Kwa documentary ya Pele hii iliyotoka nitakuwa mpuuzi kuendelea kumlinganisha na watoto wadogo kina Messi

Kwa documentary ya Pele hii iliyotoka nitakuwa mpuuzi kuendelea kumlinganisha na watoto wadogo kina Messi

Mkuu usijitoe ufahamu. Maradona ndiye alipata 53 Wakati pele kaambulia 18. Sasa hapo nani mwenye nyingi!

Since 1991, FIFA have had awards for FIFA World Player of the Year and they decided to bring in the new millennium by conducting a public vote to decide the FIFA Player of the Century. This was to be decided by votes on their official website, their official magazine and a grand jury. Maradona won the Internet-based poll by wide margins, garnering 53.6% of the votes against 18.53% for Pelé.

View attachment 686643
Mkuu hivi mwaka 1999 ukiwauliza wangapi walikuwa wamemuona pele akicheza si ungepata 10 tu ila maradona kastaafu 1994 hivyo mamillion walikuwa wamemshuhudia ndio maana akashinda kura zilizopigwa na mashabiki

Ila walipokaa jopo la fifa lililojaa wataalam wa soka na utafiti na makocha wazoefu wakaja na hitimisho kwamba hakuna kama MFALME PELE
 

Attachments

  • Screenshot_2018-02-01-09-40-35.png
    Screenshot_2018-02-01-09-40-35.png
    219.8 KB · Views: 59
Hao FIFA wasijitoe fahamu, ligi hapa ni nani zaidi kati ya PELE na MARADONA..

Wasituletee ushindani na hawa wachezaji walio vishwa PEMPASI utotoni..!
 
Documentary iliyotolewa na FIFA inaonesha kwamba Pele mambo yote aliyofanya Ronaldo de Lima el Phenomenon kayafanya miaka 50 iliyopita, kweli inamaliza ubishi wote wa wanazi kina SHAFY DAUDA,

Mambo alifanya Lionel Messi uwanjani yamefanywa na Pele miaka ya zamani sana na mengine Messi hajayafanya

Mambo aliyofanya Zinedine Zidane Uwanjani yote wamecopy Kwa Pele ,

Mambo aliyofanya Cristiano Ronaldo yote kayafanya Pele miaka 50 iliyopita na mengine Ronaldo hajayafanya mpaka sasa,


FIFA wame apologize Kwa kuchelewa kurelease baadhi ya video pia na ubora wake haukuwa mzuri lakin wamefanya kuonesha kila anachofanya mchezaji wa sasa na waliopita wanalinganisha na matukio ya Pele uwanjani,

Video imeeleza kila kitu Kwa undani kabisa

Hapo utaona Luis figo, Ronaldo original, Roberto Carlos, Zidane, Fredrik Ljumberg , Messi n Ronaldinho matukio na mambo walofanya wanaonesha walipoyacopy Kwa pele,


Pitia video hii Kwa umakini,


Ukimaliza umpe salute Pele



FB_IMG_15170910129924620.jpg
 
Ukweli Mchungu ni kua Maradona ameshamshinda Pele waliposhindanishwa
Waliposhindanishwa wapi? Unamaanisha walikuwa uwanjani wawili tu halafu Maradona akashinda au? Mi najua ubora unaonekana uwanjani na si pahala pengine.
 
Kwanza Maradona Ni mfupi, swala la kutumia kichwa linaweza kua changamoto.

Pia Maradona ni midfielder na Pele Ni foward kama Ronaldo de Lima.

Kwenye uchezaji wa Maradona. Alikua mtu peke yake anayeibeba Timu, anayechezesha Timu, anahamasisha na kufunga.

Wakati Pele alikua anatembelea kivuli cha majina makubwa ya wachezaji wenzake wenye uwezo uwanjani.
kama akina

Garincha ambaye mwaka 1962 ndiye(Garincha) alikua kinara peke yake. Pele hakucheza kabisa,

Vava aliefunga goli 3 kwenye fainali mbili za kombe la Dunia,

Pia Didi aliechukua kiatu cha Dhahabu mwaka 1958

Pia kwenye timu ya Brasil wako wengine walikua wanapiga soka hata kama Pele asingekuwepo walikuwemo wakina Gérson, Jairzinho, Gilmar, Tostão, Zito, Bellini na Zagallo.

