Masikini na Wanyonge wanaoishi katika nchi Tajiri... 😀Ila cha kukurudisha nyuma kipo kama hicho cha kutaifisha pesa za watu ovyo?!!kwenye uchumi kauli moja tu ya kiongozi, inaweza pelekea watu kufirisika au kuwa matajiri.hakuna anayemtegemea kiongozi kumletea pesa nyumbani, ila ni kutengeneza mazingira wezeshi ya mtu kupata pesa.unakuwa na kiongozi ambaye mawazo yake ni kuona wananchi wake wanazidi kuwa masikini?!kwa kuzidi kuwatia ujinga eti wanyonge?
Haahaa eti mbritish kabisa yani mwingereza ? MkuuDingi alikuwa jau, maza hana noma ni mbritish kabisa!!
Mama namuunga mkono 100%, lakini kadi ya CCM sichukui kamwe hata kwa kulzimishwa kwa Kalashnikov/mtutu wa bunduki.Mama ameanza vizuri na ANAENDELEA VIZURI She have the support of more 90% of Tanzanianians.Karibu nachukua kadi ya CCM... Kuna mambo Kadhaa bado...
(1)Sheria kandamizi za mitandao,kodi....,
(2) Wape wanasiasa uhuru wao wa kufanya siasa any time they think so.Ni jicho la tatu kwenye kufichua maovu mbalimbali baada ya vyombo vya habari....
(3)....
hatutaki hela tunataka amani na uhuru tu,vinatosha!!Hapa nakubaliana na wewe Asilimia 💯 maana nawaambia watu bila kufanya kazi hela hamtaipata wala kuonekana, mara ooh hayupo aliekuwa anabania hela, nawaambia nyie mnacheza yani mchezo bado ni ule ule
Japokuwa asili ya huko ulipotokea ilikuwa ni kuwatukuza ila siyo kwa sasa; ni msemo tu mkuu wala siyo kwamba ndo wamepewa kipaumbele au wametukuzwa kivile.Haahaa eti mbritish kabisa yani mwingereza ? Mkuu
Watanzania tufanye kazi, tulipe kodi tusimdissapoint mama. Nchi hii ni yetu na itajengwa kwa nguvu zetu. Tuna Rais ana upendo sana, tutake nini tena?
1. Baba Mbabe alikuwa hamshirikishi na huenda hata alitamani Kuachana nae.
2. Ushauri wake ulikuwa ukipuuzwa na kudharauliwa na Baba.
3. Hali ngumu ya Maisha imemkwaza Mama japo Baba aliona anatukomesha.
4. Aliwaamini sana Waliodharauliwa na Baba ambao walikuwa Weledi kuliko aliyowateua Yeye Baba.
5. Kuna Siri nyingi za Upigaji wa Miradi ya Baba ila alishindwa Kumwambia kwakuwa alishagundua anadharaulika nae.
6. Baba Kukitenga sana Kisiwa anakotoka Mama kulimkwaza akiamini hata Kisiwa pia kina Haki ya Keki Tamu na Nono ya Ardhi ya Tanzania.
7. Mama ameiva vyema Kidiplomasia na Kiustaraabu japo ana Ukali wa Kiumakini tofauti na Baba aliyekuwa na Ukali, Kukomoa, Chuki na Ujeuri wa Kibabe.
Ni mapema mno Kumpongeza Mama ila tusikatae kuwa dalili ya Mvua ni Mawingu na ' Body Language ' ya Mama inaonyesha kuwa Kilio cha Ugumu wa Maisha ya Watanzania ( Vyuma Kukaza ) hata na Yeye (Mama) inamuuma.
Hivyo Kipaumbele chake sasa ni Kuturudishia Tabasamu lililopotea katika Sura za Watanzania tokea tarehe 25 Oktoba, 2015 hadi 17 Machi, 2021.
vijana mna haraka sana ya kutoa hitimisho.
mama akitaka aifikishe hii nchi sehenu fulani,aachane kabisa na umama.awe rais.
Yap mtaani vijana wanasema maza zunguHaahaa eti mbritish kabisa yani mwingereza ? Mkuu
Mkuu asante.Hatuna cha kujifunza kutoka Ulaya kuhusiana na C-19.Yote yanayotekezwa Ulaya kuhusiana na C-19 ni utapeli labeled science,huku wakitumia compromised so called scientists.Sina shaka yeyote kwamba kama uncompromized true scientists watakuwa selected kwa nia njema,I repeat kwa nia njema,wana uwezo kabisa wa kutusaidia.After all most of us who are true and independent minded scientists already know that C-19 is a hoax.Mambo yako wazi kabisa.Hata sijui wanachokwenda kufanya ni nini.One only needs to look into the science of pathogenic diseases,wearing masks,lockdowns and social distancing to see that there is no science involved all,it all has to do with social engineering and destroying economies for the draconian One World Government agenda.Dunia nzima inaifuatilia Tanzania juu ya msimamo wake kuhusu covid 19. Walikuwa hawana namna ya kupenyeza agenda zao za hila nchini kuhusu covid 19. Kwa hotuba hii nahisi watakuwa wamepata matumaini mapya kwa kiasi Fulani!!
Rai yangu, kamati isije ikaja na mkakati wa kwenda nchi za nje hasa ulaya au marekani Kama study tour ya covid 19. Juzi Uingereza wameamua yale Yale aliyokuwa anayasema Magufuli tokea mwanzo kabisa wa covid 19.
