Kwa damu ya Yesu Roho yangu nimemkabidhi Yesu Pekee

Kwa nini wanakufatilia adi kutaka kukutoa kafara kipenzi?
 
Jibu zuri kamanda. Wakenya wanasemaga "tuko na shida zetu, tuskize zako kwanini"?
Hahahahaha..Mkuu sie wengine tukiandika majanga na history zetu utajiuliza nilifikaje hapa au ukahisi ni uongo..maana wengine wanaona ktk movie tu sasa sie tumeyapitia na ku experience..hapa tupo kufurahi mwanzo mwisho
 
Mungu anasimama upande wako daima

Usipgope kwa sababu vita ushapiganiwa na kuishinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…