Kwa Dhamira yao Ovu ya kutaka Kuivamia Israel ya Afrika (Rwanda) naona Tshisekedi na Ndayishimiye wamechoka Kuishi

Kwa Dhamira yao Ovu ya kutaka Kuivamia Israel ya Afrika (Rwanda) naona Tshisekedi na Ndayishimiye wamechoka Kuishi

Naona watu wengi mnamshambulia mleta mada, ukweli ni kwamba Paul Kagame na Timu zake (Majeshi) wako vizuri ktk masuala ya vita na ujasusi. Endapo kama kweli hao majirani zake wanapanga au wanataka kuanzisha vita dhidi yake, basi wanatakiwa Wajipange sawasawa kabla ya kuanzisha mtiti dhidi ya Paul Kagame. La sivyo wanaweza wakajikuta wapo matatani sana huku Kagame akiendelea kuneemeka kutokana na uchokozi wa majirani zake.
Kumbuka: Kushinda vita kunachangiwa na sababu nyingi, ikiwamo na Intelijensia kali, ari ya wapiganaji, ubora wa zana/silaha za vita, etc. In short Majeshi ya Bw. Paul Kagame yana Intelijensia kali sana, pia wako vizuri ktk suala zima la Manpower & Logistics ukilinganisha na hao wapinzani wake. Wingi wa Wapiganaji au wingi wa silaha siyo vigezo vizuri sana vya kuweza kushinda vita katika dunia hii ya leo ya Sayansi na Teknolojia ya hali ya juu, hoja ya msingi ni Ubora walionao hao wapiganaji, ubora wa silaha wa silaha za kupigania vita, ari au morali ya wapiganaji pamoja na suala zima la Logistics. Kwa hiyo msiidharau Rwanda licha ya udogo wake wa eneo la kijiografia iliyo nayo, "Ukubwa wa Pua siyo wingi wa kamasi."
Wakati ule tunawadunda m23,alikua halali ikulu,alienda kuongoza mapigano lakini wapi,tulipeleka kichapo heavy,katika jeshi ambalo hataki liingie huko jwtz
 
Nasikia kuna Rafiki yao Mwingine 'Taifa Nafiki Nafiki' la Afrika Mashariki nao Kisirisiri watakuwa Wanawasaidia Congo DR na Burundi katika Kuipiga Israel ya Afrika ( Rwanda ) ya Military and Intelligence Genius Rais Paul Kagame hivyo GENTAMYCINE nachukua nafasi hii Kuwaonya kwani hawatoamini kwa kile ambacho kitaenda Kuwapata.

😂 😂 😂 😂 😂 😂 Onyo linatolewa JF , akitaka kupigwa atapigwa tu, Hao Rwanda hawana nguvu yoyote ya kuitwa eti Israel ya africa. Kwa kitu gani haswa walichonacho??maskini wa kutupwa hao.
 
Wakati ule tunawadunda m23,alikua halali ikulu,alienda kuongoza mapigano lakini wapi,tulipeleka kichapo heavy,katika jeshi ambalo hataki liingie huko jwtz
Usijifiche kwenye kivuli cha historia, ukweli ni kwamba Paul Kagame na timu zake wako vizuri na wamejipanga vizuri kwenye tasnia ya medani na intelijensia ktk ukanda huu wa Afrika.
 
tatizo tanzania mmepeleka siasa mpka majeshini,
Hilo ndio tatizo kubwa walilonalo wa-Tanzania walio wengi. Wameingiza siasa kwenye kila kitu, ndio maana nchi yetu haisongi mbele kimaendeleo, tumeshindwa kwenye kila nyanja ya kupiga hatua mbele ya kimaendeleo kutokana na janga hili la kuingiza siasa kila mahali.
 
Hilo ndio tatizo kubwa walilonalo wa-Tanzania walio wengi. Wameingiza siasa kwenye kila kitu, ndio maana nchi yetu haisongi mbele kimaendeleo, tumeshindwa kwenye kila nyanja ya kupiga hatua mbele ya kimaendeleo kutokana na janga hili la kuingiza siasa kila mahali.
Kuna nchi gani afrika mashariki inaizidi tz kwa mtandao wa barabara za lami,huduma za afya,huduma za fedha!?
 
Nasikia kuna Rafiki yao Mwingine 'Taifa Nafiki Nafiki' la Afrika Mashariki nao Kisirisiri watakuwa Wanawasaidia Congo DR na Burundi katika Kuipiga Israel ya Afrika ( Rwanda ) ya Military and Intelligence Genius Rais Paul Kagame hivyo GENTAMYCINE nachukua nafasi hii Kuwaonya kwani hawatoamini kwa kile ambacho kitaenda Kuwapata.
HAya mambo ya kipuuzi si ndo yalipelekea genocide 1994 ulikuwa hujazaliwa dogo,
 
Back
Top Bottom