#COVID19 Kwa habari ya Covid-19, Tanzania kisiwa. Mungu ndiye katupa neema hii baada ya kumtanguliza mbele kwenye vita hii

#COVID19 Kwa habari ya Covid-19, Tanzania kisiwa. Mungu ndiye katupa neema hii baada ya kumtanguliza mbele kwenye vita hii

Yaliyo ya Mungu tumpe Mungu bali yake Kaizari tumpe yeye pia. Watu wenye imani za kiroho kuhusu uwepo wa nguvu za Mungu na wazidi kuomba na kumrudishia utukufu juu ya udhibiti wa madhara yake hapa nchini kwa kuwa jambo hili haliwezi kuthibitishwa kwa njia za kisayansi.

Lakini kwa habari ya wale wa upande wa wale wa Kaizari basi nao waendelee kuamini juu ya udhibiti wa kibinadamu juu ya madhara ya Corona kupitia njia za kisayansi zenye kuweza kuonekana kwa njia za kibinadamu.

Kila upande ubaki kuwa na imani juu ya kile inachokiamini, lakini ni ukweli pia upande mmoja unaweza kuwa na hoja zenye mashiko zaidi juu ya jambo hili. Isipokuwa maandiko matakatifu hutuonya na kutupa taadhari juu ya nyakati tunazozipitia hivi sasa kama ifuatavyo;

Ufunuo wa Yohana 22:11

"Kwa sasa yule anayetenda mabaya na aendelee kutenda mabaya, na aliye mchafu aendelee kuwa mchafu. Bali mwenye kutenda mema na azidi kutenda mema, na aliye mtakatifu na azidi kuwa mtakatifu.”
 
Kuna nchi kibao tu hapa Afrika hazijaathirika na huo ugonjwa, na hawajafunga na kuomba, je wao nani anawalinda? Acheni utapeli wa kijinga kwa kumuingiza Mungu sehemu ambayo siyo. Ule utapeli wa kipindi cha Magu ndio mnataka kuuendeleza?
Wewe bwege kila mara una muwaza Magu tu!! Vipi alikufanya mbaya sana hapo nyuma yako fala mkubwa!!
 
Kwa maoni yangu - nashani huu ugonjwa ni either a hox au ni ugonjwa ambao hata wataalamu hawaufahamu kwa hakika kuanzia chanzo, transmission etc.
  • Katika mazingira ya kawaida tangu serikali ilivyofungua shule na vyuo na muingiliano wa wanafunzi bila kujali tahadhari za afya mpaka sasa tungekuwa tumeshasikia cases nyingi za wanafunzi kupata covid-19 lakini case si hivyo.
Utasikiaje cases, kama almost 50% wanapata bila hata wao kujua ? Na huku hatuna utamaduni wa kupima. Cha kushukuru Corona sio deadly sana huu mzaa tukiendelea nao au kuja kuufanya kwenye magonjwa kama Ebola kipigo tutakachopata ni cha mbwa mwitu
  • Nchi nyingi zilizoathirika sana na covid-19 ni nchi ambazo zimefuata masharti ya kujikinga na ugonjwa huu ilikwepo lockdown, mask , social distancing etc.
Hata huku tumeathirika tofauti wao wana keep data, sisi vinginevyo.., pia wao wana vulnerable people kuliko sisi (na masharti ni kupunguza hivyo vifo vya hao wakati wanapambana kutafuta cha kuwasaidia (bila hivyo wakiugua wote kwa pamoja, kumbuka wao wengi wanakuwa critical taasisi za afya zitashindwa kuwasaidia
  • covid-19 vaccines zimegunduliwa kwa muda mfupi na kuidhinishwa na WHO kwa spidi ya ajabu - why?
Wachukue muda mrefu wakati gonjwa linachanja mbuga ? Issue huwa ni kwenye trials ndio inachukua muda kuangalia side effects na cross checking jambo ambalo muda hapa haupo kwa ugonjwa unaoambukiza kwa kasi..., tatizo kwa hli wala sio chanjo tu ni kubadilika kwa COVID isije ikawa kama mafua ambapo kila siku inabadilika hapo issue itakuwa ngumu
 
daahh leo nimeamka na mafua makali sana sijui mzigo wa india ndio unanibeep
Sisi tuko salama. Ila vaa barakoa kama umeomba mkopo Ulaya na Marekani. Hawakupi mpaka uvae barakoa. Usije kufa kabla ya kulipa mkopo wao
 
Hamna cha Mungu wala nini, kwa huku Afrika huo ugonjwa haujaleta madhara makubwa kwa hivyo. Na isitoshe huo ugonjwa promo lake limekuwa kubwa kuliko vifo vyake.

