Kwa Dhamira yao Ovu ya kutaka Kuivamia Israel ya Afrika (Rwanda) naona Tshisekedi na Ndayishimiye wamechoka Kuishi

Hao RDF wakishirikiana na waasi wa Burundi walitaka kumpindua Nkurunzinza2015, JWTZ ikapeleka makomandoo wakatembeza kichapo kwa hao wanyarwanda na kumrejesha Nkurunzinza madarakani. JWTZ Ni habari nyingine mkuu don't mess with them, ndiyo maana hata hao Rwanda wanaleta vijana wao kupata training za kijeshi kwenye military academy zetu. Au huwa hufuatilii hata taarifa wakati Rais akihitimisha mafunzo ya maafisa Cadet na akitoa kamisheni za kijeshi utasikia, wahitimu kadhaa kutokea Rwanda, Zimbabwe, Uganda, Kenya na Egypt?
 
Taja zana kali walizonazo RDF mpaka wawe tishio kwa JWTZ.
 
Tutawatwanga Kama tulivyo watwanga kipindi Kile mlicho kuwa mnapigana kupitia proxy wenu M23. Na hata pale mliposhiriki kumpindua Nkurunzinza tuliwapiga na kumrejesha madarakani.
 

Kwa akili yako hivyo vita vinapiganwa na izirael pekee. Hujui kuna invisible hand behind izirael ndiyo inayoratibu na kupigana vita hivyo.
 
Sasa hapo ndiyo umeongea nini ? Rais kama magufuli ndiyo jibu kwa hayo uliyo ongea anajua kuunganisha taifa kwa uchapakazi wake na uzalendo wake ...kinacho sababisha utengano congo ni ubinafsi wa viongozi kukosa uzalendo....pia sijui kama unajua kuwa chanzo cha taifa kukosa utengamano ni uongozi ambao ndani yake unakuwa na ufisadi rushwa ubinafsi na kukosa uzalendo....kitu kingine ni viongozi kushindwa kumeneji rasilimali kama madini hayo yote JPM aliyamudu kikamilifu.
 
Another Fool.
 
comrade!!!! alaf TZ,tunajifanya mafaaaala!!! ila m2 akijifanya ana2jua anapata moto wa ajabu!!
 
Sijajuaaaaaaa elimuyakoyamwishooo naamini Mungu amekupa machooooo

Naa akilizakoo m23 inatoka BUKOBA??
 
Rwanda ipigwe inaongozwa na gaidi, mwizi wa rasilimali za mataifa mengine na anafadhili makundi ya uasi. Wapigwe kenge hao
 
Mpuuzi wahed.
 
we mpumbavu tunakujua siyo raia wa Tanzania, siku zako zinahesabika za kuondoka nchini mwetu. Mbwa usiye na haya, ondoka nchini mwetu.
Mpumbavu Mwenyewe na Mbwa ni wale Wawili waliokuleta duniani na siyo Mimi kama ulivyoandika hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…