Kwa 'body language' tu ya Mama azungumzapo huhitaji Akili Kubwa kujua ya kwamba...

Mama nimependa sana faraja aliyoileta kwetu kwa kweli wakale walisema hakuna kama Mama walikua sahihi sana daah yani Mama amenifurahisha sana kama leo nimeshinda na furaha tuu kwa kweli na bongo narudi hata kesho nipo tayari kwa moyo wangu mkunjufu kabisaa na Kodi nitalipa bila ili kutomkwamisha mama ili wale waliobakia wanyweee...
 
Hakuna kitu kitabadilisha maisha yako kuwa Bora zaid Kama hutojishughulisha na kufanya jambo kwa juhudi na ubunifu wa kimaarifa vinginevyo utazidi kunyooshea watu vidole na kuamini kuwa unalogwa au unaonewa kumbe the PROBLEM IS YOU
Mzee acha kuhubiri wakati umeajiriwa na maza[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dingi alikuwa mkoloni mweusi yule.
 
Mwendazake hakuwa na mapenzi nacc kabisa yani utadhani libaba la kambo linalotesa watoto yani sasa tunajiona tuko kwa mama mzazi alietuweka tumboni 9 months lile libaba lilipenda watoto wake tuishi kama mashetani daaah aiseee Mungu tumeuona ukuu wako na aoze hata mfupa wake usionekane.
 
Hata late Joseph alianza kwa mtindo huu huu ila katikati ya anga akabadili gear, binafsi siwezi kuweka kete yangu mapema kiasi hiki.

👉🏾 Ngoja maisha yasogee kwanza.
 
Mungu atusaidie watz🙏🙏🙏!
 
Dunia nzima inaifuatilia Tanzania juu ya msimamo wake kuhusu covid 19. Walikuwa hawana namna ya kupenyeza agenda zao za hila nchini kuhusu covid 19. Kwa hotuba hii nahisi watakuwa wamepata matumaini mapya kwa kiasi Fulani!!
Rai yangu, kamati isije ikaja na mkakati wa kwenda nchi za nje hasa ulaya au marekani Kama study tour ya covid 19. Juzi Uingereza wameamua yale Yale aliyokuwa anayasema Magufuli tokea mwanzo kabisa wa covid 19.
 
Samia usimchukulie poa aisee kwa sisi tunao mfahamu tangu akiwa zanzibar kwen NGOs kabla hata huku bara hamja fahamu niwaambie polen msimchukulie poa aisee ni mkorofi pale inapo bid ikorofi utumike.
 
Jibu la mama samia katika hili la korona lipo bayana kabisa na halina utata ntashangaa sana kama kuna watu bado watajifanya vichwa maji
 
2025 Mwenyezi Mungu tunayemuabudu usiku na mchana atusaidie tuione alafu nitakuja kuitazama post yako huku nikicheka..
 
Hakuna kitu kitabadilisha maisha yako kuwa Bora zaid Kama hutojishughulisha na kufanya jambo kwa juhudi na ubunifu wa kimaarifa vinginevyo utazidi kunyooshea watu vidole na kuamini kuwa unalogwa au unaonewa kumbe the PROBLEM IS YOU
Ila cha kukurudisha nyuma kipo kama hicho cha kutaifisha pesa za watu ovyo?!!kwenye uchumi kauli moja tu ya kiongozi, inaweza pelekea watu kufirisika au kuwa matajiri.hakuna anayemtegemea kiongozi kumletea pesa nyumbani, ila ni kutengeneza mazingira wezeshi ya mtu kupata pesa.unakuwa na kiongozi ambaye mawazo yake ni kuona wananchi wake wanazidi kuwa masikini?!kwa kuzidi kuwatia ujinga eti wanyonge?
 
Hapa nakubaliana na wewe Asilimia 💯 maana nawaambia watu bila kufanya kazi hela hamtaipata wala kuonekana, mara ooh hayupo aliekuwa anabania hela, nawaambia nyie mnacheza yani mchezo bado ni ule ule
Mkuu unafanya kazi gani, Je umeshapata hela?
 
Hakuna kitu kitabadilisha maisha yako kuwa Bora zaid Kama hutojishughulisha na kufanya jambo kwa juhudi na ubunifu wa kimaarifa vinginevyo utazidi kunyooshea watu vidole na kuamini kuwa unalogwa au unaonewa kumbe the PROBLEM IS YOU
Mtazamo wako ni sawa, ila ipa zipo factors zinazo affect maisha ya watu wengi... zinazochangiwa zaidi na uongozi wa serikali pamoja na maamuzi yao katika nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…