Mpaka sasa ugonjwa huo umeua watu 3.5m, hiyo ni idadi ndogo sana kulinganisha na maambukizo yake,maama waliogua corona kwa data zilizopo ni 150m.

Kwahiyo acha maelezo marefu sijui ya Mungu wala nini, maana kama ni Mungu basi hiyo ni dunia nzima na sio Tanzania pekee.
Una takwimu?
 
Kwani malaria haina tiba?
Hakuna aliyekufa ?

Kumbuka hata kwa wale wanaoweka data vifo sio vingi..., By the way kwanini hayo maombi msiyapeleke kwenye malaria after all inatuua sana kuliko nchi za magharibi ? Au mungu amewapenda wale kwenye suala la Malaria na ametuchukia sisi ?
 
Utasikiaje cases, kama almost 50% wanapata bila hata wao kujua ? Na huku hatuna utamaduni wa kupima. Cha kushukuru Corona sio deadly sana huu mzaa tukiendelea nao au kuja kuufanya kwenye magonjwa kama Ebola kipigo tutakachopata ni cha mbwa mwitu

Hata huku tumeathirika tofauti wao wana keep data, sisi vinginevyo.., pia wao wana vulnerable people kuliko sisi (na masharti ni kupunguza hivyo vifo vya hao wakati wanapambana kutafuta cha kuwasaidia (bila hivyo wakiugua wote kwa pamoja, kumbuka wao wengi wanakuwa critical taasisi za afya zitashindwa kuwasaidia

Wachukue muda mrefu wakati gonjwa linachanja mbuga ? Issue huwa ni kwenye trials ndio inachukua muda kuangalia side effects na cross checking jambo ambalo muda hapa haupo kwa ugonjwa unaoambukiza kwa kasi..., tatizo kwa hli wala sio chanjo tu ni kubadilika kwa COVID isije ikawa kama mafua ambapo kila siku inabadilika hapo issue itakuwa ngumu
  • ukweli unabaki kuwa covid-19 pandemic bado ni mystery na kuna maswali mengi kuhusiana na gonjwa hili kuliko majibu. Inapofikia hali hiyo, viongozi wanapaswa kutumia busara kubwa katika ku deal na hii situation.
  • Je, personally unaweza kuiweka familia yako katika chanjo ambayo bado iko kwenye trial?
  • unaposema corona sio deadly sana una maana gani wakati inaua maelfu ya watu especially katika developed countries nchi ambazo zimefuata protocols zote za WHO religiously?
  • Data or no data ukweli nikwamba cases za Covid-19 hapa nchini bado ni ndogo. Hii haina maana tusifuate baadhi ya shauri za kujikinga at the same time let vaccinations remain an option kwa anaetaka achukue.
  • kumbuka pharmaceutical industry is a multi million dollar industry na wana influence kubwa duniani tusiingie kwenye mitego yao kwa gharama za maisha yetu na vizazi vijavyo.
 
Hakuna aliyekufa ?

Kumbuka hata kwa wale wanaoweka data vifo sio vingi..., By the way kwanini hayo maombi msiyapeleke kwenye malaria after all inatuua sana kuliko nchi za magharibi ? Au mungu amewapenda wale kwenye suala la Malaria na ametuchukia sisi ?
Sasa kama vifo sio vingi uhatari wa huu ugonjwa ni nini? kwa sababu kama hiyo malaria kitakwimu tunaambiwa inasababisha vifo vingi ila hakuna hofu huku mtaani maana bila bila hizo takwimu huwezi kujua kama malaria inaondoa sana watu.
 
Hii kamati ya wiki mbili ndo ijitwalie utukufu wa Mungu? NEVER, Tanzania ime survive kwa mkono wa Mungu pekee.....kuna manyang'au wa hapo jirani walianza kukejeri baada ya cases na vifo kuanza kutokea hapo nyuma lakini nao wakaufyata. Kwa jambo lolote lenye hila ndani yake, mabeberu wajifunze kuiogopa Tanzania kama ukoma...
 
