Telewolth bin champion
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 2,386
- 6,473
Jamaa ilo linachuki zakipuuz inaonesha lilitumbuliwa ilo sio bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado unaongea kinadharia sana vitu ambavyo vimeshaongelewa sana humu, hapa tunazungumzia uhalisia wa corona.Inaambukiza hatari..., kwa bahati mbaya tukipata variant ambayo itatuathiri kama wahindi au watu wengi kushindwa kupumua kwa wakati mmoja tuna taasisi za kuweza kutusaidia ? For your information wewe hapo ingawa upo Hai variant ya mchina, Afrika kusini na punde ya muhindi lazima itakupiga tu..., issue ya kuendelea kuwepo au kuondoka ni kinga zako za mwili Na hata kama wewe upo fit huenda kuna jamaa yako anaweza akaondoka...
Kwa Wizara ya Afya na watu wa Afya hizi ndio kazi zao kuendelea kufanya uchunguzi na kuwapa wananchi elimu jinsi ya kupambana / kuishi nayo
Aise!!!!, Ngoja nikupe kidogo ABC huenda ukanielewaNa Wahindi wamekuwa kwenye lockdown kwa muda mrefu na walipokea shehena zakutosha za barakoa za misaada na bado wamepigika.
Kwahio conclusions ambazo zimetokana na uchunguzi wa kisayansi na uhalisia wa mpaka sasa ni nadharia na kwamba taifa hili limelindwa na Mungu ndio uhalisia ?Bado unaongea kinadharia sana vitu ambavyo vimeshaongelewa sana humu, hapa tunazungumzia uhalisia wa corona.
Hapo tujadili matumizi isivyo sahihi ya barakoa kuanzia kabla ya kuvaa na wakati wa kuvua, wengi hawajui hili je hili lina athari kiasi gani maambukizi ya virusi vya corona?Aise!!!!, Ngoja nikupe kidogo ABC huenda ukanielewa
a) Kirusi hakina dawa ni mwili wako (kinga eventually ndio zikikijua kirusi vizuri zinapambana nacho)
b) Chanjo inaweza ikawa ni kirusi kama hicho ambacho hakina nguvu kikiwekwa kwenye mwili mwili unagundua kirusi hence kuweza kukipiga pindi kinapokuja ( ni kama unapewa majibu ya mtihani kabla ya mtihani)
d) Wakati tunaupa muda mwili kugundua kinga ya hiki kirusi ni vema watu wote tusiupate ugonjwa kwa wakati mmoja sababu ikitokea hivyo na taasisi za afya kuzidiwa ni nani atatoa msaada kwa watu critical ? (hapo ndio linakuja suala la lockdown kwa wanaouweza) sisi hatuwezi ila serikali zinazoweza kwanini zisifanye hivyo kunusuru hao walipa kodi wao ?
e) Barakoa inalinda sana watu wanaokuzunguka kama wewe ugonjwa unao usipige machafya au droplets zako usizisambaze kila kona ambapo watu watashika au kuwapumulia kwa kufanya hivyo ni muendelezo wa kuambukiza wengi kwa wakati mmoja.
Story za kwamba barakoa zimewekewa sumu na virusi naona tuachane nalo kwa sasa..., hii nadhani ni too low hata kuliweka kwenye mjadala
Hakuna nilipotaja habari za humu wala mimi simuhusishi Mungu katika hili, kama kuna tafiti za kisayansi zenye kueleza kwanini afrika haijaathirika sana na corona zilete tujadili.Kwahio conclusions ambazo zimetokana na uchunguzi wa kisayansi na uhalisia wa mpaka sasa ni nadharia na kwamba taifa hili limelindwa na Mungu ndio uhalisia ?
Hapa ngoja niachane napo sababu naona ni kupotezeana muda (wako na wangu)
Niungane na Uhuru J kwenye hili. Sitetei maombi kama solution ya moja kwa moja kwakuwa sina proof (imekaa kiimani zaidi) lkn inaweza kusaidia kuondoa hofu. Kama Uhuru J alivyosema arguments zako ziko kinadharia zaidi kuliko facts so ni vema ulivyoikimbia topicKwahio conclusions ambazo zimetokana na uchunguzi wa kisayansi na uhalisia wa mpaka sasa ni nadharia na kwamba taifa hili limelindwa na Mungu ndio uhalisia ?
Hapa ngoja niachane napo sababu naona ni kupotezeana muda (wako na wangu)
Wewe ni mwongo halafu mvivu kusoma. Marekani takwimu zimashuka kwa kuwa watu wamechanja Kama 120 Milion sawa na 40% ya population.Makaburu na mawakala wao hawataki kuamini lakini ndivyo ilivyo
Hivi sasa inatumika nguvu kubwa kuitafuta corona hata kwa tochi nchini Tanzania bila mafanikio.
Wanalazimisha kushawishi mamlaka za juu ziseme na kukiri kuwa Tanzania kuna corona.
Wanalazimisha kubambikiza kila kifo kuwa ni cha corona hasa kama aliyekufa ni kiongozi wa ngazi ya juu.
Watanzania inabidi tuelewe kuwa kwa habari ya corona sisi ni kisiwa.
Mungu mwenyewe ametufanya kuwa kisiwa.
Hivi sasa kuna ushawishi mkubwa watu wavae barakoa na wachanjwe (sina tatizo na hilo ili maadamu wasiseme tumeokolewa na barakoa na chanjo ) kwa lengo tu la kutoa ujumbe kuwa kuna corona nchini!! Watu wanaibipu corona
Corona ikiwèpo haizuiliki kwa barakoa wala chanjo. Ingekuwa inazuilika kwa barakoa na chanjo kusingekuwa na maambukizi mapya kwa maelfu kila siku nchini marekani na India maana huko baràkoa ilikuwa ni lazima na wao ndio wanatengeneza chanjo
Watanzania tumpe Mungu utukufu kwa kushuhudia kwa nguvu zote kile ambacho Mungu ametufanyia watanzania.