Sasa labda niulize nini mantiki ya kile kiapo walichokula ikulu kama hawawezi kumsaidia Mh. Rais katika kufanya maamuzi na wakati ameshawapa dira?"Nimesikiliza hotuba yake.Tone ni too soft na hii itawafanya watendaji wa-relax sana.Nahisi pia kwamba watendaji wataachiwa wafanye maamuzi mengi wao bila close monitoring.Hii ni hatari,kwa mustakabali mzima wa taifa,unless wao wenyewe wako committed to their people and development of the country.Maneno "kayaangalieni haya' yanakosa msisitizo na authority na yana akisi wasi wasi wangu.Tusubiri,ila I can sense dange,ila najua kwa comment yako hii,na kwa jinsi nilivyo kusoma,kwako msimamo wake utakuwa blessing."
.....
Mkuu mimi nina wasi wasi sana.Familia hii ina ukaribu sana na NGOs za akina Bill Gates au funded na akina Bill Gates,hasa baba.Je,kweli tuko safe? Time will tell.Dunia nzima inaifuatilia Tanzania juu ya msimamo wake kuhusu covid 19. Walikuwa hawana namna ya kupenyeza agenda zao za hila nchini kuhusu covid 19. Kwa hotuba hii nahisi watakuwa wamepata matumaini mapya kwa kiasi Fulani!!
Rai yangu, kamati isije ikaja na mkakati wa kwenda nchi za nje hasa ulaya au marekani Kama study tour ya covid 19. Juzi Uingereza wameamua yale Yale aliyokuwa anayasema Magufuli tokea mwanzo kabisa wa covid 19.
Wewe unadhani watu hawajishughulishi? Ukweli ni kuwa watu wako busy sana kutafuta maisha kwa kujishughulisha lakini mazingira yaliyowekwa na serikali ni magumu mno!Hakuna kitu kitabadilisha maisha yako kuwa Bora zaid Kama hutojishughulisha na kufanya jambo kwa juhudi na ubunifu wa kimaarifa vinginevyo utazidi kunyooshea watu vidole na kuamini kuwa unalogwa au unaonewa kumbe the PROBLEM IS YOU
Mkuu viapo ni kutimiza sheria tu,wala havina uhusiano wowote na utendaji.Infact katika vitu ambavyo ni useless ni viapo,ni wastage of time.Tumewashuhudia wengi wakiapa na baadae kufanya madudu na hivyo kwenda kinyume na viapo vyao bila kuchukuliwa hatua yeyote kama sheria inavyotaka.Sasa labda niulize nini mantiki ya kile kiapo walichokula ikulu kama hawawezi kumsaidia Mh. Rais katika kufanya maamuzi na wakati ameshawapa dira?
Mazingira yapi ni magumu mkuu.Wewe unadhani watu hawajishughulishi? Ukweli ni kuwa watu wako busy sana kutafuta maisha kwa kujishughulisha lakini mazingira yaliyowekwa na serikali ni magumu mno!
Hujui unachokiomba.Tatizo la Watanzania ni ufahamu,lack of diagnostic ability na kutojitambua.Pia tunaridhika sana na vitu vidogo dogo vyenye faida ya muda mfupi.Many times we do not even know what we want.Shiida kweli kweli.Eeh Mwenyezi Mungu ninakumba unipe uhai niweze kufurahia uongozi wa Rais wetu uliyetupa kama mkombozi wa mateso ya miaka 6. Kwa heshima kubwa picha yake itakuwa sebuleni ya nyumba yangu ili mpaka vilembwekeze wangu waikute. Picha hii itakuwa kwenye profile ZANGU zote social networks.
Tunakuombea maisha marefu Mh. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania
Kwa wafanyabiashara wanaoanza kuna kodi nyingi na kubwa ambazo zinatozwa hata kabla ya biashara kuanza. Kwa wafanyabiashara wakubwa makadirio ya kodi ni makubwa kuliko uhalisia na rushwa na vitisho kibao. Kwa wakulima kuna vikwazo katika kuuza mazao na kodi kibao. Watu wanashindwa kusafirisha mazao yao kuyafikia masoko sababu ya ushuru. Aidha kuna taasisi nyingi za utozaji kodi kama halmashauri, tra, TBS, tfda nk.Mazingira yapi ni magumu mkuu.
Yes; it's to early but so far she has somehow supprissed many especially those who had underestimated her leadership potentials.1. Baba Mbabe alikuwa hamshirikishi na huenda hata alitamani Kuachana nae.
2. Ushauri wake ulikuwa ukipuuzwa na kudharauliwa na Baba.
3. Hali ngumu ya Maisha imemkwaza Mama japo Baba aliona anatukomesha.
4. Aliwaamini sana Waliodharauliwa na Baba ambao walikuwa Weledi kuliko aliyowateua Yeye Baba.
5. Kuna Siri nyingi za Upigaji wa Miradi ya Baba ila alishindwa Kumwambia kwakuwa alishagundua anadharaulika nae.
6. Baba Kukitenga sana Kisiwa anakotoka Mama kulimkwaza akiamini hata Kisiwa pia kina Haki ya Keki Tamu na Nono ya Ardhi ya Tanzania.
7. Mama ameiva vyema Kidiplomasia na Kiustaraabu japo ana Ukali wa Kiumakini tofauti na Baba aliyekuwa na Ukali, Kukomoa, Chuki na Ujeuri wa Kibabe.
Ni mapema mno Kumpongeza Mama ila tusikatae kuwa dalili ya Mvua ni Mawingu na ' Body Language ' ya Mama inaonyesha kuwa Kilio cha Ugumu wa Maisha ya Watanzania ( Vyuma Kukaza ) hata na Yeye (Mama) inamuuma.
Hivyo Kipaumbele chake sasa ni Kuturudishia Tabasamu lililopotea katika Sura za Watanzania tokea tarehe 25 Oktoba, 2015 hadi 17 Machi, 2021.