Sasa kama vifo sio vingi uhatari wa huu ugonjwa ni nini? kwa sababu kama hiyo malaria kitakwimu tunaambiwa inasababisha vifo vingi ila hakuna hofu huku mtaani maana bila bila hizo takwimu huwezi kujua kama malaria inaondoa sana watu.
Inaambukiza hatari..., kwa bahati mbaya tukipata variant ambayo itatuathiri kama wahindi au watu wengi kushindwa kupumua kwa wakati mmoja tuna taasisi za kuweza kutusaidia ? For your information wewe hapo ingawa upo Hai variant ya mchina, Afrika kusini na punde ya muhindi lazima itakupiga tu..., issue ya kuendelea kuwepo au kuondoka ni kinga zako za mwili Na hata kama wewe upo fit huenda kuna jamaa yako anaweza akaondoka...

Kwa Wizara ya Afya na watu wa Afya hizi ndio kazi zao kuendelea kufanya uchunguzi na kuwapa wananchi elimu jinsi ya kupambana / kuishi nayo
 
Inaambukiza hatari..., kwa bahati mbaya tukipata variant ambayo itatuathiri kama wahindi au watu wengi kushindwa kupumua kwa wakati mmoja tuna taasisi za kuweza kutusaidia ? For your information wewe hapo ingawa upo Hai variant ya mchina, Afrika kusini na punde ya muhindi lazima itakupiga tu..., issue ya kuendelea kuwepo au kuondoka ni kinga zako za mwili Na hata kama wewe upo fit huenda kuna jamaa yako anaweza akaondoka...

Kwa Wizara ya Afya na watu wa Afya hizi ndio kazi zao kuendelea kufanya uchunguzi na kuwapa wananchi elimu jinsi ya kupambana / kuishi nayo
Na Wahindi wamekuwa kwenye lockdown kwa muda mrefu na walipokea shehena zakutosha za barakoa za misaada na bado wamepigika.
 
Hamna cha Mungu wala nini, kwa huku Afrika huo ugonjwa haujaleta madhara makubwa kwa hivyo. Na isitoshe huo ugonjwa promo lake limekuwa kubwa kuliko vifo vyake.

Mpaka sasa ugonjwa huo umeua watu 3.5m, hiyo ni idadi ndogo sana kulinganisha na maambukizo yake,maama waliogua corona kwa data zilizopo ni 150m.

Kwahiyo acha maelezo marefu sijui ya Mungu wala nini, maana kama ni Mungu basi hiyo ni dunia nzima na sio Tanzania pekee.
Kama ni hivyo unadhani hata huko kwengine ni kweli corona imewaathiri kwa kiasi hicho? mimi kwa upande wangu ni kwamba si kuwa corona haijatuathiri sana afrika bali afrika kwa kiasi fulani corona ndio imeonekana uhalisia wake ni upi tena hasa Tanzania. Ile mitazamo ya afrika kuokota maiti barabarani ilikuwa ni mitazamo sahihi wakati ule kwa kuangalia kilichokuwa kikiendelea huko kwa wenzetu lakini uhalisi hali haikuwa hivyo na ndio maana afrika ikawa tofauti hadi zikaja nadhari za sijui kuna vijana wengi kuliko wazee na vitu kama hivyo.
 
Unaetoa maelezo kama mtu wa darasa la pili B.

-Miongozo ya wizara ya afya ni hii,ukiifuata hauwezi kupata corona.

1. Social Distancing.
2.Vaa Barakaoa.
3.Tumia "Santaiza" kila wakati.
4.Nawa na maji tirika kutumia sabuni.
5.Epuka safari sizizokuwa na ulazima.

Sasa mtu anavaa barakoa halafu kutwa analishishika mara kalivua mikono hapaki "SANTAIZA" hapo utasema barakoa itamsaidia?
Ukichilia hilo la matumizi yasio sahihi ya kutumia barakoa(hufanya kuongeza maambukizi) ila hakuna ushahidi wa kisayansi kwamba hizi simple mask zinaweza kuzuia maambukizi.
 
Unaetoa maelezo kama mtu wa darasa la pili B.

-Miongozo ya wizara ya afya ni hii,ukiifuata hauwezi kupata corona.

1. Social Distancing.
2.Vaa Barakaoa.
3.Tumia "Santaiza" kila wakati.
4.Nawa na maji tirika kutumia sabuni.
5.Epuka safari sizizokuwa na ulazima.

Sasa mtu anavaa barakoa halafu kutwa analishishika mara kalivua mikono hapaki "SANTAIZA" hapo utasema barakoa itamsaidia?
Acha upumbav mbna hatukufuata izo njia na hatukuoata iyo covid?? Uko walikozingatia ndyo imewapiga,,acha ujuaji nduguu covid ni propaganda yakipuuz ile bila kuipotezea inakumaliza
 
Back
Top Bottom