Tuweke kumbukumbu sawa, ili kesho na keshokutwa asiibuke mtu akasema Tanzania iliokolewa kwenye janga la corona na kamati ya corona iliyoshauri Tanzania tulete chanjo
Wamechelewa Mungu ameshamaliza mchezo
Acha upumbav mbna hatukufuata izo njia na hatukuoata iyo covid?? Uko walikozingatia ndyo imewapiga,,acha ujuaji nduguu covid ni propaganda yakipuuz ile bila kuipotezea inakumaliza
Wewe bwege kila mara una muwaza Magu tu!! Vipi alikufanya mbaya sana hapo nyuma yako fala mkubwa!!
Una takwimu?
Viongozi wa kisiasa nchi zilizo dunia ya tatu wengiwana hofu, wanachofanya ni kutumbukia tu bora wapate mkate!Hakika huu ni mradi wa big pharma- cartels viongozi na wanasiasa wamekuwa sacked in knowingly or otherwise.
Kwa kweli Mungu ni Mwema sana kwetu. Mungu ametushindia hofu ya shetani (corona).Makaburu na mawakala wao hawataki kuamini lakini ndivyo ilivyo
Hivi sasa inatumika nguvu kubwa kuitafuta corona hata kwa tochi nchini Tanzania bila mafanikio.
Wanalazimisha kushawishi mamlaka za juu ziseme na kukiri kuwa Tanzania kuna corona.
Wanalazimisha kubambikiza kila kifo kuwa ni cha corona hasa kama aliyekufa ni kiongozi wa ngazi ya juu.
Watanzania inabidi tuelewe kuwa kwa habari ya corona sisi ni kisiwa.
Mungu mwenyewe ametufanya kuwa kisiwa.
Hivi sasa kuna ushawishi mkubwa watu wavae barakoa na wachanjwe (sina tatizo na hilo ili maadamu wasiseme tumeokolewa na barakoa na chanjo ) kwa lengo tu la kutoa ujumbe kuwa kuna corona nchini!! Watu wanaibipu corona
Corona ikiwèpo haizuiliki kwa barakoa wala chanjo. Ingekuwa inazuilika kwa barakoa na chanjo kusingekuwa na maambukizi mapya kwa maelfu kila siku nchini marekani na India maana huko baràkoa ilikuwa ni lazima na wao ndio wanatengeneza chanjo
Watanzania tumpe Mungu utukufu kwa kushuhudia kwa nguvu zote kile ambacho Mungu ametufanyia watanzania.
Tuweke kumbukumbu sawa, ili kesho na keshokutwa asiibuke mtu akasema Tanzania iliokolewa kwenye janga la corona na kamati ya corona iliyoshauri Tanzania tulete chanjo
Wamechelewa Mungu ameshamaliza mchezo
Mimi nimesemea nchi ya kwetu, usalama wetu ni majibu ya Mungu kwa maombi yetu. Hizo nchi zingine zisizo na majina hazinihusuKuna nchi kibao tu hapa Afrika hazijaathirika na huo ugonjwa, na hawajafunga na kuomba, je wao nani anawalinda? Acheni utapeli wa kijinga kwa kumuingiza Mungu sehemu ambayo siyo. Ule utapeli wa kipindi cha Magu ndio mnataka kuuendeleza?
Hivi wewe unadhani unaweza kufuata kanuni za kujikinga kuliko Trump? au yule waziri mkuu wa uingereza waliopata corona? Tatizo lako unaona shida sana kukubali kuwa Mungu ndiye aliyetuponya na corona!! Hivyo ulivyovitaja wazungu ni mabingwa wa kuvifanya lakini haikuwasaidia.Unaetoa maelezo kama mtu wa darasa la pili B.
-Miongozo ya wizara ya afya ni hii,ukiifuata hauwezi kupata corona.
1. Social Distancing.
2.Vaa Barakaoa.
3.Tumia "Santaiza" kila wakati.
4.Nawa na maji tirika kutumia sabuni.
5.Epuka safari sizizokuwa na ulazima.
Sasa mtu anavaa barakoa halafu kutwa analishishika mara kalivua mikono hapaki "SANTAIZA" hapo utasema barakoa itamsaidia?
Hivi wewe unadhani unaweza kufuata kanuni za kujikinga kuliko Trump? au yule waziri mkuu wa uingereza waliopata corona? Tatizo lako unaona shida sana kukubali kuwa Mungu ndiye aliyetuponya na corona!! Hivyo ulivyovitaja wazungu ni mabingwa wa kuvifanya lakini haikuwasaidiaUnaetoa maelezo kama mtu wa darasa la pili B.
-Miongozo ya wizara ya afya ni hii,ukiifuata hauwezi kupata corona.
1. Social Distancing.
2.Vaa Barakaoa.
3.Tumia "Santaiza" kila wakati.
4.Nawa na maji tirika kutumia sabuni.
5.Epuka safari sizizokuwa na ulazima.
Sasa mtu anavaa barakoa halafu kutwa analishishika mara kalivua mikono hapaki "SANTAIZA" hapo utasema barakoa itamsaidia?
Mimi nimesemea nchi ya kwetu, usalama wetu ni majibu ya Mungu kwa maombi yetu. Hizo nchi zingine zisizo na majina hazinihusu
Utamkumbuka mpaka kifo chako alichokufanya hutakisahau dogo.Acha kupanick dogo, hapa tunatoa mrejesho wa dhalimu.