Hapa chini ni Ubingwa aliochukua Maradona na Timu ya Napoli ngazi ya club.

Serie A : 1986–87, 1989–90

Supercoppa Italiana : 1990

Copa Italia : 1961–62, 1975–76, 1986–87

UEFA Cup : 1988–89

Maradona kuondoka Napoli walishinda kwenye 2011.

Tukija kwenye idadi kubwa ya Magoli world cup unamuachaje Gerd Muller ukamuweka Pele enzi hizo?

Umetaja madawa ya kuongeza Nguvu. Ni sawa,.lakini tambua kua.Wakati zama za Maradona vipimo vilikua vinatumika kuthibitisha . lakini Hakukua na hivyo vipimo vya kuwapima na kuthibitisha wachezaji wanaotumia madawa zama za Pele.


Pia Huko Brasil kwenyewe walishindanisha mwanaspoti bora kuwahi kutokea alishinda muendesha magari ya formula One anaitwa Ayrton Senna. Yaani bado hali inaonyesha hata uko Brazil hawamkubali Pele wao.

Maradona is always the best in.the world.
View attachment 686646View attachment 686647View attachment 686648View attachment 686649

Pichani, Pele akiwa na fisadi Blatter.
1. Hoja ya kwamba pele alizungukwa na mastaa hivyo alitembelea kivuli chao nachoshangaa hujiulizi maradona kacheza world cup 1982 ndani ya kikosi ambacho kilikuwa kimechukua world cup miaka 4 nyuma sasa kma hoja ni mastar kivp argentina nayo yale yale tu je na mmi nikisema alitembelea nyota ya mastaa kma jorge valdano, santa maria na mario kempes waliokuwa hot cake enzi hizo

Hata world cup ya 1986 maradona kombe zima hakuwa na impact ila kaja kuwika kuanzia robo fainali hivyo group stages alibebwa na njemba kama kipa nelly pumpido na beki matata kma ruggeri ambaye ni beki bora katioa histoia ya argentina na kina ricardo giusti ukuta ulieruhusu mabao 5 tu kombe zima (3 mtoano) huko mbele ndio usiseme walikuwepo kina valdano aliyekuwa mchezaji bora wa la liga mwa huo huo..... Alikuwepo buruchugga aliyetupia mpaka fainali na kuwapa kombe alikuwepo pia kina hector henrique alafu ndio unataka kusema maradona alikuwa anaibeba timu mwenyewe????

2. Kuhusu ubingwa napoli ...... Pele naye alichukua ubingwa wa ligi mara 6 na santos na mmoja akiwa marekani na NY cosmos jumla ana kombe la ligi 7..... Champions league la America ya kusini (copa libertadores) kachukua mara mbili mfululizo tena akibeba na club world cup la enzi hizo yaani intercontinental cup nalo mara mbili mfululizo.... World cup ndio usiseme amechukua mara 3 kati ya 4 alizoshiriki

3. Kuhusu magoli obvious pele humkuti kwanza ameweka rekodi ambayo sijui nani ataivunja ya hat trick 92!!! Pia ana rekodi ya ratio ya magoli msimu mmoja kuna msimu alicheza mechi 30 akapata goli 59 ilikuwa msimu wa mwaka 1965 kma sikosei hivi nani anaweza sahivi mechi chache hivo goli za kumwaga...... Kingine pele ana magoli zaidi ya 1000 ilihali maradona akijumuisha magoli yake na assist na red card alizowahi pewa kwa kupigana uwamjani bado hafikii hata nusu ya magoli aliofunga pele

Anyway nyie mnaomtetea maradona mnaweza kutuambia amemzidi nini pele
 
Documentary iliyotolewa na FIFA inaonesha kwamba Pele mambo yote aliyofanya Ronaldo de Lima el Phenomenon kayafanya miaka 50 iliyopita, kweli inamaliza ubishi wote wa wanazi kina SHAFY DAUDA,

Mambo alifanya Lionel Messi uwanjani yamefanywa na Pele miaka ya zamani sana na mengine Messi hajayafanya

