Kwa dhuluma ambayo Jakaya Kikwete alimfanyia Mzee Lowassa, ataumaliza uzee wake bila amani

Kwa dhuluma ambayo Jakaya Kikwete alimfanyia Mzee Lowassa, ataumaliza uzee wake bila amani

Nimeona huko X jamaa wanamuwakia moto huyu mzee, yaani walikuwa wanamsubiri aongee tu waluke naye.

Kuna picha nimeiona kwa karibu mzee anazeeka kwa hatua za haraka sana, mara nyingi dhuruma huwa haipiti hivi hivi, inakutafuna ukiwa hujijui, muangalie yule dokta pale JKIC anavyoliwa!.
Dokta gani huyoo??
 
Back
Top Bottom