Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu gani?Weka maelezo ya ulalamishi wako.Huna mengi kivipi?Sina mengi ya kuandika zaidi ya hayo.
Na mkahuzunika kama paka wajane hadi penati nazo mkashindwa kufunga?Goli la wazi la Yanga limekataliwa
Mmenogewa na lile goli la Nzengeli mlilopewa na refa 😁. (Yanga Vs Ihefu)Goli la wazi la Yanga limekataliwa
Kwa sababu gani?Weka maelezo ya ulalamishi wako.Huna mengi kivipi?
Wanadhani kila siku ni jumasita!Mmenogewa na lile goli la Nzengeli mlilopewa na refa 😁. (Yanga Vs Ihefu)
Labda kwako hamna kilicho tokea hapo kigeni ile ikua goli kwa mjibu wa var na line technology mpira haukuvuka 100% line kuna kipande kama 5% kilibaki kwenye lineSina mengi ya kuandika zaidi ya hayo.
Mmenogewa na lile goli la Nzengeli mlilopewa na refa 😁. (Yanga Vs Ihefu)
Mkuu unahitaji tiba na uangalizi wa karibu.Majuma kadhaa yaliyopita kipindi Engineer Hersi kaalikwa kufanya mahojiano katika kituo cha habari cha al ahly aliuluzwa, ni timu gani zitaingia fainali ya kombe la champions league.
Akajibu ni al ahly versus mamelody sundowns.
Hapo ni kabla hata ya droo ya robo kupangwa.
Nimeanza kuipata picha kamili sasa.
Bila shaka hata droo yenye huenda ilipangwa kabla ya kupangwa.
Lengo ni wazifikishe timu walizotamani zifike fainali.
Ya jana ndo sitaki kuyaongea kabisaaa maana ni aibu.
Kwa mtirirko wa matukio haya kwenye soka la afrika ni dhahiri mvuto unapotea.
Mara moja tu na mmekata tamaa.Kueni kwanza.Kama hawataki timu nyingine zishiriki fainali basi waseme tu
Lile goli kwa mazingira ya mpira wa NBC PL sidhani kama kuna wakumlaumu maana hakuna hata means za kufanya review kwa wakati huo uwanjani.Mmenogewa na lile goli la Nzengeli mlilopewa na refa 😁. (Yanga Vs Ihefu)
Kwa hiyo umepona?😂😂Uangaizi wa nini wakati mimi ndio ninaewaangalia hao wanaohitaji huo uangalizi
Mlijipa marumaini makubwa mnoooo!Mtulie mjifunze nini mlikosea!Nyie wa mara nyingi ni lini mliwahi fanyiwa hujuma za waziwazi namna hiyo.