Mambo aliyofanya Zinedine Zidane Uwanjani yote wamecopy Kwa Pele ,

Mambo aliyofanya Cristiano Ronaldo yote kayafanya Pele miaka 50 iliyopita na mengine Ronaldo hajayafanya mpaka sasa,


FIFA wame apologize Kwa kuchelewa kurelease baadhi ya video pia na ubora wake haukuwa mzuri lakin wamefanya kuonesha kila anachofanya mchezaji wa sasa na waliopita wanalinganisha na matukio ya Pele uwanjani,

Video imeeleza kila kitu Kwa undani kabisa

Hapo utaona Luis figo, Ronaldo original, Roberto Carlos, Zidane, Fredrik Ljumberg , Messi n Ronaldinho matukio na mambo walofanya wanaonesha walipoyacopy Kwa pele,


Pitia video hii Kwa umakini,


Ukimaliza umpe salute Pele



Documentary inaitwaje? Inapatikana wapi?

Hii video ya YouTube ya dakika 6 ndo unaita documentary?
 
Pele hamsogelei Diego Aemando Maradona. Historia inaonyesha Pele na Maradona
Wamewahi kushindanishwa

1. Pele Akashika namba Mbilidhidi ya Maaradona aliekua namba moja.

2. Pia Pele amewahi kushindanishwa na mchezaji nyumbani kwake Brazil akapata nafasi ya Pili.
Kitendo hiki cha Yeye kua namba mbili kimemfanya Diego Maradona kumsema vibaya Pele kua yeye hastahili namba moja.

Hata hivyo pele amekua akinufaika na nidhamu kwani Maradona pamoja na ubora wake amekua mtumiaji wa madawa ya kulevya mara kadhaa.

Hivyo basi Kwakua Pele amekua akishika namba mbili kila wakati ikapelekea wapewe uzani sawa Diego Maradona ikiwa kama shinikizo ili ku balance mambo.
Jambo hili limekua likimuudhi Maradona anayeamini yeye ni Bora kuliko Pele. Na kupelekea uhusiano wake na FiFa kua Mbaya.
Mbali na FiFa kuonekana ikimkumbatia Pele pia FiFa imekua shirika la kinyonyaji na kifisadi mbele ya macho ya Maradona. Tuombe Mungu kama matatizo haya yaliishia na Sepp Blatter.

Maradona ameshawahi kua kocha wa timu ya taifa lake Argentina. Pele hajawahi kua Kocha.

Kitu kimoja alichokofanya Pele ni kuwasifia waingereza na kuwatabiria ubingwa. Kitendo hiki kimemfanya apendwe na FiFA na Waingereza. Hata kujaa kwenye headlines duniani.

Pamoja na unafiki huu wa Pele bado Uingereza ambayo ni timu yenye jina kubwa imekua ikifanya Vibaya sana kwenye michuano mikubwa.
Wakati huohuo imemfanya Pele kuonekana kua hajui kubashiri matokeo kwakua amekua Bingwa wa kufeli.

Pele haachi kuipamba uingereza ili tu iendelee kumpenda na kumpamba duniani.

Huyu ndiye Edson Arantes des Nacimentos "Pele".

Kwangu atabaki kua mchezaji bora asiye na sifa ya kulinganishwa na wachezaji kama Maradona. Messi, Ronaldo, Ronaldino, wala Cristiano wachezaji wa leo.
Maongezi mengi lakini hayazungumzii soka. Ukiwasifu Uingereza ndo unakuwa sio mchezaji bora? Sema Fulani anamshinda fulani kwa sababu kadhaa, sio ngonjera
 
Kuna kosa la msingi tunalifanya, huwezi linganisha uchezaji Wa wakati huo(very local-hakuna off side,yaani utadhani watoto wanacheza) na modern days football

Waliofanya mpira kuwa maisha yao (professional footballer s) ambao hiyo documentary sio kwamba wameiona Leo au Jana ,wanayo siku zote, wanajua mkali ni nani na kwa nini.

