Kwa CV hii ya wakili Mwabukusi na Rais Mteule wa TLS inasadifu hulka na tabia zake

Kwa CV hii ya wakili Mwabukusi na Rais Mteule wa TLS inasadifu hulka na tabia zake

Nilikuwa najiuliza Kwa nini Jamaa ana tabia za kuhisi kuonewa mda wote, kukosa utulivu na kurupuka mara kwa mara vitu ambavyo havifanani na Mawakili wenzie wasomi vinatoka wapi?

Kumbe jibu liko hapo kwenye CV yake, ni mtu amekulia mtaani Kwa wahuni, kafanya kazi za kihuni na ametokea kwenye familia ya maisha ya tia maji tia maji. On top of that Elimu yenyewe ni ya kujenga unga.

Lakini licha ya shida zote hizo alipambana mtaani na Sasa ni Wakili na Rais wa TLS.

Kimsingi ni wa kumsamehe na kumhudumia, hakupata malezi stahiki ya familia na wazazi wanaowajibika, just imagine mshauri wake ni Mdude Nyagali na ndio Kampeni Meneja wake 🤣🤣🤣🤣🤣

But all in all hongera zake Kwa spirit ya kupambana.
View attachment 3060291

My Take: Soma hapa Kuelekea 2025 - Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati

Meanwhile 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C-MrbCsKbD-/?igsh=NGxhYmhqZmJ0MXN6

Leta na wewe CV yako tuilinganishe na hiyo ya Mwabukusi. Kuhusu asili ya mtu, haiamui hatma ya mtu.
 
Nilikuwa najiuliza Kwa nini Jamaa ana tabia za kuhisi kuonewa mda wote, kukosa utulivu na kurupuka mara kwa mara vitu ambavyo havifanani na Mawakili wenzie wasomi vinatoka wapi?

Kumbe jibu liko hapo kwenye CV yake, ni mtu amekulia mtaani Kwa wahuni, kafanya kazi za kihuni na ametokea kwenye familia ya maisha ya tia maji tia maji. On top of that Elimu yenyewe ni ya kujenga unga.

Lakini licha ya shida zote hizo alipambana mtaani na Sasa ni Wakili na Rais wa TLS.

Kimsingi ni wa kumsamehe na kumhudumia, hakupata malezi stahiki ya familia na wazazi wanaowajibika, just imagine mshauri wake ni Mdude Nyagali na ndio Kampeni Meneja wake 🤣🤣🤣🤣🤣

But all in all hongera zake Kwa spirit ya kupambana.
View attachment 3060291

My Take: Soma hapa Kuelekea 2025 - Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati

Meanwhile 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C-MrbCsKbD-/?igsh=NGxhYmhqZmJ0MXN6

Pole sana sheikh...tunajua watu wa aina yako mtakuwa mmeumia sana...tutaelewana tu
 
Mbona CV ya kawaiida sana Kwa sisi wanaume..... Hata kama unatoka familia ambazo zipo well connected, ukasoma shule na vyuo vizuri bado kwenye Maisha Kuna kipindi msoto utakuhusu
 
Nilikuwa najiuliza Kwa nini Jamaa ana tabia za kuhisi kuonewa mda wote, kukosa utulivu na kurupuka mara kwa mara vitu ambavyo havifanani na Mawakili wenzie wasomi vinatoka wapi?

Kumbe jibu liko hapo kwenye CV yake, ni mtu amekulia mtaani Kwa wahuni, kafanya kazi za kihuni na ametokea kwenye familia ya maisha ya tia maji tia maji. On top of that Elimu yenyewe ni ya kujenga unga.

Lakini licha ya shida zote hizo alipambana mtaani na Sasa ni Wakili na Rais wa TLS.

Kimsingi ni wa kumsamehe na kumhudumia, hakupata malezi stahiki ya familia na wazazi wanaowajibika, just imagine mshauri wake ni Mdude Nyagali na ndio Kampeni Meneja wake 🤣🤣🤣🤣🤣

But all in all hongera zake Kwa spirit ya kupambana.
View attachment 3060291

My Take: Soma hapa Kuelekea 2025 - Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati

Meanwhile 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C-MrbCsKbD-/?igsh=NGxhYmhqZmJ0MXN6

Wewe uliekulia maisha ya Kishua , Mboga saba, Ukasoma IST na umetokea kwenye familia ya Kitajiri . umefika wapi na nani anayekujua hapa Tanzania?? Acha roho mbaya za Kishamba . Only God determines our destiny. Haijalishi tulizaliwa, tukakulia, tukalelewa wapi.
 
Nazungumzia tabia na hulka yake sio Elimu
Tabia ya Adolf Hitler ili mbaya na ya Kikatili je, Ujerumani yake haikuendelea na mpaka leo kuwa ni moja ya Taifa Kubwa duniani Kiuchumi, Kijeshi, Kimaendeleo na Kiteknolojia? Bado nasisitiza tujitahidi tutumie sana Akili zetu kujua Kufikiri na kujenga Hoja. Kuna tofauti Kubwa sana kati ya Hulka ya Mtu na Utendaji wake kama unataka nikupe Somo la hili sema ili Siku zingine usiendelee Kudharaulika na waliokuzidi Upeo na Maarifa.
 
