Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Al Ahaly mmewafunga ngapi?Uirukie CAF badala ya kujiangalia umekosea wapi?Hapa ndipo tunapokwama.Kuwafunga midomo ilikuwa ni kufunga magoli mengi ya kutosha.Siyo kuviziavizia tu.Vichwa vikawa vikuubwaaa hadi vinaelea mabegani.🤣🤣🤣🤣🤣