Kwa Dhamira yao Ovu ya kutaka Kuivamia Israel ya Afrika (Rwanda) naona Tshisekedi na Ndayishimiye wamechoka Kuishi

israel ya africa ????
 
intel kaLI FAFANUA hapo kila nNaona watu wengi mnamshambulia mleta mada, ukweli ni kwamba Paul Kagame na Timu zake (Majeshi) wako vizuri ktk masuala ya vita na ujasusi. Endapo kama kweli hao majirani zake wanapanga au wanataka kuanzisha vita dhidi yake, basi wanatakiwa Wajipange sawasawa kabla ya kuanzisha mtiti dhidi ya Paul Kagame. La sivyo wanaweza wakajikuta wapo matatani sana huku Kagame akiendelea kuneemeka kutokana na uchokozi wa majirani zake.
hi
Rwanda chini ya Mwamba Kagame.
mwamba wa nini hasa na hiyo intel kali kafanya nini na wapi au kule kuua maadui zake SA ndio inte kali. Ni kijitu fulai kinaji mwambafai kuiga tembo kunya aatapasuka msamba eti
 
🚮🚮
 
Kumbe wewe chawa!!?? Nilikuwa sijui.
JPM ndiye Rais pekee kabisa ktk nchi hii ambaye alibomoa kabisa mizizi ya utangamano wa kitaifa, halafu wewe unasema eti alimudu kumeneji nchi au rasilimali za nchi!!
Kumbuka, JPM alisababisha mipasuko ya kijamii kuanzia ngazi ya kaya hadi Serikalini kwenyewe ktk vyombo vyote vya ulinzi na usalama wa Serikali.
 
Paul Kagame anget wa CIA, mtoto mpendwa wa Marekani.
Huyo bila vifurushi vya USA sijui ana nini la ajabu?😂 Nikifikira nchi ya Rwanda ni kama Mkoa wa Mbeya tu nabakia hoi mno kuwaza eti Majeshi ya mikoa yote Tanzania yashindwe kulipiga jeshi la Mbeya?😂😂😂
 
Acha kujipendekeza
 
Waulize kwanza wale vijana DRC iliowaleta baada ya kumaliza mafunzo yao, walienda wapi? Walifanya kazi gani? Walikuwa wangapi?
 
Rwanda ya sasa hivi si Rwanda ya 1994.

Huwa naingia Kigali na kwa kweli tofauti ipo kubwa sana.

Mleta mada anaposema kwamba Rwanda ni Israeli amaanisha kwamba Rwanda wana akili kama waisraeli.

Tatizo Israeli wana akili nyingi ambazo mara nyingi wakijichanyanya huwaondolea maarifa.

Ila PK akili bado yapiga kazi na jeshi lake la vijana wasomi khasa wale walosoma nje ya nchi lote lipo Kigali.

Si mmemsikia PK sasa hivi kaondoa viza kwa nchi za Afrika? Msidhani kakurupuka hiyo ni akili at work.

Waingereza hadi sasa wamepigwa manili obi ya pauni na Rwanda na hapo bado mchakato wa kuhamishia wasaka ukimbizi Kigali haujakamilika.

Lakini mwafahamu Rwanda ametumia pesa anolipwa na UK kwenye nini?

Kwanza waulizeni Congo DRC na ndege yao ya kivita ya Sukhoi Soi 25 ilifanywa nini ilipojaribu kuingia Rwanda Air Space. Hiyo ilikuwa mapema 2023.

Pili, kuna majasusi ya Congo DRC waling’amuliwa wakiishi kwenye kile kitongoji maarufu pale Kigali wakijifanya wauza nyanya, ulizeni wametendewa mambo gani.

Naomba niishie hapa wakuu ila kama hawa (Felix na Ndayishimiye) wameazimia kufanya wanotaka kukifanya kwa Rwanda, Itabidi wafikirie 4x4.
 
Kinachokusumbua weww ni kutokujua,ujinga ndio tatizo lako kubwa wewe,unasema eti timeshindwa kuendelea!,unaongelea maendeleo gn wewe?,
 
Kuna nchi gani afrika mashariki inaizidi tz kwa mtandao wa barabara za lami,huduma za afya,huduma za fedha!?
Ni kweli,hakuna nchi yoyote inayo izidi kwa maendeleo ktk ukanda wa afrika mashariki.iwe ni kwenye elimu,afya,barabara, hakuna anayeweza kuifikia, sasa unashangaa mjinga mmoja kale ugali wake na maharage kavimbewa ana kuja kuleta ujinga wako humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…