In short hata ukichukua highlight za matukio makali ya kichuya yanaweza kumzidi CR7 kwa mbali sana lakini haibadili ukweli kuwa cr7 ni mkali kuliko Kichuya
 
Walikuwepo, wapo na watakuwepo wachezaji wa kila namna lakini kwangu sijawahi ona wa Aina ya Ronaldinho Gaucho
 
Lol [emoji15] [emoji15] ficha ujinga toka lini mtu ukafundishwa dribing?
wewe ndo ungeficha ujinga wango..tunaofundisha watoto soka tunawafundisha dribling..tunatumia cones na mbinu zingine
 
Hujaona 1 ni maradona au kusoma hujui?
Nimeshasema hizo ni kura za washabiki tu ila WATAALAM walioteuliwa na FIFA kwa sauti moja walimpa tuzo Pele sasa unachobisha ni nini..... Hivi mashabiki wanafaham mpira kuliko wataalam???
 
Kuna kosa la msingi tunalifanya, huwezi linganisha uchezaji Wa wakati huo(very local-hakuna off side,yaani utadhani watoto wanacheza) na modern days football

Waliofanya mpira kuwa maisha yao (professional footballer s) ambao hiyo documentary sio kwamba wameiona Leo au Jana ,wanayo siku zote, wanajua mkali ni nani na kwa nini.

In short hata ukichukua highlight za matukio makali ya kichuya yanaweza kumzidi CR7 kwa mbali sana lakini haibadili ukweli kuwa cr7 ni mkali kuliko Kichuya
Hapana mkuu enzi hizo mpira ulikuwa mgumu shida sio offside tu

Kumbuka hakukuwa na sub kma siku hizi yaani akiumia mmoja mnacheza 10

Hakukuwa na red card kufikia miaka ya 50 hivyo unapigwa buti na hakuna kutolewa mtu unafkiri sahvi ingekuwa hakuna red card mpira ungekuwaje???

Hakukuwa na penalty baada ya extra time yaani enzi hizo mkidraw mechi inarudiwa kesho asbuhi..... Nakumbuka poland vs Brazil nliona ESPN classics mechi iliisha 4-4 ikarudiwa kesho yake asubuhi ndio brazil akapita kwa 2-1 hivi hawa watoto wa sahivi kina messi wangeweza bila penalty??

Anyway yako mengi ambayo wa enzi hizo walikosa na ssa mnayapata sasa nashangaa unapong'ang'ania offside unasahau na wao walikosa mengi kma nlivyoainisha hapo juu
 
Hapana mkuu enzi hizo mpira ulikuwa mgumu shida sio offside tu

Kumbuka hakukuwa na sub kma siku hizi yaani akiumia mmoja mnacheza 10

Hakukuwa na red card kufikia miaka ya 50 hivyo unapigwa buti na hakuna kutolewa mtu unafkiri sahvi ingekuwa hakuna red card mpira ungekuwaje???

Hakukuwa na penalty baada ya extra time yaani enzi hizo mkidraw mechi inarudiwa kesho asbuhi..... Nakumbuka poland vs Brazil nliona ESPN classics mechi iliisha 4-4 ikarudiwa kesho yake asubuhi ndio brazil akapita kwa 2-1 hivi hawa watoto wa sahivi kina messi wangeweza bila penalty??

Anyway yako mengi ambayo wa enzi hizo walikosa na ssa mnayapata sasa nashangaa unapong'ang'ania offside unasahau na wao walikosa mengi kma nlivyoainisha hapo juu
Awe unauelewa mpira
 
Ndyo uone favor kwa kura alipigwa akaandaa vibaka wenzie wakampa tuzo
Sio FIFA tu mpaka shirikisho la mpira la wachezaji wa zamani lilimpa tuzo PELE kma bora wa karne

Kwa ufupi taasisi zaidi ya 10 zilimpa pele kama mchezaji bora wa karne kuanzia shirika la habari Reuters mpaka UNICEF hadi kamati ya olimpiki IOC ilimtangaza sio tu mchezaji bora wa mpira bali mwanamichezo wa karne akiwashinda magwiji kama muhamad ali michael Schumacher na michael jordan kwahiyo hata kma fifa wangempa maradona bado pele angemfunika kwingine kote

Acheni mfalme aitwe mfalme hao kina maradona watasubiri sana
 
Back
Top Bottom