Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
Kwa heri utesi na uoneziNimemkubali sana Mama.....Vyombo vya habari vilivyofungiwa vifunguliwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa heri utesi na uoneziNimemkubali sana Mama.....Vyombo vya habari vilivyofungiwa vifunguliwe.
Mimi bado sijampa maksi zangu zote. Kipimo cha kwanza ni siku zake 100 akiwa madarakani.
Na hiki kitakuwa ni moja ya vipimo mwafaka ambavyo pia vitaamua hatma ya uongozi wake na future
yake kisiasa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....! Kwa hiyo ametatua kero za watu wengi kistar kabisaMungu acheni anitwe Mungu..hua ana namna yake ta kutatua kero za watu wake.
#MaendeleoHayanaChama
Huna hoja bora ungenyamaza. Hapo ni chuki binafsi tu kwa jpm kwa kudhibitiwa kwako dhidi ya maslahi ya umma. Kama sio cheti feki kutumbuliwa na kadhalika.
Muwe mnasoma nyie viaziHebu nitokee hapa Mpuuzi Wewe sawa?
Mkuu kuna mtu ame hack account yako?Mama yetu, Rais wetu, Mungu akulinde sana. In few days mama kabadili mioyo ya watanzania na kaleta tabasamu usoni mwetu, kwani watu walikata tamaa kabisa
Kiongozi kama nchi ya wavivu,watu wenye majungu, maneno mengi kuliko utendaji kama Tanzania haitaji kiongozi awe kama muuza lamba lamba.
Muda ndio mwalimu.
Tunajua ni lazima tu utakuwa Umechukia Mama kuwa Rais kwani ulikuwa Ukifaidika mno Kifisadi na Kiukanda na huyo Mkanda Mwenzenu aliyelazimishwa Kulala kilazima na Israeli ili Watanzania tulioteseka nae tupate Unafuu kupitia Mama Mpendwa Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan.
May the Soul of our Hero JPM rest in eternal peace. Let the people talk, but let them keep some words within themselves.. You may praise her at the moment..but mark my words..you are going to regreat..what i saw yesterday, i can say it was a total embarrasment in her regime.
You can not be guided by social media comments when it comes to select or not an individual in a very sensitive possition.
May our beloved country shine in everywhere.
Hahah!Acha kuwa Mnafiki kwani Comments zote za Kumpenda Mama Rais Samia unajifanya Kuzipongeza huku ukionyesha Mashaka ila za Kumpongeza Hayati ( Baba ) unazichambua kwa Kumsifia mno.
Tafadhali acha Unafiki tumeshakuchoka.
Kwa hiyo unapingana na rais?Kiongozi kama nchi ya wavivu,watu wenye majungu, maneno mengi kuliko utendaji kama Tanzania haitaji kiongozi awe kama muuza lamba lamba.
Muda ndio mwalimu.
Ngoja niweke akiba ya MANENO....
Aliyemtuma kuja kuyafanya maisha magumu ni nani jaman wakati duniani tunapita na mwenye dunia yake alisema tusisumbukie ya Kesho.......!!!
Time will tell kama ni pumba.Kwa nini tuandikie mate na wino upo?Maelezo marefu halafu ni Pumba tupu.
Utamuaminije mtu 100%?Unaweza kusoma akili yake na unajua connections zake zote.Ulichoandika ni uongo.Tunaojiamini tu tuna uhakika nae 100%.
Aisee watu walikua wanajituma sana tu lakini njia za mafanikio zilizimika kabisaaaaa. Lamda wewe ulikua kwenye mkondo wa neema ya wanayokula wenye nchi, au kunamisha fulani uliyakuta kutoka kwa familia yako au ulishaneemeka kipindi cha kikwete na ile msemo wa tembo hata akikonda hawezi kuwa kama mbuzi. Ila watu tunapambana brother na tunajibana sana lakini ilikuwa sio kazi nyepesi kwa mtu anayeanza maisha kutoboa kwenda level nyingine.Hakuna kitu kitabadilisha maisha kuwa Bora zaid Kama hutojishughulisha na kufanya jambo kwa juhudi na ubunifu vinginevyo utazidi kunyooshea watu vidole na kuamini kuwa unalogwa au unaonewa kumbe the problem is you