LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
NakaziaKama hawataki timu nyingine zishiriki fainali basi waseme tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaKama hawataki timu nyingine zishiriki fainali basi waseme tu
Mkuu hizo mada za madhaifu ya yanga hazikupaswa kuja kwa sasa maana kama ni madhaifu ya kitimu basi hata hao memelord walikuwa na madhaifu mengi tu both kwa mkapa na kwao.Mlijipa marumaini makubwa mnoooo!Mtulie mjifunze nini mlikosea!
-kupaki motokaa?
-mbinu hafifu za ufungaji?
-ugeni?
-kuendeshwa na ndoto/pipe-dream?
Kilicho baki ni kushindana, nani atawahi kufika Dar Es Salaam.Acha kuchanganya mambo, hujui unaongea nini, wild pig
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkamateni huyo, atatorokaaaaMkuu unahitaji tiba na uangalizi wa karibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiKwani nilikuwa naumwa??[emoji23][emoji23]
Uirukie CAF badala ya kujiangalia umekosea wapi?Hapa ndipo tunapokwama.Kuwafunga midomo ilikuwa ni kufunga magoli mengi ya kutosha.Siyo kuviziavizia tu.Vichwa vikawa vikuubwaaa hadi vinaelea mabegani.🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu hizo mada za madhaifu ya yanga hazikupaswa kuja kwa sasa maana kama ni madhaifu ya kitimu basi hata hao memelord walikuwa na madhaifu mengi tu both kwa mkapa na kwao.
Kwa sasa tunapaswa kujadili madhaifu ya CAF.
CAF Imejaa uozo.
Mvuto umepotea kwa mnaoangalia club bingwa africa kwa mara ya kwanza ,sisi tuliozoea kuangalia hii michuano mvuto ni mkubwa sana ,hakuna jambo jipya bali tunashangaa tu maamuzi ya hovyo mfano kumaliza mechi kabla ya muda wa dk 90,au kutaka kukubali goal kwa kutumia VARMajuma kadhaa yaliyopita kipindi Engineer Hersi kaalikwa kufanya mahojiano katika kituo cha habari cha al ahly aliuluzwa, ni timu gani zitaingia fainali ya kombe la champions league.
Akajibu ni al ahly versus mamelody sundowns.
Hapo ni kabla hata ya droo ya robo kupangwa.
Nimeanza kuipata picha kamili sasa.
Bila shaka hata droo yenye huenda ilipangwa kabla ya kupangwa.
Lengo ni wazifikishe timu walizotamani zifike fainali.
Ya jana ndo sitaki kuyaongea kabisaaa maana ni aibu.
Kwa mtirirko wa matukio haya kwenye soka la afrika ni dhahiri mvuto unapotea.
Arudi kubugizwa dawa zake.😂😂😂😂🙏[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkamateni huyo, atatorokaaaa
Sina mengi ya kuandika zaidi ya hayo.
Usijirushe mkuu.😂😂Waje haraka sana nipo hapa Tanzanite bridge.
Tuna muda mrefu sana wa kurekebisha hayo madhaifu ya kwenye timu zetu za ndani maana hatutashiriki mashindano hayo hadi msimu ujao.Uirukie CAF badala ya kujiangalia umekosea wapi?Hapa ndipo tunapokwama.Kuwafunga midomo ilikuwa ni kufunga magoli mengi ya kutosha.Siyo kuviziavizia tu.Vichwa vikawa vikuubwaaa hadi vinaelea mabegani.🤣🤣🤣🤣🤣
mkuu nitumie hii vdeo na mm nisikieMajuma kadhaa yaliyopita kipindi Engineer Hersi kaalikwa kufanya mahojiano katika kituo cha habari cha al ahly aliuluzwa, ni timu gani zitaingia fainali ya kombe la champions league.
Akajibu ni al ahly versus mamelody sundowns.
Hapo ni kabla hata ya droo ya robo kupangwa.
Nimeanza kuipata picha kamili sasa.
Bila shaka hata droo yenye huenda ilipangwa kabla ya kupangwa.
Lengo ni wazifikishe timu walizotamani zifike fainali.
Ya jana ndo sitaki kuyaongea kabisaaa maana ni aibu.
Kwa mtirirko wa matukio haya kwenye soka la afrika ni dhahiri mvuto unapotea.
Umepima ukaona 5% ilibaki nje!!? Tumia ubongo wako wakati unaandika.Labda kwako hamna kilicho tokea hapo kigeni ile ikua goli kwa mjibu wa var na line technology mpira haukuvuka 100% line kuna kipande kama 5% kilibaki kwenye line