaa na zile kobazi za kushukwa na kamba ...

Kweny mavazi hakuna najisi hata uvae nin sema zime zinasitiri sehemu za uchi ...Uvae kanzu au suti vyote sawa .

Ila tambua sisi kun kitu kinaitwa sunnah sio lazima ila kama unapenda kufanya kama ambavyo mtu alifanya mfano mavazi ,kula ndo maana wengin wanatumia mkono hata kama kuna vijiko ni sunnah sio lazima,sio kwamba ukila na kijiko unapata dhambi hilo halipo.

Mtume alikuwa akili chini kwa kukaa na watu wengi kwa wakati mmoja ndo maana wengi wanafanya hivyo kama kumuiga ...Kuna sunnah inasema kwamba Mtume ni kiigizo ina maan tunacopt kutoka kwake
Sijaongelea kanzu Mimi ..
 
Back
Top Bottom