Tabia ya Adolf Hitler ili mbaya na ya Kikatili je, Ujerumani yake haikuendelea na mpaka leo kuwa ni moja ya Taifa Kubwa duniani Kiuchumi, Kijeshi, Kimaendeleo na Kiteknolojia? Bado nasisitiza tujitahidi tutumie sana Akili zetu kujua Kufikiri na kujenga Hoja. Kuna tofauti Kubwa sana kati ya Hulka ya Mtu na Utendaji wake kama unataka nikupe Somo la hili sema ili Siku zingine usiendelee Kudharaulika na waliokuzidi Upeo na Maarifa.
Haikuendelea ndio na ndio maana analaaniwa sio tuu na Germany Bali na Dunia nzima.

Watu wote waliokulia kama machokoraa tabia zao zinafanana ni pamoja na yule Rais uliyekuwa unamshabikia
 
Hamna kitu wewe ni Bumunda tu. Kwanini uumie unapomuona Slum Kid anakaa kwenye level ya juu ya Kimaisha ???
Nitumie Kwa Ajili ya nini? Wapi nimesema naumia? Nimeelezea tabia za huyo mtu zilikotoka na Wala sio kosa lake
 
Nilikuwa najiuliza Kwa nini Jamaa ana tabia za kuhisi kuonewa mda wote, kukosa utulivu na kurupuka mara kwa mara vitu ambavyo havifanani na Mawakili wenzie wasomi vinatoka wapi?

Kumbe jibu liko hapo kwenye CV yake, ni mtu amekulia mtaani Kwa wahuni, kafanya kazi za kihuni na ametokea kwenye familia ya maisha ya tia maji tia maji. On top of that Elimu yenyewe ni ya kujenga unga.

Lakini licha ya shida zote hizo alipambana mtaani na Sasa ni Wakili na Rais wa TLS.

Kimsingi ni wa kumsamehe na kumhudumia, hakupata malezi stahiki ya familia na wazazi wanaowajibika, just imagine mshauri wake ni Mdude Nyagali na ndio Kampeni Meneja wake 🤣🤣🤣🤣🤣

But all in all hongera zake Kwa spirit ya kupambana.
View attachment 3060291

My Take: Soma hapa Kuelekea 2025 - Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati

Meanwhile 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C-MrbCsKbD-/?igsh=NGxhYmhqZmJ0MXN6

Kwa hii sred umejinyonga kabisa
 
Nilikuwa najiuliza Kwa nini Jamaa ana tabia za kuhisi kuonewa mda wote, kukosa utulivu na kurupuka mara kwa mara vitu ambavyo havifanani na Mawakili wenzie wasomi vinatoka wapi?

Kumbe jibu liko hapo kwenye CV yake, ni mtu amekulia mtaani Kwa wahuni, kafanya kazi za kihuni na ametokea kwenye familia ya maisha ya tia maji tia maji. On top of that Elimu yenyewe ni ya kujenga unga.

Lakini licha ya shida zote hizo alipambana mtaani na Sasa ni Wakili na Rais wa TLS.

Kimsingi ni wa kumsamehe na kumhudumia, hakupata malezi stahiki ya familia na wazazi wanaowajibika, just imagine mshauri wake ni Mdude Nyagali na ndio Kampeni Meneja wake 🤣🤣🤣🤣🤣

But all in all hongera zake Kwa spirit ya kupambana.
View attachment 3060291

My Take: Soma hapa Kuelekea 2025 - Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati

Meanwhile 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C-MrbCsKbD-/?igsh=NGxhYmhqZmJ0MXN6

Anafungua kesi kwa hoja ya "huenda" (maybe)! Basi ajielimishe kwanza zaidi kwenye fani yake asiishie kuumbuka tena!
 
Mimi ni wakili ila tabia ya jamaa kulipuka lipuka siipendi.
 
Sasa Wewe ulikuwa hautaki Mwabukusi awe rais wa TLS au ? Mbona hoja yako haina mashiko? Riziki hupangwa na Mungu sio Wewe
Nitumie Kwa Ajili ya nini? Wapi nimesema naumia? Nimeelezea tabia za huyo mtu zilikotoka na Wala sio kosa lake
 
Haikuendelea ndio na ndio maana analaaniwa sio tuu na Germany Bali na Dunia nzima.

Watu wote waliokulia kama machokoraa tabia zao zinafanana ni pamoja na yule Rais uliyekuwa unamshabikia
Ukisema kuwa Ujerumani chini ya Hitler haikuendelea wenye Akili hapa utakuwa umeshatupa sababu ya Kukudharau zaidi.
 
Nilikuwa najiuliza Kwa nini Jamaa ana tabia za kuhisi kuonewa mda wote, kukosa utulivu na kurupuka mara kwa mara vitu ambavyo havifanani na Mawakili wenzie wasomi vinatoka wapi?

Kumbe jibu liko hapo kwenye CV yake, ni mtu amekulia mtaani Kwa wahuni, kafanya kazi za kihuni na ametokea kwenye familia ya maisha ya tia maji tia maji. On top of that Elimu yenyewe ni ya kujenga unga.

Lakini licha ya shida zote hizo alipambana mtaani na Sasa ni Wakili na Rais wa TLS.

Kimsingi ni wa kumsamehe na kumhudumia, hakupata malezi stahiki ya familia na wazazi wanaowajibika, just imagine mshauri wake ni Mdude Nyagali na ndio Kampeni Meneja wake 🤣🤣🤣🤣🤣

But all in all hongera zake Kwa spirit ya kupambana.
View attachment 3060291

My Take: Soma hapa Kuelekea 2025 - Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati

Meanwhile 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C-MrbCsKbD-/?igsh=NGxhYmhqZmJ0MXN6

Huyu ajitambui. Toka lini CCM ikaibiwa kura 😁😁
 
Back
Top Bottom