Kwa dhuluma ambayo Jakaya Kikwete alimfanyia Mzee Lowassa, ataumaliza uzee wake bila amani

Mnarumu.
 
mkuu unamwonea imani Lowasa vp ufisadi wake alioufanya kutajirisha familia yake...hutuonei huruma sisi watanzania!!!
au na wewe family member
Kaka, mafisadi ni wengi mnoo ndani ya CCM, wengi mnooo. Ila ilibidi EL achafuliwe kwa makusudi ili mambo 'yao' yaende. TIS ni ufisadi, madini kuna ufisadi, madawa, MSD, kuna ufisadi, Sukari ufisadi, Mafuta ya kula na ya mitambo ufisadi, ufisadi umeota mizizi ndani ya CCM, ila EL amefanywa alama ya taifa ya ufisadi! TANAPA na TANESCO kuna ufisadi wa kuda mtu
 
Mkuu farsasi anavumilia kuliko punda???? [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Mkuu sijamlinganisha Farasi na Punda, japo hawatofautiani sana katika kuvumilia ila nilikuwa nakataa hiyo kauli ya huyo balozi kwamba farasi walikuwa wanahitajia maandalizi ya kipekee sana kubeba Wakuu wa Wilaya vijijini ili wasife.

Ninachofahamu farasi wametumika kwa maelfu ya miaka kubeba binadamu na mizigo na hata kutumika katika kupigana vita tena katika mazingira mengine magumu zaidi kuliko hata ya Tanzania.
 
Hakuna mnafiki aliyejaa ghiliba kama Jakaya! amemuambukiza na mchepuko wake saa100!
Kikwete alifanya maasi mengi sana kimya kimya huku akitoa meno nje kama anatabasamu la mbwa aliyeona mfupa!
Jakaya alijipendekeza akaanzisha mchakato wa katiba mpya baadaye akaja akaufuta. Huyu ndiye majinuni mkubwa kwenye taifa hili.
Jakata alishiriki wizi wote mkubwa kuanzia richmond (ambayo alimsukumia EL akafa nayo.
Escrow: Magunia ya Noti yalipelekwa ikulu kwa maelekezo ya Jakaya. Huyu ni wa kukamata kabla hajatutoka! kupoteza ushahidi!!!
Uchunguzi huru ukifanyika utawakamata Jakaya na saa100 kwa mauti ya Magu! trust me>
Kurogana vile vile vilikuwa wazi mno!
 
Madini mazito sana haya[emoji109]
 
mmh nawe daah
 
CCM walikuwa wanalinda brand ...It was a technical trick..
CCM gani wewe unayoizungumzia? Hiyo ambayo wajumbe wengi wakiwemo kina Nchimbi, Sophia Simba, Kimbisa, Bashe, Musukuma n.k walifura hadi kuanza kuimba wana imani na Lowassa baada ya kutoliona jina lake??
 
Lowasa alikuwa mgonjwa kila mtu alikuwa anajua

Kwani wewe hakuna wakati ulipowahi kuugua? Wewe ni mzima kwa 100% perfection? Kikwete hakuwa mgonjwa? Magufuli hakuwa mgonjwa?

Binadamu karibia wote tuwagonjwa. Tunatofautiana kwa kiwango tu. Hapo ulipo kuna vitu katika mwili wako vina-depreciate bila ya wewe kujua.

Tunachoangalia ni je, huyo anayetajwa kuwa yu mgonjwa ni mgonjwa wa kushindwa kutimiza majukumu yake?
 
Mbona ANC ilimchagua Jacob Zuma kuwa mgombea wake akiwa ananuka rushwa na ufisadi mtupu? Kwenye de facto monoparty kama hii yetu chama kinaweza kumpa mtu yeyote nafasi yoyote wanayotaka
 
Ni siri iliyo wazi kwamba mfumo huo mzima unafuata maelekezo, muongozo na matamanio ya mwenyekiti
 
Hii ni danganya toto ya wanasiasa, uongozi unatoka kwa wanadamu kwa kura halali, za wizi, mapinduzi au kurithi.
Mazuzu huwa yanadanganywa sana mkuu, eti uongozi unatoka kwa mungu, kama mungu ndio anatuletea mijitu inaiba rasilimali za taifa bila huruma basi huyo mungu inabidi ajitafakari sana. Hiyo mijizi isingekuwa hata na haja ya kupiga kampeni wala kuiba kura ingesubiri mungu awateue
 
Wanachadema wanasahau kuwa ni wao walioandika List of shame mwaka 2007 na kuisoma pale mwembe Yanga huku Marehemu akiwa ndani ya kikosi cha kwanza
Slaa anasema aliiandika hiyo list of shame mwenyewe, huenda aliwaangiza wenzake mkenge ukizingatia baadaye alirejea CCM.
 
Lowasa alimwendea Kikwete kumweleza kuwa yeye ameamua kujiuzulu ili kuilinda Serikali. Kikwete alikataa ombi la Lowasa kujiuzulu, lakini marehemu alishikilia msimamo wake, akiamini ndiyo njia ya kuiokoa Serikali ya Kikwete isidondoke, na pengine ipate imani ya aina fulani toka kwaWabunge. Nilivyosoma tu hii sehemu niliangalia ID, hivi we lini utakuja kuwa na akili? We ni bure kabisa, umeshajichanganya mwenyewe na kuanza uzushi km ulivyo siku zote. Kweli mwongo n i mwongo tu na tabia haina dawa. Acha uzushi na uwongo havina posho
 
Hilo bwege we hujalizoea? Amejiconfuse mwenyewe. Eti CHADEMA ndiyo inamtegemea km mshauri wao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…