Hapana msitoe na hakuna atakayekuona primitiveI'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?
Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!..
Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
Yaani utoe uhai wa mwanao kisa heshima [emoji56][emoji56]ishi maisha yako bro, jiandae kumpokea mwanao, hautajutiaTatizo heshima niliyoijenga katika jamii, naheshimika mno, sipo tayari kuikabili aibu hii
Ni ngumu in your mind. Drop that ego.Ni ngumu, not such easy!
Mkulungwa kwani jamii haijui kuwa unalala na mke kitanda kimoja?Tena bila nguo?Tatizo heshima niliyoijenga katika jamii, naheshimika mno, sipo tayari kuikabili aibu hii
Usitoe mkuu, kuteleza imo, sie wakubwa tunaelewa...I'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?
Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!..
Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
Mkulungwa kwani jamii haijui kuwa unalala na mke kitanda kimoja?Tena bila nguo?
Anashikaje mimba sasa? Kwani wanafanya kinguonguo? hata tafsida hujasoma?Wewe umejuaje kwamba huwa analala na mkewe bila nguo??!!, au huwa ukiwapiga chabo??!!🤣--- maneno mengine muwe mkitafakari kabla ya kuandika.
Kwa hiyo jamii inayokuheshimu inajua we hutmbn? Au?Tatizo heshima niliyoijenga katika jamii, naheshimika mno, sipo tayari kuikabili aibu hii
Zaeni, hakuna kosa lolote! Wakati ujao na wewe pia ujue mzunguko wa mkeo. Miezi 9 mtoto anaweza kuanza kula chakula mbali na maziwa ya mamaye.I'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?
Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!..
Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
Aibu gani hiyo? Huna uwezo wa kuwahudumia?Tatizo heshima niliyoijenga katika jamii, naheshimika mno, sipo tayari kuikabili aibu hii
Anashikaje mimba sasa? Kwani wanafanya kinguonguo? hata tafsida hujasoma?
Usijaribu huo upuuzi, mkitoa huenda msipate mtoto tena.I'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?
Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!..
Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
Kwani afya ya huyo mtoto inatetereka kwa mama kuwa mjamzito Tena?Kaitoe kunusuru afya ya huyo mtoto (mtu kamili) wa miezi 9, hiyo mimba haina thamani kuliko huyo mtu.